< II Samuel 9 >

1 Kinuna ni David, “Adda pay kadi nabati iti pamilia ni Saul a mabalin a pangipakitaak ti kinasayaat gapu kenni Jonatan?”
Daudi akauliza, “Je, hakuna mtu hata mmoja wa nyumba ya Sauli aliyebaki ambaye naweza kumtendea wema kwa ajili ya Yonathani?”
2 Adda ti sigud nga adipen ti pamilia ni Saul nga agnagan ti Siba, ket inayabanda daytoy a sumango kenni David. Kinuna ti ari kenkuana, “Sika kadi ni Siba?” Simmungbat isuna, “Wen apo. Siak ti adipenmo.”
Basi palikuwepo mtumishi wa nyumba ya Sauli aliyeitwa Siba. Wakamwita aje mbele ya Daudi, naye mfalme akamwambia, “Wewe ndiwe Siba?” Akamjibu, “Naam, mimi ndiye mtumishi wako.”
3 Isu a kinuna ti ari, “Awan kadin ti nabati iti pamilia ni Saul a mabalin a pangipakitaak iti kinasayaat ti Dios?” Simmungbat ni Siba iti ari, “Adda pay laeng ti putot a lalaki ni Jonatan, a pilay dagiti sakana.”
Mfalme akauliza, “Je, hakuna yeyote ambaye amebaki wa nyumba ya Sauli ninayeweza kumwonyesha wema wa Mungu?” Siba akamjibu mfalme, “Bado yupo mwana wa Yonathani, yeye ni kiwete miguu yote.”
4 Kinuna ti ari kenkuana, “Sadino ti ayanna?” Simmungbat ni Siba iti ari, “Kitaem, adda isuna idiay balay ni Makir a putot a lalaki ni Ammiel idiay Lo Debar.”
Mfalme akauliza, “Yuko wapi?” Siba akajibu, “Yuko nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-Debari.”
5 Nangibaon ngarud ni David iti mapan mangiruar kenkuana manipud iti balay ni Makir a putot a lalaki ni Ammiel manipud Lo Debar.
Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe kutoka Lo-Debari, kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli.
6 Napan ngarud ni Mefiboset a putot a lalaki ni Jonatan, nga apoko ni Saul, kenni David ket nagrukob isuna a nakadekket ti rupana iti daga kas panagpadayawna kenni David. Kinuna ni David, “Mefiboset.” Simmungbat isuna, “Adtoyak, siak ti adipenmo!”
Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, alipofika kwa Daudi, akainama kumpa mfalme heshima. Daudi akamwita, “Mefiboshethi!” Mefiboshethi akajibu, “Ndimi mtumishi wako.”
7 Kinuna ni David kenkuana, “Saanka nga agbuteng, ta awan duadua nga ipakitak kenka ti kinasayaat gapu kenni amam a ni Jonatan, isublik kenka dagiti amin a daga daydi Saul nga apongmo, ken kanayonka a mangan iti lamisaanko.'”
Daudi akamwambia, “Usiogope, kwa maana hakika nitakutendea wema kwa ajili ya baba yako Yonathani. Nitakurudishia ardhi yote iliyokuwa mali ya Sauli baba yako, nawe daima utakula chakula mezani pangu.”
8 Nagdumog ni Mefiboset sana kinuna, “Ania koma daytoy adipenmo, a pakitaam ti pabor iti kasla natay nga aso a kas kaniak?”
Mefiboshethi akasujudu akasema, “Mimi mtumishi wako ni nini hata uangalie mbwa mfu kama mimi?”
9 Ket pinaayaban ti ari ni Siba nga adipen ni Saul, ket kinunana kenkuana, “Intedkon iti putot a lalaki ti amom dagiti amin a sanikua ni Saul ken ti pamiliana.
Ndipo mfalme akamwita Siba mtumishi wa Sauli na kumwambia, “Nimempa mwana wa bwana wako kila kitu kilichokuwa mali ya Sauli na jamaa yake.
10 Sika ti mangtalon ti daga para kenkuana, sika ken dagiti putotmo a lallaki ken dagiti adipenmo, ken nasken nga apitenyo dagiti mula tapno adda taraon a kanen ti apoko ti sigud nga amom. Ngem kanayon a mangan ni Mefiboset nga apoko ti sigud nga amom iti lamisaanko.” Ita addaan iti 15 a putot a lallaki ken 20 nga adipen ni Siba.
Wewe, wanao na watumishi wako mtamlimia mashamba Mefiboshethi na kumletea mavuno, ili kwamba mwana wa bwana wako apate mahitaji yake. Naye Mefiboshethi mwana wa bwana wako atakula chakula mezani pangu daima.” (Siba alikuwa na wana kumi na watano, na watumishi ishirini.)
11 Ket kinuna ni Siba iti ari, “Aramiden ti adipenmo dagiti amin nga imbilin ti amok nga ari iti adipenna.” Kinunana pay ti ari, “No maipapan kenni Mefiboset mangan isuna iti lamisaanko, kas maysa kadagiti annak ti ari.”
Ndipo Siba akamwambia mfalme, “Mtumishi wako atafanya chochote bwana wangu mfalme atakachoagiza mtumishi wake kufanya.” Basi Mefiboshethi akala chakula mezani pa Daudi kama mmoja wa wana wa mfalme.
12 Addaan ni Mefiboset iti putot nga agtutubo a lalaki nga agnagan Mika. Ket dagiti amin nga agnanaed iti balay ni Siba ket adipen ni Mefiboset.
Mefiboshethi alikuwa na mwanawe mdogo aliyeitwa Mika, nao watu wote wa nyumba ya Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.
13 Nagnaed ngarud ni Mefiboset idiay Jerusalem, ken kanayon isuna a mangmangan iti lamisaan ti ari, uray agpada a pilay dagiti sakana.
Naye Mefiboshethi akaishi huko Yerusalemu, kwa sababu daima alikula mezani pa mfalme, naye alikuwa kiwete miguu yote.

< II Samuel 9 >