< Yeremia 19 >

1 TUHAN menyuruh aku pergi membeli kendi, dan mengajak beberapa pemimpin bangsa serta beberapa imam yang tua-tua,
Hili ndilo asemalo Bwana: “Nenda ukanunue gudulia la udongo kutoka kwa mfinyanzi. Wachukue baadhi ya wazee wa watu na wa makuhani
2 untuk pergi bersama-sama mereka ke Lembah Hinom melalui Pintu Gerbang Beling. Di sana aku harus mengumumkan apa yang dipesankan-Nya kepadaku.
na mtoke mwende mpaka kwenye Bonde la Ben-Hinomu, karibu na ingilio la Lango la Vigae. Huko tangaza maneno ninayokuambia,
3 Aku harus berkata begini, "Hai raja-raja Yehuda dan penduduk Yerusalem! Dengarkan apa yang Aku, TUHAN Yang Mahakuasa, Allah Israel, hendak katakan kepadamu. Aku akan mendatangkan malapetaka yang besar ke atas tempat ini sehingga orang yang mendengarnya terkejut.
nawe useme, ‘Sikieni neno la Bwana, enyi wafalme wa Yuda na watu wa Yerusalemu. Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Sikilizeni! Nitaleta maafa mahali hapa, ambayo yatafanya masikio ya kila mmoja atakayesikia habari zake yawashe.
4 Hal itu Kulakukan karena bangsa ini telah meninggalkan Aku. Mereka menajiskan tempat ini dengan mempersembahkan kurban kepada dewa-dewa yang asing bagi mereka, bagi leluhur mereka dan bagi raja-raja Yehuda. Mereka juga telah mengisi tempat ini dengan darah orang-orang yang tak bersalah.
Kwa kuwa wameniacha na kupafanya mahali hapa kuwa pa miungu ya kigeni. Wameiteketezea sadaka miungu ambayo wao wala baba zao wala wafalme wa Yuda kamwe hawakuijua, nao wamelijaza eneo hili kwa damu isiyo na hatia.
5 Mereka mendirikan mezbah bagi Baal untuk mempersembahkan anak-anak mereka sebagai kurban bakaran, padahal Aku tak pernah menyuruh mereka melakukan hal itu, bahkan tak pernah hal semacam itu timbul dalam pikiran-Ku.
Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kama sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu.
6 Karena itu, akan tiba waktunya tempat ini tidak lagi disebut Tofet atau Lembah Hinom, melainkan Lembah Pembantaian.
Hivyo jihadharini, siku zinakuja, asema Bwana, wakati watu hawatapaita tena mahali hapa Tofethi ama Bonde la Ben-Hinomu, bali Bonde la Machinjo.
7 Di tempat ini Aku akan menggagalkan semua rencana orang Yehuda dan penduduk Yerusalem. Mereka akan Kubiarkan dikalahkan oleh musuh-musuh mereka dan dibunuh dalam pertempuran. Mayat mereka akan Kubiarkan dimakan burung dan binatang buas.
“‘Nitaiharibu mipango ya Yuda na Yerusalemu mahali hapa. Nitawafanya waanguke kwa upanga mbele ya adui zao, katika mikono ya wale watafutao uhai wao, nami nitaitoa mizoga yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi.
8 Aku akan menimpakan malapetaka yang dahsyat ke atas kota ini sehingga setiap orang yang lewat di situ akan terkejut dan ngeri.
Nitauharibu mji huu na kuufanya kitu cha kudharauliwa. Wote wapitao karibu watashangaa na kuudhihaki kwa sababu ya majeraha yake yote.
9 Musuh akan mengepung kota ini, dan berusaha membunuh penduduknya. Pengepungan itu begitu hebat, sehingga orang-orang di dalam kota ini saling memakan temannya, bahkan anak-anak mereka sendiri."
Nitawafanya wao kula nyama ya wana wao na binti zao; kila mmoja atakula nyama ya mwenzake wakati wa dhiki ya kuzungukwa na jeshi lililowekwa juu yao na adui wanaotafuta uhai wao.’
10 Kemudian TUHAN menyuruh aku memecahkan kendi itu di depan orang-orang yang mengikuti aku.
“Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia,
11 Aku harus mengatakan kepada mereka bahwa TUHAN Yang Mahakuasa berkata begini, "Bangsa dan kota ini akan Kuhancurkan sehingga menjadi seperti kendi yang pecah itu yang tak dapat diperbaiki lagi. Orang akan menguburkan mayat-mayat mereka di Tofet, karena tak ada lagi tempat pekuburan lain.
uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: Nitalivunja taifa hili na mji huu kama gudulia hili la mfinyanzi lilivyovunjwa, nalo haliwezi kutengenezeka tena. Watawazika waliokufa huko Tofethi hata isiwepo nafasi zaidi.
12 Kota ini dengan penduduknya akan Kujadikan seperti Tofet.
Hivi ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na kwa wale waishio ndani yake, asema Bwana. Nitaufanya mji huu kama Tofethi.
13 Semua rumah di Yerusalem dan semua rumah raja-raja Yehuda akan menjadi najis seperti Tofet; karena di atas atap rumah-rumah itu orang telah membakar dupa untuk dewa-dewa langit, dan mempersembahkan anggur untuk dewa-dewa lain."
Nyumba zilizoko Yerusalemu na zile za wafalme wa Yuda zitatiwa unajisi kama mahali hapa, Tofethi: yaani nyumba zote ambazo walifukiza uvumba juu ya mapaa yake kwa jeshi lote la angani, na kumimina dhabihu za vinywaji kwa miungu mingine.’”
14 Lalu aku meninggalkan Tofet, tempat aku disuruh menyampaikan pesan TUHAN. Aku pergi ke pelataran Rumah TUHAN dan berdiri di situ, lalu memberitahukan kepada semua orang,
Kisha Yeremia akarudi kutoka Tofethi, mahali ambapo Bwana alikuwa amemtuma kutoa unabii, akasimama katika ua wa Hekalu la Bwana na kuwaambia watu wote,
15 bahwa TUHAN Yang Mahakuasa, Allah Israel, berkata begini, "Karena kamu keras kepala dan tak mau mendengarkan, maka Aku akan mendatangkan ke atas kota ini dan ke atas semua desa di sekitarnya segala bencana yang telah Kurencanakan."
“Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya mji huu pamoja na vijiji vinavyouzunguka kila maafa niliyosema dhidi yake, kwa sababu wamekuwa na shingo ngumu, na hawakuyasikiliza maneno yangu.’”

< Yeremia 19 >