< Ester 2 >

1 Kalpasan dagitoy a banbanag, idi bimmaawen ti pungtot ni Ari Ahasuero, nalagipna ni Vasti ken ti inaramidna. Nalagipna met ti maipapan iti bilin nga inaramidna a maibusor kenkuana.
Baadaye, wakati hasira ya Mfalme Ahasuero ilikuwa imetulia, alimkumbuka Vashti na kile alichokuwa amekifanya na alilokuwa ameamuru juu yake.
2 Ket kinuna dagiti agtutubo a lallaki nga agserserbi kenkuana, “Iti biang iti ari, adda koma maaramid a panagbirok kadagiti napipintas a birhen a babbalasang.
Kisha watumishi waliomhudumia mfalme walipendekeza, “Na ufanyike utafiti kwa ajili ya wanawali mabikira wazuri wa sura kwa ajili ya mfalme.
3 Mangdutok koma ti ari kadagiti opisial kadagiti amin a probinsia iti pagarianna, a mangummong kadagiti amin a napipintas a birhen a babbalasang idiay harem iti palasio iti Susa. Maipaaywanda koma kenni Hegai, nga opisial ti ari, nga isu iti agay-aywan kadagiti babbai, ket bay-am isuna a mangted kadakuada kadagiti pagpapintas.
Mfalme na ateue maafisa katika kila jimbo la himaya yake kuwaleta hao wanawali wote wazuri wa sura katika nyumba ya wanawake katika ngome ya mji wa Shushani. Kisha wawekwe chini ya utunzaji wa Hegai, towashi wa mfalme, msimamizi wa wanawake; na wapewe matunzo yote ya urembo.
4 Ti balasang a makaay-ayo iti ari ti agbalin a reyna a kasukat ni Vasti.” Daytoy a balakad ket nagustoan iti ari, ket inaramidna ngarud daytoy.
Kisha yule ambaye atampendeza mfalme na awe malkia badala ya Vashti.” Shauri hili likampendeza mfalme, naye akalifuata.
5 Adda maysa a Judio iti siudad ti Susa nga agnagan iti Mardokeo a putot a lalaki ni Jair a puto a lalaki ni Simei a puto a lalaki ni Kis, a Benjamita.
Basi katika mji wa ngome ya Shushani palikuwa na Myahudi wa kabila ya Benyamini, jina lake Mordekai mwana wa Yairi, mwana wa Shimei, mwana wa Kishi,
6 Naiyadayo isuna iti Jerusalem ta nairaman isuna kadagiti naitalaw a kas balud a kaduada Jehoiakim nga ari ti Juda, nga intalaw ni Nebucadnesar nga ari ti Babylonia.
ambao walichukuliwa uhamishoni kutoka Yerusalemu na Mfalme Nebukadneza wa Babeli, wakiwa miongoni mwa waliochukuliwa mateka pamoja na Mfalme Yekonia wa Yuda.
7 Inay-aywananna ni Hadassa, dayta ket ni Ester, a puto a babai ti ulitegna, gapu ta awan ti ama wenno inana. Napintas ti pammagi ti balasang ken makaay-ayo ti langana. Inbilang isuna ni Mardokeo a kas bukodna a putot a babai.
Mordekai alikuwa na binamu yake msichana aliyeitwa Hadasa, ambaye alimlea kwa kuwa hakuwa na baba wala mama. Msichana huyu, ambaye pia alijulikana kwa jina la Esta, alikuwa na umbo na sura ya kupendeza, naye Mordekai alimtunza kama binti yake mwenyewe baada ya baba yake na mama yake kufariki.
8 Idi a naipakaammo ti bilin ken linteg ti ari, adu a babbalasang ti naiyeg iti palasio ti Susa. Naipaaywanda kenni Hegai. Naipan met ni Ester iti palasio ti ari ken naipaaywan kenni Hegai, ti mangay-aywan kadagiti babbai.
Wakati agizo na amri ya mfalme lilitangazwa, wanawali wengi waliletwa kwenye ngome ya mji wa Shushani na kuwekwa chini ya uangalizi wa Hegai. Pia Esta alipelekwa katika jumba la mfalme na akakabidhiwa Hegai, aliyekuwa mkuu wa nyumba ya wanawake.
9 Naay-ayo ti balasang ni Hegai, ket nagun-odna ti paborna. Dagus nga impaayanna kadagiti pagpapintas ken iti bingayna a taraon. Nangidutok isuna kenkuana kadagiti pito nga adipen a babbai a naggapo iti palasio ti ari, ket inkabilna isuna ken dagiti adipen a babbai iti kasasayaatan a paset iti balay dagiti babbai.
Msichana huyu alimpendeza na kupata kibali mbele zake. Mara moja akaanza kumpa matunzo ya uzuri na chakula maalum. Alimpa Esta vijakazi saba waliochaguliwa kutoka jumba la kifalme, na kumhamishia yeye pamoja na vijakazi wake katika sehemu bora zaidi katika nyumba ya wanawake.
10 Awan ti siasinoman a nangibagaan ni Ester no siasino dagiti tattao wenno kakabagianna, ta imbilin kenkuana ni Mardokeo a saanna nga ibagbaga.
Esta alikuwa hajadhihirisha uraia wala kabila lake, kwa sababu Mordekai alikuwa amemkataza.
11 Inaldaw nga agsubli subli ni Mardokeo iti paraangan ti balay dagiti babbai, tapno maamoanna no ania ti mapaspasamak kenni Ester, ken no ania iti mabalin a maaramid kenkuana.
Kila siku Mordekai alikuwa akitembeatembea karibu na ua wa nyumba ya wanawake kujua Esta alivyoendelea na kuona yaliyokuwa yakitendeka kwake.
12 Idi dimteng ti batang ti tunggal babai a mapan kenni Ari Ahasuero—kas panagtulnog kadagiti annuruten para kadagiti babbai, lippasen ti tunggal babai ti sangapulo ket dua a bulan a panagpapintas, innem a bulan nga agusarda iti lana ti mira, ken innem a bulan nga agusarda ti pabanglo ken pagpapintas—
Kabla zamu ya msichana haijafika ya kwenda kwa Mfalme Ahasuero, ilimbidi atimize miezi kumi na miwili ya matunzo ya urembo kama ilivyokuwa imepangwa. Kwa miezi sita walikuwa wajipake mafuta ya manemane, na miezi sita kujipaka manukato na vipodozi.
13 inton mapan ti balasang iti ayan ti ari, maipaay kenkuana aniaman a tarigagayanna manipud iti balay dagiti babbai, nga itugotna iti palasio.
Basi hivi ndivyo ambavyo msichana angeingia kwa mfalme: Kila kitu alichohitaji aliruhusiwa kuchukua kutoka nyumba ya wanawake na kwenda navyo katika jumba la mfalme.
14 Sumrek isuna iti rabii, ket iti kabigatanna agsubli isuna iti maikadua a balay dagiti babbai, ken iti panangaywan ni Saasgas, ti opisial iti ari, a mangay- aywan kadagiti assawa iti ari. Saan isuna nga agsubli iti ari malaksid no naliwliwa kenkuana ti ari ket paayabanna manen isuna.
Jioni angekwenda pale na asubuhi kurudi sehemu nyingine ya nyumba ya wanawake katika utunzaji wa Shaashgazi, towashi wa mfalme ambaye alikuwa mkuu wa masuria. Hangeweza kurudi kwa mfalme mpaka apendezwe naye na kuagiza aitwe kwa jina lake.
15 Ita dimteng ti tiempo ni Ester (putot a babai ni Abihail, ti uliteg ni Mardokeo, a nangala kenkuana a kas bukodna a putot a babai) a mapan iti ayan ti ari, awan iti aniaman a kiniddawna no di, ti insingasing ni Hegai nga opisial ti ari a mangay-aywan kadagiti babbai. Ita nagun-od ni Ester ti pabor dagiti amin a nakakita kenkuana.
Zamu ya Esta ilipofika kwenda kwa mfalme (msichana ambaye Mordekai alikuwa amemlea, binti wa Abihaili mjomba wake), Esta hakutaka vitu zaidi ya vile ambavyo Hegai, towashi wa mfalme aliyekuwa mkuu wa nyumba ya wanawake alivyokuwa amemshauri. Naye Esta alipata kibali kwa kila mtu aliyemwona.
16 Naiyeg ni Ester iti pagtaengan ni Ari Ahasuero iti maikasangapulo a bulan, a bulan ti Tebeth, iti maikapito a tawen iti panagturayna.
Esta alipelekwa kwa Mfalme Ahasuero katika makao ya mfalme mwezi wa kumi, yaani mwezi wa Tebethi, katika mwaka wake wa saba wa kutawala.
17 Inayat ti ari ni Ester a nalablabes ngem kadagiti amin a babbai, ket nagun-od ni Ester ti pabor ken panagayat iti sangoanan ti ari, a nalablabes ngem kadagiti amin a birhen, isu nga inkabil ti ari ti korona ti reyna iti ulo ni Ester ket insaad ti ari ni Ester a reyna a kasukat ni Vasti.
Basi ikawa mfalme alivutiwa na Esta kuliko wanawake wengine wote, naye akapata upendeleo na kibali kuliko mabikira wengine. Kisha akamvika taji la kifalme kichwani mwake na kumfanya malkia badala ya Vashti.
18 Nangangay ti ari iti dakkel a padaya para kadagiti amin nga opisial ken kadagiti adipenna, “Padaya ni Ester,” ket impaayna ti tulong kadagiti probinsia manipud kadagiti naibayad a buis. Nangited pay isuna kadagiti sagut a nabuyugan iti kinaimbag.
Mfalme akafanya karamu kubwa, karamu ya Esta, kwa wakuu wake wote na maafisa. Mfalme alitangaza mapumziko katika majimbo yake yote na kugawa zawadi kwa ukarimu wa kifalme.
19 Ita, idi sangsangkamaysa a naummong manen dagiti birhen iti maikadua a tiempo, nakatugaw ni Mardokeo iti ruangan ti palasio ti ari.
Wakati mabikira walikusanyika mara ya pili, Mordekai alikuwa ameketi katika lango la mfalme.
20 Saan pay nga imbaga ni Ester iti siasinoman iti maipanggep kadagiti kakabagianna wenno tattaona, a kas imbilin ni Mardokeo kenkuana. Intuloyna a tinungpal ti balakad ni Mardokeo, a kas inaramidna idi inaywananna isuna.
Lakini Esta alikuwa ameficha siri ya kabila lake na uraia wake, kama Mordekai alivyokuwa amemwambia, kwa maana aliendelea kufuata maelekezo ya Mordekai kama alivyokuwa akifanya alipokuwa akimlea.
21 Kadagidiay nga al-aldaw, kabayatan nga agtugtugaw ni Mardokeo iti ruangan ti palasio ti ari, dua kadagiti opisyal ti ari ti nakaunget, da Bigtana ken Teres, a mangbanbantay iti ruangan iti ari, ket pinanggepda a dangran ni Ari Ahasuero.
Wakati Mordekai alikuwa ameketi kwenye lango la mfalme, Bigthana na Tereshi, maafisa wawili wa mfalme waliokuwa walinzi wa lango, walikasirika na kupanga njama ya kumuua Mfalme Ahasuero.
22 Idi naiparangarang dayta a banag kenni Mardokeo, imbagana kenni Reyna Ester, ket nakisarita ni Ester iti ari babaen iti nagan ni Mardokeo.
Lakini Mordekai aligundua hila hii na kumwambia Malkia Esta, ambaye baadaye alimwarifu mfalme, huku akimsifu Mordekai.
23 Nasukimat ken napaneknekan ti damag, ket nabitay nga agpada dagiti dua a lallaki. Naisurat ti pasamak Iti Libro Iti Pakasaritaan iti imatang iti ari.
Taarifa hiyo ilipochunguzwa na kuonekana kuwa kweli, maafisa hao wawili waliangikwa juu ya miti ya kunyongea. Haya yote yaliandikwa katika kitabu cha kumbukumbu mbele ya mfalme.

< Ester 2 >