< 1 Tawarikh 8 >

1 Benyamin memperanakkan Bela, anak sulungnya, Asybel, anak yang kedua, Ahrah, anak yang ketiga,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Noha, anak yang keempat dan Rafa, anak yang kelima.
Noha, na Rafa.
3 Anak-anak Bela ialah Adar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisua, Naaman, Ahoah,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Sefufan dan Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Inilah anak-anak Ehud; mereka ini adalah kepala-kepala puak penduduk Geba yang diangkut ke dalam pembuangan ke Manahat;
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Naaman, Ahia dan Gera mengangkut mereka ke dalam pembuangan; dia memperanakkan Uza dan Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Saharaim mendapat anak di daerah Moab, sesudah diusirnya Husim dan Baara, isteri-isterinya.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Ia mendapat anak dari Hodesh, isterinya, yakni Yobab, Zibya, Mesa, Malkam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Yeus, Sokhya dan Mirma; itulah anak-anaknya, kepala-kepala puak;
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 sebelum itu dari Husim ia telah mendapat anak, yakni Abitub dan Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Anak-anak Elpaal ialah Eber, Misam dan Semed; dia ini mendirikan kota Ono dan kota Lod dengan segala anak kotanya.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Beria dan Sema adalah kepala-kepala puak penduduk Ayalon; mereka telah menghalau penduduk Gat.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Ahyo, Sasak, Yeremot,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zebaja, Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Mikhael, Yispa dan Yoha ialah anak-anak Beria.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Zebaja, Mesulam, Hizki, Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Yismerai, Yizlia dan Yobab ialah anak-anak Elpaal.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Yakim, Zikhri, Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elyoenai, Ziletai, Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaya, Beraya dan Simrat ialah anak-anak Simei.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Yispan, Eber, Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Zikhri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananya, Elam, Antotia,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Yifdeya dan Pnuel ialah anak-anak Sasak.
Ifdeia, na Penueli.
26 Samserai, Seharya, Atalya,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Yaaresya, Elia dan Zikhri ialah anak-anak Yeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Itulah para kepala puak, para kepala menurut keturunan mereka; mereka ini diam di Yerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 Tetapi di Gibeon diam bapa Gibeon, yakni Yeiel, dan nama isterinya ialah Maakha.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Anak sulungnya ialah Abdon, lalu Zur, Kish, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ahyo, Zekher
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 dan Miklot yang memperanakkan Simea. Juga mereka ini pergi diam berdekatan dengan saudara-saudara mereka di Yerusalem bersama-sama saudara mereka yang lain.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner memperanakkan Kish; Kish memperanakkan Saul; Saul memperanakkan Yonatan, Malkisua, Abinadab dan Esybaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Anak Yonatan ialah Meribaal dan Meribaal memperanakkan Mikha.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Anak Mikha ialah Piton, Melekh, Tarea dan Ahas.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Ahas memperanakkan Yoada; Yoada memperanakkan Alemet, Azmawet dan Zimri; Zimri memperanakkan Moza.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Moza memperanakkan Bina; anak orang ini ialah Rafa, dan anak orang ini ialah Elasa, dan anak orang ini ialah Azel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Azel mempunyai enam orang anak, dan inilah nama-nama mereka: Azrikam, Bokhru, Ismael, Searya, Obaja dan Hanan. Itulah sekaliannya anak-anak Azel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Anak-anak Esek, saudaranya, ialah Ulam, anak sulungnya, lalu Yeush, anak yang kedua, dan Elifelet, anak yang ketiga.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Anak-anak Ulam itu adalah orang-orang berani, pahlawan-pahlawan yang gagah perkasa, pemanah-pemanah; anak dan cucu mereka banyak: seratus lima puluh orang. Mereka semuanya itu termasuk bani Benyamin.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Tawarikh 8 >