< Luka 4 >

1 Sunga u - Yesu akaza wizue ung'wang'welu, akasuka kupuma kumongo wang'wa Jordani, hangi akatongelwa nu ng'wang'welu mumbuga.
Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani
2 Kwa mahiku makumi ane nukung'wanso akapata, mageng, wa nu mulungu, imatungo nanso shanga akalya anga kintu kilii, nempelo amatungo nanso.
kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa.
3 Umulugu akalunga ang'we tai wing'wana wang'wi Itunda liilie igwe litule ludya.
Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate.”
4 U - Yesu akasukilya iandikile umuntu shanga ukikie kundya duu.
Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”
5 Hangi umulugu akamutongela mingulya kunsonge a lugulu, akamulagila utemi wi hii nwa munku migulu kumatungo ni makupii.
Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi.
6 Umulugu akamuila kuupa ukulu wa utemi wihii nuu kote kituma uu kunsoko iikilwe kitalane nikete wihi nutakile kumpa.
Ibilisi akamwambia, “Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa.
7 Ang'wi ukutungama, nukunkulya imaintu aya akutula ako ihi.
Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako.”
8 Ingi u Yesu akasusha nukumuila, iandekilye, umukulye Itunda wako, nukumutumikila ung'wenso duu.
Lakini Yesu alijibu na kumwambia, “Imeandikwa, “lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake.”
9 Itungo umulugu akamutongela u-Yesu mpaka kuYerusalemu, nukumuika migulya mitekelo, akamuila ang'wi wing'wana wa ng'wi tunda wigume pihi kupuma pang'wanso.
Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa.
10 Kunsoko iandikilwe, ukualangilya i a malaika akwe nukuusunga.
Kwa sababu imeandikwa, “Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda,
11 Hakuhumbula miglya mumikono ao kunsoko uleke kiaalya imigulu migwe.
na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe.”
12 U-Yesu akasusha akamuila, itambuwe leka kumugema Itunda ako.
Yesu akijibu alimwambia, “Imenenwa, “usimjaribu Bwana Mungu wako.”
13 Umulugu naukondilye kumugema U-Yesu, akalongola yakwe akamuleka imatungo ni mangiza.
Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine.
14 Ingi U-Yesu akasuka ku-galilaya kunguluu ya ng'wa ng'welu, ninkani yakwe yakendelea kusambaila muisale yihi nia pakupi.
Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote.
15 Aumanyisilye mumatekelo ao, ihi ikamukulya.
Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu.
16 Luhiku akalongola ku Nazaleti, mukisali nautungilwe nukukuila. Anga naiwilowa kingila mumatekelo luhiku la sabato, na aiwimikile nukusoma naiiandikile.
Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko.
17 Akapegwa ikitabu kang'wanyakindagu U-Isaya, kululo, akalungula akaduma apo niandekile.
Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa,
18 Ung'wang'welu ukole mitalane, kunsoko aumpakoie imakuta kutanahia ulukani luza. Untumile kutanantwa ulekelwa kuwatungwa, nishaiona kuteleona hangi kuapa ulekelwa awa neonyeigwe.
“Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa,
19 Kutanantwa ung'waka nua mukulu ukulangila uza wakwe.
kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake.”
20 Hangi akalungaila ikitabu, akamusukilya umukulu witekelo, nukikie pihe. Miho aantu ihi ikamuguzela naiakoli pang'wanso ikamugozela ung'wenso.
Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye.
21 Akandya kulingitya neenso akalunga, ileliye ilangilyo lapika muakutwi ayu.
Alianza kuzungumza nao akisema, “Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu.”
22 Ihii naihenile pang'wanso naikilingitigwe nu Yesu, na indu naiakoli pang'wanso ikakuilwa inkani Yauhugu nai yakupumakumulomo wakwe aikulunga, ''uhuyu ingi muhumba du wang'wa Yusufu, singa uu.
Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, “huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?”
23 U-Yesu akamuila itai mukulingitwa ulu lukole kitalane, ilagute uewe kihii nikigule anga wituma Kapernaumu, Itume hangi numukisali kako.
Yesu akawaambia, “hakika mtasema methali hii kwangu, “Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako.”
24 Hangi akalunga,''tai kumuilaa unye kutile munya kidagu nugombigwe mihi akwe.
Pia alisema, “hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake.”
25 Ingi kumuila unye tai aiakole lashilwa iduku Israel kumatungo ang'wa Eliya, matungo ni lunde nailitungilwa itule kutili anga mbula myaka itaatu ni kinda, matungo naeikoli inzala ni nkulu ihi ihi.
Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote.
26 Ingi u - Eliya shaautumilye kumuntu wihi hangi kumushilwa ung'widu naiwikie ku sarepta pakupi ni kisali ua sidoni.
Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni.
27 Aiakoli anyambili ku Israel imatungo ang'wa Elisha umunyakidagu, ingi kutile ung'wi ao nauponigwa ingi u Naamani muntu wa ku siria.
Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria.
28 Antu ihi munyumba mitekelo aiizue nuulowa naigule nanso ihi.
Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote.
29 Ikimika kumuhugelya kunzi mukisali, nukumugila pakupi nu lugulu la mukisali hangi kisali kao nauzengilye migulwa akwe kumuguma pihii.
Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini.
30 Ingi aukiile uza pakati ao akalongola yakwe.
Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake.
31 Hangi akasimila kapernaumu mukisali kaku Galilaya sabato ung'wi aukuamanyisa iantu munyumba mitekeelo.
Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi.
32 Akakuilwa umanyisigwa wakwe aumanyisilye kwa uhumu wakwe.
Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka.
33 Uluhiku nulanso mukati musinagogi aukoli muntu naukite nkolo amitunga niaabii.
Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu,
34 Ukite ntuni nue u - Yesu nazareti? waaza kumala? minne ue winyanyu! uewe wing'wang'welu ang'wi Itunda.
“Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!”
35 U-Yesu amapatilye umintunga akalunga kilaga ihitwu nuanso umintunga nuanso akamuguma muntu nuanso pihi mukatikati ao akapuma kuuntu nuanso singa akaona anga uwai.
Yesu alimkemea pepo akisema, “Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!” Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote.
36 Iantu ihi ikapata Ikuilwa, ikatula ligitya Inkani kila umuntu numuya Ikazilunga Izinnkanikee akahega ikolo nimbii kuhumi akag'wa.
Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, “Ni maneno ya aina gani haya?” Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka.”
37 Kululo intambu ang'wa Yesu ikapika kuli ninkani yikapiimilya mukisali nikanso.
Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo.
38 Ingi u-Yesu akahega mukisali nikanso naaki ngila munyumba ang'wa simoni itungili ite mukwing'wa angwa Simoni ae mulwae ndwala ntaki naikamulompa kukiila kungwa kwe.
Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake.
39 Ingi u-Yesu akamuhugela, akamupatya Indwala ikahega hapuu na akimika akatula mitamila Itunda
Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia.
40 Liyoa nailukuhaila, lantu aiamuletee U-Yesu kila umuntu naikite umu lua akwe hangi kila indwala akaika imikono akwe migulya amulue na akagunika.
Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote.
41 Iamintunga nienso ikapume iduu akazilila kulali ikazilunga ue ingi wing'wana wang'wi Itunda: U-Yesu akapatiya lamimitunga shakago mpya kuligitiu kunsoka auine nuanso Kristo.
Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, “Wewe ni mwana wa Mungu!” Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo.
42 Matungo naiweile, aiwendile kieneo naingila iantu. Umilundo wa antu akumuduma naikaza kieneo naukoti. Ikatula mugiliya alekekenda kuli nienso.
Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao.
43 Ingi akaila, kutula tanalwya uuza mukulu ng'wa ngwa Itunda, Kuisali ningiza kunsoko aidangiigwe Pa ng'wanso.
Lakini akawaambia, “Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa.”
44 Hangi akendelea kutanatia mukati musinagogi ku- Yahudi wihi.
Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.

< Luka 4 >