< Michea 2 >

1 Guai a quelli che divisano iniquità, e macchinano del male sopra i lor letti, [e] lo mettono ad effetto allo schiarir della mattina; perciocchè [ne] hanno il potere in mano!
Ole kwa wale wapangao uovu, kwa wale wafanyao shauri la hila vitandani mwao! Kunapopambazuka wanalitimiza kwa sababu uko katika uwezo wao kutekeleza.
2 Desiderano de' campi, e [li] rapiscono; [desiderano] delle case, e [le] tolgono; ed oppressano l'uomo, e la sua casa; e la persona, e la sua eredità.
Wanatamani mashamba na kuyakamata, pia nyumba na kuzichukua. Wanamlaghai mwanaume nyumba yake, mwanadamu mwenzake urithi wake.
3 Perciò, così ha detto il Signore: Ecco, io diviso del male contro a questa nazione, dal quale voi non potrete ritrarre il collo; e non camminerete [più] alteramente; perciocchè [sarà] un tempo malvagio.
Kwa hiyo, Bwana asema: “Ninapanga maangamizi dhidi ya watu hawa, ambayo hamwezi kujiokoa wenyewe. Hamtatembea tena kwa majivuno, kwa kuwa utakuwa ni wakati wa maafa.
4 In quel giorno [gli uni] prenderanno a far di voi un proverbio, e [gli altri] un lamento lamentevole, [e] diranno: Noi siamo del tutto guasti; egli ha trasportata ad altri la parte del mio popolo; come mi avrebbe egli tolte, [ed] avrebbe spartite le mie possessioni, per restituir[mele?]
Siku hiyo watu watawadhihaki, watawafanyia mzaha kwa wimbo huu wa maombolezo: ‘Tumeangamizwa kabisa; mali ya watu wangu imegawanywa. Ameninyangʼanya! Ametoa mashamba yetu kwa wasaliti.’”
5 Perciò, tu non avrai alcuno che tiri la cordicella, per [far] delle parti a sorte, nella raunanza del Signore.
Kwa hiyo hutakuwa na yeyote katika kusanyiko la Bwana wa kugawanya mashamba kwa kura.
6 Non profetizzate; pure profetizzeranno; non profetizzeranno a costoro; e non riceveranno vituperio.
Manabii wao husema, “Usitabiri. Usitabiri kuhusu vitu hivi; aibu haitatupata.”
7 [È] questo da dirsi, o casa di Giacobbe? è lo Spirito del Signore raccorciato? [son] queste le sue opere? non son le mie parole buone inverso chi cammina dirittamente?
Je, ingesemwa, ee nyumba ya Yakobo: “Je, Roho wa Bwana amekasirika? Je, yeye hufanya vitu kama hivyo?” “Je, maneno yangu hayamfanyii mema yeye ambaye njia zake ni nyofu?
8 Oltre a ciò, per addietro il mio popolo si levava contro al nemico; [ma ora], voi, [stando] agli agguati contro ai vestimenti, spogliate del loro ammanto i passanti che se ne stanno in sicurtà, essendo in riposo della guerra.
Siku hizi watu wangu wameinuka kama adui. Unawavua joho la kitajiri wale wanaopita pasipo kujali, kama watu warudio kutoka vitani.
9 Voi scacciate le donne del mio popolo fuor delle case delle lor delizie, voi togliete in perpetuo la mia gloria d'in su i lor piccoli figliuoli.
Unawahamisha wanawake wa watu wangu kutoka kwenye nyumba zao za kupendeza. Unaondoa baraka yangu kwa watoto wao milele.
10 Levatevi, e camminate; perciocchè questo non [è] il [luogo del] riposo; conciossiachè sia contaminato, egli [vi] dissiperà, ed anche d'una dissipazione violenta.
Inuka, nenda zako! Kwa maana hapa sio mahali pako pa kupumzikia, kwa sababu pametiwa unajisi, pameharibiwa, wala hapatengenezeki tena.
11 Se [vi è] alcuno che proceda per ispirazioni, e menta falsamente, [dicendo: ] Io ti profetizzerò di vino, e di cervogia; colui è il profeta di questo popolo.
Ikiwa mwongo na mdanganyifu atakuja na kusema, ‘Nitawatabiria divai na pombe kwa wingi,’ angekuwa ndiye nabii anayekubalika na watu hawa!
12 Per certo, io ti raccoglierò, o Giacobbe, tutto quanto; per certo io radunerò il rimanente d'Israele; io lo metterò insieme, come pecore di Bosra, come una greggia in mezzo della sua mandra; vi sarà una gran calca per [la moltitudine de]gli uomini.
“Hakika nitawakusanya ninyi nyote, ee Yakobo, Hakika nitawaleta pamoja mabaki ya Israeli. Nitawaleta pamoja kama kondoo ndani ya zizi, kama kundi kwenye malisho yake, mahali hapa patakuwa na msongamano wa watu.
13 Lo sforzatore salirà davanti a loro; essi sforzeranno [gli ostacoli], e passeranno; [sforzeranno] la porta, ed usciranno per essa; e il lor re passerà davanti a loro, e il Signore [sarà] in capo di essi.
Yeye afunguaye njia atawatangulia; watapita kwenye lango na kutoka nje. Mfalme wao atawatangulia, Bwana atakuwa kiongozi.”

< Michea 2 >