< Isaias 8 >

1 Kinuna ni Yahweh kaniak, “Mangalaka iti dakkel a tapi ti bato ket isuratmo ditoy ti 'Maher Shalal Hash Baz.'
Bwana akaniambia, “Chukua gombo kubwa, uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida jina: Maher-Shalal-Hash-Bazi.
2 Mangayabakto kadagiti napudno a tattao a mangpaneknek kaniak, ni Urias a padi, ken ni Zacarias a putot ni Jeberekias.”
Nami nitawaita kuhani Uria, na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.”
3 Napanak iti ayan ti babai a profeta ket nagsikog isuna ken nagpasngay iti maysa a lalaki. Ket kinuna ni Yahweh kaniak, “Panaganam isuna ti 'Maher Shalal Hash Baz.'
Kisha nikaenda kwa nabii mke, naye akapata mimba, akazaa mwana. Kisha Bwana akaniambia, “Mwite huyo mtoto Maher-Shalal-Hash-Bazi.
4 Gapu ta sakbay pay a makabalikas ti ubing iti 'Amak' wenno 'Inak,' dagiti amin a kinabaknang ti Damasco ken ti nasamsam iti Samaria ket ipanawto ti ari ti Asiria.”
Kabla mtoto hajaweza kusema ‘Baba yangu’ au ‘Mama yangu,’ utajiri wa Dameski na nyara za Samaria zitachukuliwa na mfalme wa Ashuru.”
5 Nagsao manen ni Yahweh kaniak,
Bwana akasema nami tena:
6 “Gapu ta pinagkedkedan dagitoy a tattao dagiti nainnayad a danum ti Siloe, ken maragsakanda kenni Rezin ken iti lalaki a putot ni Remalias,
“Kwa sababu watu hawa wamekataa maji ya Shilo yatiririkayo taratibu wakamfurahia Resini na mwana wa Remalia,
7 ngarud, dandanin nga iyeg ti Apo kadakuada dagiti danum iti Karayan, naranggas ken adu, ti ari ti Asiria ken ti amin a dayagna. Umadalemto amin a pagayusanna ken lapunosenna dagiti teppangna,
kwa hiyo Bwana yu karibu kuleta dhidi yao mafuriko makubwa ya Mto: yaani mfalme wa Ashuru na fahari yake yote. Yatafurika juu ya mifereji yake yote, yatamwagikia juu ya kingo zake zote,
8 ket agayusto nga agturong iti Juda, manglayusto ken agayusto agingga a madanonna ti tengngedmo. Sakupento ti nakaukrad a payyakna ti entero a dagam, Immanuel.”
na kufika hadi Yuda, yakizunguka kwa kasi juu yake, yakipita katikati na yakifika hadi shingoni. Mabawa yake yaliyokunjuliwa yatafunika upana wa nchi yako, Ee Imanueli!”
9 Maburak-burakkayonto, dakayo a tattao. Dumngegkayo, dakayo amin nga adayo a pagillian: Agsaganakayo a makigubat ngem maburak-burakkayonto; agarmaskayo ngem maburak-burakkayonto.
Inueni kilio cha vita, enyi mataifa, na mkavunjwevunjwe! Sikilizeni, enyi nyote nchi za mbali. Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe! Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe!
10 Agpanggepkayo ngem saanto a maipatungpal daytoy; mangipaulogkayo iti bilin ngem saanto a maipatungpal, ta adda kadakami ti Dios.
Wekeni mikakati yenu, lakini itashindwa; fanyeni mipango yenu, lakini haitafanikiwa, kwa maana Mungu yu pamoja nasi.
11 Nagsao kaniak ni Yahweh, ket kasla la iniggamannak ti napigsa nga imana, ken binallaagannak a saanak a magna iti wagas dagitoy a tattao.
Bwana alisema nami mkono wake wenye nguvu ukiwa juu yangu, akinionya nisifuate njia za taifa hili. Akasema:
12 Saanmo nga ibaga a dakes a panggep dagiti aniaman nga ibagbaga dagitoy a tattao a dakes a panggep, saanmo a pagbutngan dagiti pagbutbutnganda, ket saanka nga agbutbuteng.
“Usiite fitina kila kitu ambacho watu hawa hukiita fitina, usiogope kile wanachokiogopa, wala usikihofu.
13 Ni Yahweh a Mannakabalin-amin, dayawem isuna a kas nasantoan, agbutengka kenkuana, isuna ti rumbeng a pagbutngam.
Bwana Mwenye Nguvu Zote ndiye peke yake ikupasaye kumheshimu kuwa mtakatifu, ndiye peke yake utakayemwogopa, ndiye peke yake utakayemhofu,
14 Agbalinto isuna a santuario; ngem agbalinto isuna a bato a maitama kadakuada, ken dakkel a bato a pakaitibkolanda—kadagiti dua a balay ti Israel. Ken agbalinto isuna a silo ken palab-og kadagiti tattao ti Jerusalem.
naye atakuwa mahali patakatifu; lakini kwa nyumba zote mbili za Israeli atakuwa jiwe lile linalosababisha watu kujikwaa na mwamba wa kuwaangusha. Kwa watu wa Yerusalemu, atakuwa mtego na tanzi.
15 Adunto iti maitibkol iti daytoy ket matumbada, marumekrumekda, ken masiluandanto ket matiliwda.
Wengi wao watajikwaa; wataanguka na kuvunjika, watategwa na kunaswa.”
16 Galutam ti pammaneknekko, selyoam ti kasuratan, ket itedmo kadagiti adalak.
Funga ushuhuda na kutia muhuri sheria miongoni mwa wanafunzi wangu.
17 Urayek ni Yahweh a nangilinged iti rupana manipud iti balay ni Jacob; urayek isuna.
Nitamngojea Bwana, ambaye ameificha nyumba ya Yakobo uso wake. Nitaliweka tumaini langu kwake.
18 Kitaem, siak ken dagiti annak nga inted kaniak ni Yahweh ket maipaay a pagilasinan ken nakaskasdaaw iti Israel manipud kenni Yahweh a Mannakabalin-amin nga agnanaed iti Bantay Sion.
Niko hapa, pamoja na watoto ambao Bwana amenipa. Sisi ni ishara na mfano wake katika Israeli, kutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote, anayeishi juu ya Mlima Sayuni.
19 Ibagadanto kadakayo, “Makiumankayo kadagiti makium-uman kadagiti espiritu ken salamangkero,” dagiti agar-arasaas ken agtaltalamitim. Ngem saan aya a rumbeng koma a makiuman dagiti tattao iti Diosda? Rumbeng kadi a makiumanda kadigiti natay nga agpaay kadagiti sibibiag?
Wakati watu wanapowaambia ninyi kutafuta ushauri kwa waaguzi na wenye kuongea na mizimu, ambao hunongʼona na kunungʼunika, je, watu wasingeuliza kwa Mungu wao? Kwa nini watake shauri kwa wafu kwa ajili ya walio hai?
20 Isu a masapul nga ipangagyo ti linteg ken ti pammaneknek! No saanda nga ibaga dagitti kasta a banbanag, daytoy ket gapu ta awan iti lawag kadakuada.
Kwa sheria na kwa ushuhuda! Kama hawatasema sawasawa na neno hili, hawana mwanga wa mapambazuko.
21 Lumasatdanto iti daga a napnoan iti riribuk ken panagbisin. Inton agbisinda, makaungetdanto ken ilunoddanto ti ari ken ti Diosda kabayatan iti panagtangadda.
Watazunguka katika nchi yote, wakiwa na dhiki na njaa. Watakapotaabika kwa njaa, watapatwa na hasira kali, nao, wakiwa wanatazama juu, watamlaani mfalme wao na Mungu wao.
22 Kumitadanto iti daga ket makitada dagiti pannakariribuk, kinasipnget, ken ti saem ti pannakaidadanes. Maiturongdanto iti daga ti kinasipnget.
Kisha wataangalia duniani na kuona tu dhiki na giza, hofu na huzuni tupu, nao watasukumiwa kwenye giza nene kabisa.

< Isaias 8 >