< Luka 5 >

1 Aitulikile matungo iantu akizura nakumupilimilya U-Yesu nukumutegelya ulukani Langwi Itunda, nai wimikile panipelo aluzi la Genesareti.
Siku moja Yesu alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti, na watu wengi walikuwa wamemzunguka wakisongana wanalisikiliza neno la Mungu.
2 Auine mabine abili Imikingwe kupelo aluzi Iaibua Samaki aiapumaa aiakoja inyabu yao.
Akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa; wavuvi wenyewe walikuwa wametoka, wanaosha nyavu zao.
3 U-Yesu akingila mibini, nai lang'wa Simoni na akalompa atwale ibini muluzi kuli inino nihi ninyumu. hangi akikie kumumanyisa kupuma mibini.
Baada ya Yesu kuingia katika mashua moja, iliyokuwa ya Simoni, alimtaka Simoni aisogeze majini, mbali kidogo na ukingo wa ziwa. Akaketi, akafundisha umati wa watu akiwa ndani ya mashua.
4 Akaligitia, akamuila U-Simoni litwale ibini lako muluzi uisimie inyabu yako utule bua Insamaki.
Alipomaliza kufundisha, akamwambia Simoni, “Peleka mashua mpaka kilindini, mkatupe nyavu zenu mpate kuvua samaki.”
5 Simoni akasusha nukulunga, tata kituma, aimilimo uliku wihi, Shakupatile anga kintu kihi hangi kulukani lako kuisimya inyabu.
Simoni akamjibu, “Bwana, tumejitahidi kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu.”
6 Naitumile uu ikahoela Insamaki iduu na lyabu yao yika tula tinike.
Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.
7 Ikaitanga Iabuani ao kibini Ingiza hangi aze kua ailya. Ikaza akizulia imabini ihi ikatula kilieka mukati muluzi.
Wakawaita wenzao waliokuwa katika mashua nyingine waje kuwasaidia. Wakaja, wakazijaza mashua zote mbili samaki, hata karibu zingezama.
8 Hangi Simoni Petro nauine uu, akatugama na malu pang'wa Yesu akalunga;''Hega kitalane, kunsoko une ni muntu wamilandu tata.
Simoni Petro alipoona hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu akisema, “Ondoka mbele yangu, ee Bwana, kwa kuwa mimi ni mwenye dhambi!”
9 Kunsoko akapata ikuilwa ihi naine kunsamaki naiatendile.
Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.
10 Ulu iti aliakuile uYakobo na Yohana ng'wana wang'wa Zebedayo aipulug'wi nu Simoni. Nu Yesu akamuila uSimoni kandya itungili apana kogopa kumbele ukutula bua iantu.
Hali kadhalika Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, waliokuwa wavuvi wenzake Simoni. Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope; tangu sasa utakuwa ukivua watu.”
11 Naiamaletile imabini ao mihi ni nyumu, kaleka kintu kihi ikamutyata nuanso.
Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.
12 Niipumie naukali mukisali muntu naukete ibili kuko, matungo namuine U-Yesu augwie akakumana pihi nukulompa, akalunga,''tata ang'wi uloiwe umponie.''
Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojawapo wa miji ya huko, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona. Basi, mtu huyo akaanguka kifudifudi akamwomba Yesu: “Mheshimiwa, ukitaka, waweza kunitakasa.”
13 Sunga U-Yesu akahumbula umukona nukumuamba, akalunga ndoilwa ukomie itungo lilo imbili iakahega.
Yesu akaunyosha mkono wake, akamgusa na kusema, “Nataka, takasika!” Mara ule ukoma ukamwacha.
14 Akamuile alekekumuila anga muntu wihi, akamula longala wionyeshe nu utemi upumie isongiliyo.
Yesu akamwamuru: “Usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama inavyotakiwa na Sheria ya Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona.”
15 Kulula ikani yakwe ikasambaila kui, numilundo wa antu ukaza palung'wi nukumutigelya numanyisa nukuguna imalwae ao.
Lakini habari za Yesu zilizidi kuenea kila mahali. Watu makundi mengi wakakusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
16 Ingi hapu hapuu akikie wingene akazilompa.
Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko.
17 Aituile luhiku lungwi nema hiku ayo naukumanyisa, aiokoli Mafarisayo niamanyisa anonya nkai akikie hapo aizile kupuma muisali ningiza numukisali kang, wa Galilaya nanu Yudea, hangi nukupuma mukisali kang'wa Yerusalemu. Ingulu yang'wa tata akali palung'wi nung'wenso kuguna.
Siku moja Yesu alikuwa akifundisha. Mafarisayo na walimu wa Sheria kutoka katika kila kijiji cha Galilaya, Yudea na Yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
18 antu akehu aiazile, ainkenkile mundili umuntu nuigandi naikai ikaduma inzila akumingilya mukati amulalishe pihi kuntongela ang'wa Yesu.
Mara watu wakaja wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani wamweke mbele ya Yesu.
19 Shaikapata inzila akumingilya mukati kunsoko umilundo, ukanankila migulya milialo lanyumba ikamusunta muntu nuanso pihi kukiila mibolomya migulya mundili akwe mukati wa antu kuntongela lukulu pang'wa Yesu.
Lakini kwa sababu ya wingi wa watu, hawakuweza kuingia ndani. Basi, wakapanda juu ya dari, wakaondoa vigae, wakamshusha huyo aliyepooza pamoja na kitanda chake, wakamweka mbele ya Yesu.
20 Akazigoza uhuili wakwe, Yesu akalunga muhumba miane, imilandu ako wasamehelwa.
Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, “Rafiki, umesamehewa dhambi zako.”
21 Anumwa nkani ni mafalisayo ikandya kukolya nulanso, akalunga uyu nyenyu nukuligitya kuubii? Nyenyu nuhumile kusamehela imilandu ingi Itunda du nuing'wine?
Walimu wa Sheria na Mafarisayo wakaanza kujiuliza: “Nani huyu anayemkufuru Mungu kwa maneno yake? Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake!”
22 Ingi u Yesu ainualinga ntuni naiakukisiga, akasukilya, nukuaila, kuniki nimukikolya mukolo yanyu?
Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?
23 Nikiuli nikipepele kulugilya, Imilandu ako alekwa ang'wi kulunga uka ugende?
Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi, au kusema, Simama utembee?
24 Ingi mulinge gwa ung'wana wang'wa Adamu ukite uhumu muukumbigulu kusamehela imilandu, kuila uewe uka uhole indili ako ulongole kitalako.
Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kusamehe dhambi duniani.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Simama, chukua kitanda chako uende zako nyumbani.”
25 Imatungo yayo yayo akauko meleao nukuhola indili akwe naulaie. Hangi akasuka kitalakwe nukumukulya Itunda.
Mara, huyo mtu aliyepooza akasimama mbele yao wote, akachukua kitanda chake akaenda zake nyumbani huku akimtukuza Mungu.
26 Ingi kila ung'wi ao akakuilwa nukumukulya Itunda. Ikizuilwa nuao, ikalunga, kuine ikani shanga nzaile liyi.
Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: “Tumeona maajabu leo.”
27 Ingi inkani nianso kupumila, u Yesu akahega kung'wanso akamuona umuhoela mpia naiwitang'wa Lawi wikie mukisali kakuhoela mpia. Akamuiila, ntwate.
Baada ya hayo, Yesu akatoka nje, akamwona mtoza ushuru mmoja aitwaye Lawi, ameketi ofisini. Yesu akamwambia, “Nifuate!”
28 Ingi u Lawi akahumbuka nukumuntwata, akaleka kila kintu kunyuma.
Lawi akaacha yote, akamfuata.
29 Ingi u Lawi akanunelya munyumbakwe isikukuu ninkulu kunsoko ang'wa Yesu. Aiakoli iahoela mpia indu kung'wanso ni antu indu naiikie pameza akizilya palung'wi nienso.
Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani mwake; na kundi kubwa la watoza ushuru na watu wengine walikuwa wameketi pamoja nao.
30 Hangi mafalisayo aiakuanung'u nikila iamanyisigwa akizilunga, kuniki nimukulya nukung'wa niahoela mpia palung'wi ni antu niangiza niakite milandu?
Mafarisayo na walimu wa Sheria wakawanung'unikia wafuasi wake wakisema: “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?”
31 U Yesu akasusha, iantu niakite upanga nuuza shaatakile itabibu, ingi ao nialwaeli niaamutakile ung'wi.
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji daktari, lakini wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
32 Shainzile kuitanga iantu makite itai ahume kugunwa, ingi ainziitanga nia milandu ahume kugunwa.
Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, ili wapate kutubu.”
33 Ikamuila, iamanyisigwa ang'wa Yohana a hapouifunga nukulompa, ni amanyisigwa ang'wa mafalisayonienso itenda uu, Ai amanyisigwa ako iliza nukung'wa.
Watu wengine wakamwambia Yesu, “Wafuasi wa Yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya vivyo hivyo. Lakini wafuasi wako hula na kunywa.”
34 U Yesu akaaila, ihumile muntu wihi kituma naiendile muwinga kumunyawinga, matungo numunyawinga, kilukoli palung'wi nienso?
Yesu akawajibu, “Je, mnaweza kuwataka wale walioalikwa arusini wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao?
35 Ingi imahiku aziziza imatungo umunyamwinga nuzi hegigwa kitalao, lulo luhiku lakufunga.
Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao, na wakati huo ndipo watakapofunga.”
36 Ingi u Yesu akaligitya kitalao kwakilingasilyo. Hutile nukutamula inino ung'wenda kupuma mivazi nipya nukutumila kunonelya ivazi nilakali. Anga watende uu, ukutamula ung'wenda.
Yesu akawaambia mfano huu: “Hakuna mtu akataye kiraka cha nguo mpya na kukitia katika vazi kuukuu; kama akifanya hivyo, atakuwa amelikata hilo vazi jipya, na hicho kiraka hakitachukuana na hilo vazi kuukuu.
37 Hangi kutile anga muntu nuika idivai nimpya muuriba nunkulukulu, inga angitume uu, idivai nimpya aizitamula. Ikiseme ni divai aizihunuka iriba aiyizigazika.
Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; kwani hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, divai itamwagika, na viriba vitaharibika.
38 Ingi idivai nimpya iikwe muiliba nimpya.
Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!
39 Kutile umuntu hangi nukung'wa idivai na kali, shukulowa nimpya kunsoko ukulunga na kali nza.
Wala hakuna mtu ambaye hutamani kunywa divai mpya baada ya kunywa ya zamani, kwani husema: Ile ya zamani ni nzuri zaidi.”

< Luka 5 >