< 1 Ar-ari 14 >

1 Iti dayta a tiempo, nagsakit ni Abias nga anak ni Jeroboam.
Wakati huo Abiya mwana wa Yeroboamu akawa mgonjwa sana.
2 Kinuna ni Jeroboam iti asawana, “Pangaasim ta agrubbuatka ket manglimlimoka, tapno saanka a mailasin a kas asawak, ket mapanka idiay Silo, gapu ta adda sadiay ni Ahija a profeta; isuna ti nagsao maipanggep kaniak, kinunana nga agbalinakto nga ari kadagitoy a tattao.
Yeroboamu akamwambia mke wake, “amka ujibadilishe, ili wasikutambue kuwa wewe ndiye mke wangu, na uende Shilo, kwa sababu nabii Ahiya yuko huko, yeye ndiye aliyeninea mimi kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
3 Mangitugotka iti sangapulo a tinapay, sumagmamano a bibingka ken maysa garapon a diro, ket mapanka kenni Ahija. Ibagananto kenka no anianto ti mapasamak iti ubing.”
Uchukue mikate kumi, na kaki na mtungi wa asali, na uende kwa Ahiya. Naye atakuambia kitakachotokea kwa mtoto.”
4 Kasta ti inaramid ti asawa ni Jeroboam; pimmanaw isuna ket napan idiay Silo ket dimteng iti balay ni Ahija. Ita, saanen a makakita ni Ahija, ta kimmapuyen dagiti matana gapu iti tawenna.
Mke wa Yeroboamu akafanya hivyo; akaenda Shilo mpaka kwenye nyumba ya Ahiya. Wakati huo Ahiya alikuwa hawezi kuona, kwa kuwa macho yake yalikuwa yameishiwa nguvu kwa sababu ya umri wake.
5 Kinuna ni Yahweh kenni Ahija, “Kitaem, um-umay ti asawa ni Jeroboam tapno agdawat iti pamagbaga kenka maipangggep iti anakna, ta agsakit isuna. Kastoy ti ibagam kenkuana, gapu ta inton sumangpet isuna, agpammarangto a kasla sabali isuna a babai.”
BWANA akamwambia Ahiya, “Tazama mke wa Ahiya anakuja kutafuta kutaka ushauri toka kwako kuhusiana na mwanae, kwa kuwa ni mgonjwa. Mwambie hivi na hivi, kwa sababu atakapofika atajifanya kuwa ni mwanamke mwingine.”
6 Idi nangeg ni Ahija ti arimpadekna bayat nga umun-uneg isuna iti ruangan, kinunana, “Sumrekka, asawa ni Jeroboam. Apay nga agpampammarangka a sabali a tao? Naibaonak kenka nga addaan iti saan a nasayaat a damag.
Naye Ahiya aliposikia sauti za miguu yake alipokuwa akiukaribia mlango, akasema, “karibu, mke wa Yeroboamu. Kwa nini unajifanya kuwa mtu mwingine? Nimetumwa kwako nikiwa na habaari mbaya.
7 Mapanka, ibagam kenni Jeroboam a kuna ni Yahweh a Dios ti Israel, 'Pinilika manipud kadagiti tattao tapno pagbalinenka a mangidaulo kadagiti tattaok nga Israelita.
Nenda ukamwambia Yeroboamu kwamba BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Nilikuinua kutoka kati ya watu na kukufanya uwe kiongozi wa watu wangu Israeli.
8 Innalak ti pagarian manipud iti pamilia ni David ket intedko kenka daytoy, ngem saanka a kas iti adipenko a ni David, a nagtulnog kadagiti bilbilinko ken simmurot kaniak iti amin a pusona, ken aramidenna laeng ti rumbeng iti panagkitak.
Niliugawa ufalme kutoka kwa Daudi na kukupa wewe, lakini bado hutaki kuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye alizishika amri zangu na kunifuata kwa moyo wake wote, na kufanya kilichokuwa sawa mbele ya macho yangu.
9 Ngem ketdi, nakaaramidka iti dakes, a nakarkaro ngem kadagiti amin nga imun-una kenka. Nangaramidka kadagiti didiosen, ken nangsukogka kadagiti landok a ladawan tapno pagpungtotennak, ket tallikudannak
Badala yake, umefanya maovu, zaidi ya wote waliokutangulia. Umetengeneza miungu mingine, na umetengeneza sanamu za kuyeyushwa ili kunikasirisha na kunitupa nyuma yako.
10 Kitaem ngarud, mangyegak iti didigra iti pamiliam; pukawekto kenka ti tunggal ubing a lallaki iti Israel, balud man wenno siwawaya, ket ikkatekto amin ti pamiliam, kas iti maysa a tao a mangpupuor iti rugit agingga a mapukaw daytoy.
Kwa hiyo, tazama, Nitaleta majanga kwenye familia yako; Nitawatupilia mbali watoto wako wote wa kiume katika Israeli, kama ni mtumwa au ni huru, na nitaiondoa familia yako, kama mtu anayechoma mavi mpaka yaishe.
11 Siasinoman a kameng ti pamiliam a matay iti uneg ti siudad ket kanento dagiti aso, ket siasinoman a matay idiay away ket kanento dagiti billit iti tangatang, ta Siak, a ni Yahweh, ti nagkuna iti daytoy.'
Yeyote ambaye ni mwanafamilia yako atakayefia mjini ataliwa na mbwa, na yeyote atakayefia shamabani ataliwa na ndege wa angani, kwa kuwa Mimi BWANA, nimesema;
12 Isu nga agawidkan, asawa ni Jeroboam, ket agsublika iti pagtaengam; inton sumrek ti sakam iti siudad, matayto ti ubing a ni Abija.
Kwa hiyo inuka wewe mke wa Yeroboamu, na uende nyumbani kwako; na mguu wako utakapokanyaga mjini, yule mtoto wa Abiya atakufa.
13 Dung-awanto isuna ti entero nga Israel ken itabonda isuna. Isuna laeng manipud iti pamilia ni Jeroboam ti maitanem, gapu ta isuna laeng, manipud iti balay ni Jeroboam, ti pakasarakan iti nasayaat iti imatang ni Yahweh a Dios ti Israel.
Na Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Ni yeye pekee katika familia ya Abiya atakayepelekwa makaburini, kwa sababu ni yeye pekee yake kutoka kwenye nyumba ya Abiya, ambaye BWANA, Mungu wa Israeli alimwona kuwa ni mwema.
14 Kasta met a mangisaadto ni Yahweh iti maysa nga ari ti Israel a manggibus iti pamilia ni Jeroboam iti dayta nga aldaw. Itan ti aldaw.
Pia BWANA atainua mfalme katika Israeli ambaye ataifutilia mbali familia ya Yeroboamu katika siku hiyo. Leo ndiyo siku hiyo, sasa hivi.
15 Ta darupento ni Yahweh ti Israel a kas iti runo a nagungon iti danum, ket parutennanto ti Israel manpud iti daytoy a nadam-eg a daga nga intedna kadagiti kapuonanda. Iwara-warananto ida iti ballasiw ti Karayan Eufrates, gapu ta nangaramidda kadagiti imahe ni Asera a diosda ket pinagpungtotda ni Yahweh.
Kwa kuwa BWANA ataishambulia Israeli kama vile majani yanavyotikiswa majini, na ataing'oa Israeli katika nchi hii njema ambayo aliwpa mababu. Atawatawanya hata ng'ambo ya Mto Frati, kwa sababu wamefanya nguzo za Ashera kumkasirisha BWANA.
16 Baybay-annanto ti Israel gapu kadagiti basol ni Jeroboam, dagiti basol nga inaramidna, ket insungsongna nga agbasol ti Israel babaen iti daytoy.”
Ataiacha Israeli kwa sababu ya dhambi ya Yeroboamu, dhambi ambazo ametenda, na kwa hizo ameifanya Israeli kufanya dhambi.
17 Isu a timmakder ti asawa ni Jeroboam ket pimmanaw, ket dimteng idiay Tirza. Apaman a nakastrek isuna iti pagserkan ti balayna, natay ti ubing.
Kwa hiyo mke wa Yeroboamu akainuka na akaondoka na akaenda mpaka Tirza. Naye alipofika kizingitini kwa nyumba yake, yule mtoto akafa.
18 Intabon isuna ti entero nga Israel ken dinung-awanda isuna, kas naibaga kadakuada babaen iti sasao ni Yahweh a sinaritana babaen iti adipenna a ni profeta Ahija.
Isareli wote wakamzika na kumwombolezea, kama vile alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA ambalo amelisema kupitia mtumishi wake nabii Ahiya.
19 No maipapan kadagiti dadduma a banbanag maipanggep kenni Jeroboam, no kasano a nakigubat ken no kasano a nagturay isuna, adtoy, naisurat dagitoy iti Libro dagiti Pakasaritaan dagiti Ari ti Israel.
Na kwa mambo mengine yanayOmhusu Yeroboamu, jinsi alivyopigana vita na jinsi alivyotawala, tazama yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
20 Nagturay ni Jeroboam iti duapulo ket dua a tawen ket kalpasanna pimmusay isuna, ket ni Nadab nga anakna ti nagbalin nga ari a simmukat kenkuana.
Yeroboamu alitawala kwa miaka ishirini na mbili naye akalala na babu zake, na Nadabu mwanawe akawa mfalme mahali pake.
21 Ita, ni Rehoboam nga anak ni Solomon ket agturturay idiay Juda. Uppat a pulo ket maysa iti tawen ni Rehoboam idi nagbalin isuna nga ari, ket nagturay isuna iti sangapulo ket pito a tawen idiay Jerusalem, ti siudad a pinili ni Yahweh manipud kadagiti amin a tribu ti Israel a pangikabilanna iti naganna. Ti nagan ti inana ket Naama nga Ammonita.
Sasa Rehoboamu mwana wa Sulemani alikuwa mtawala wa Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipokuwa mfalme, na akatawala kwa miaka kumi na saba kule Yerusalemu, mji ambao BWANA alikuwa ameuchagua kati ya makabila yote ya Israeli ili aweke jina lake kule. Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori.
22 Dakes ti inaramid ti Juda iti imatang ni Yahweh; pinagimonda isuna gapu kadagiti basol nga inaramidda, a nakarkaro ngem kadagiti banbanag nga inaramid dagiti ammada.
Yuda ikafanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA; wakamtia wivu kwa makosa yao, zaidi ya yote ambayo baba zao walikuwa wamefanya
23 Ta nangaramidda pay kadagiti nangato a disso a pagdaydayawanda, nasagradoan a bato nga adigi, ken imahe ni Asera kadagiti nangato a turod ken sirok iti narukbos a kayo.
Kwa kuwa walijijengea wenyewe mahali pa juu, nguzo za mawe, na nguzo za Ashera katika kila mahali pa juu na katika kila mti wenye majani mabichi.
24 Adda pay dagiti lallaki a balangkantis iti daga. Inaramidda met dagiti makarimon a banbanag nga inaramid dagiti nasion a pinatalaw ni Yahweh iti sangoanan dagiti tattao ti Israel.
Pia kulikuwepo na ukahaba wa kipagani katika nchi. Walifanya machukizo yaleyale kama wa mataifa yale ambayo BWANA alikuwa amewafukuza kutoka kwa watu wa Israeli.
25 Ket napasamak iti maikalima a tawen ni Ari Rehoboam, bimmusor ni Sisak nga ari ti Egipto iti Jerusalem.
Ilitokea wakati wa mwaka wa tano wa mfalme Rehoboamu wakati Shishaki akiwa mfalme wa Misri, akaja kinyume na Yerusalemu.
26 Innalana dagiti gameng iti balay ni Yahweh, ken dagiti gameng iti balay ti ari. Innalana amin a banbanag; innalana pay dagiti kalasag a balitok nga inaramid ni Solomon.
Akaichukua hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya BWANA, na ile hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya Mfalme. Akachukua kila kitu; Pia alizichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.
27 Nagaramid ni ari Rehoboam kadagiti kalasag a bronse a kasukatna ket intalekna dagitoy kadagiti ima dagiti mangidadaulo iti guardia, a mangbanbantay kadagiti ruangan ti balay ti ari.
Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake na akazikabidhi kwa wakuu wa walinzi, ambao walilinda malango ya kuingia kwa mfalme.
28 Napasamak a tunggal sumrek ti ari iti balay ni Yahweh, bagkaten dagitoy dagiti agbanbantay; ket kalpasanna, isublida dagitoy iti balay a paggigianan dagiti guardia.
Na ikawa kila mfalme alipoingia kwenye nyumba ya BWANA, wale walinzi walizibeba na baadaye walizirudisha katika chumba cha walinzi.
29 No maipapan kadagiti dadduma a banbanag maipanggep kenni Rehoboam, ken amin nga inaramidna, saan kadi a naisurat dagidiay iti Libro dagiti Pakasaritaan dagiti Ari ti Juda?
Lakini katika mambo mengine kuhusiana na Rehoboamu, na yote yale aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
30 Kanayon nga adda ti agtultuloy a gubat iti nagbaetan iti balay ni Rehoboam ken ti balay ni Jeroboam.
Kulikuwa na mapigano yasiyokoma kati ya nyumba ya Rehoboamu na nyumba ya Yeroboamu.
31 Pimmusay ni Rehoboam ket intabonda isuna iti nakaitabonan dagiti kapuonanda idiay siudad ni David. Ti nagan ti inana ket Naama nga Ammonita. Nagbalin nga ari ni Abias nga anakna kas kasukatna.
Kwa hiyo Rehoboamu akalala na mababu zake naye akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori. Abiya mwanawe akawa mfalme mahali pake

< 1 Ar-ari 14 >