< Job 41 >

1 Kabaelam kadi a banniitan ti leviatan? Wenno galutan ti sungona?
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 Kabaelam kadi a talian ti agongna, wenno duyoken ti pangalna babaen iti banniit?
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 Agpakaasi kadi kenka daytoy? Makisao kadi kenka daytoy iti naalumamay?
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 Makitulag kadi daytoy kenka, nga alaem isuna nga agbalin nga adipenmo iti agnanayon?
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 Makiaay-ayamka kadi kenkuana a kas iti billit? Galutam kadi isuna para kadagiti adipenmo a babbai?
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 Makitinnawar kadi dagiti bunggoy ti mangngalap para kenkuana? Tadtadenda kadi isuna nga isukatda kadagiti aglaklako?
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 Kabaelam kadi a punnoen ti kudilna iti gayang wenno ti ulona iti pangkalap a pika?
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 Sagidem isuna iti uray maminsan laeng, ket malaglagipmonto ti panakirangetna ket saanmonton nga uliten daytoy.
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 Kitaem, ti namnama ti siasinoman a mangar-aramid iti dayta ket ubbaw; saan kadi a matuang iti daga ti siasinoman uray no makitada laeng daytoy?
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 Awan ti narungsot a makaitured a mangriribuk iti leviatan; siasino ngarud ti makaitured a tumakder iti sangoanak?
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 Siasino ti immun-una a nakaited iti aniaman a banag kaniak tapno agsubadak koma kenkuana? Aniaman nga adda iti sirok ti sibubukel a tangatang ket kukuak.
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 Saanak nga agulimek maipanggep kadagiti saka ti leviatan, wenno maipapan iti pigsana, wenno ti makaay-ayo a langana.
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 Siasino ti makaikkat iti akinruar nga akkub ti bagina? Siasino ti makasalpot iti doble a kabalna?
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 Siasino ti makalukat iti ruangan ti rupana - a napalikmutan kadagiti ngipenna, a nakabutbuteng?
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 Naaramid ti bukotna iti naintar a salaknib, nagdedekketda a kas iti nagdidinnekket a pangserra.
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 Naidekket unay ti maysa iti sabali pay nga awan pulos ti angin a makastrek iti nagbabaetan dagitoy.
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 Nagdidinnekketda iti tunggal maysa; nagkikinnapetda, tapno saanda a mapagsisina.
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 Adda silnag a rummuar iti panagbang-esna; maiyarig dagiti matana iti panagsingising ti init iti parbangon.
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 Iti ngiwatna, rumuar ti kasla umap-apuy a pagsilawan, aglalagto a rummuar dagiti rissik ti apuy.
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 Kadagiti abut ti agongna, rumuar ti asuk a kas iti agburburek a danum iti banga a nakasaang iti apuy a kasta unay ti pudotna.
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 Pasgedan ti angesna dagiti uging; apuy ti rumuar manipud iti ngiwatna.
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 Iti tengngedna ket kinapigsa, ket nakabutbuteng ti lumablabas iti sangoananna.
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 Nagdidinnekket dagiti paspaset ti lasagna; nakalaglagdada; saanda a makuti.
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 Ti pusona ket kas katangken ti bato - pudno, katangtangken ti akinbaba a bato ti paggilingan.
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 No tumakder isuna, uray dagiti didiosen ket agbuteng; gapu iti buteng, agsanudda.
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 No maiduyok ti kampilan kenkuana, awan mamaayna - ken uray ti gayang ken pana wenno uray ania a natirad nga armas.
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 Kasla laeng garami, ti landok kenkuana, ken ti bronse ket kasla laeng narukop a kayo.
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 Saan isuna a mapagtaray ti pana; para kenkuana, ti maipalsiit a bato ket kasla laeng taep.
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 Dagiti pang-or ket ibilbilangna a kas garami; katkatawaanna dagiti agtatayab a gayang nga agturong kenkuana.
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 Dagiti akinbaba a pasetna ket maiyarig kadagiti natatadem a paset ti nabuong a banga; mangibati isuna iti tugot iti kapitakan a kasla maysa isuna a dakkel nga arado.
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 Pagburekenna ti nauneg a baybay a kas iti maysa a banga nga adda agburburek a danumna; pagbalinenna ti baybay a kasla banga ti sapsapo.
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 Pagraniagenna ti pagnaanna; pagarupen ti makakita a nagbalin a puraw ti nauneg a baybay.
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 Iti rabaw ti daga, awan ti umasping kenkuana, a nagbiag nga awan pagbutnganna.
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 Makitkitana amin a napalangguad; isuna ti ari kadagiti amin nga annak ti kinapalangguad.”
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< Job 41 >