< 1 Cronicas 8 >

1 Dagiti lima a putot a lallaki ni Benjamin ket ni Bela ti inauna, Asbel, Ahara,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Noha, ken Rafa.
Noha, na Rafa.
3 Dagiti putot ni Bela ket da Addar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisua, Naaman, Ahoa,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Sefufan ken Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Dagitoy dagiti kaputotan ni Ehud a nagbalin a pangulo dagiti puli nga agnanaed iti Geba, a napilitan nga immakar idiay Manahat:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Naaman, Ahija ken ni Gera. Ti maudi, indalan ida ni Gera iti panagakarda. Isuna ti ama ni Uzza ken Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Ni Saharaim ti ama dagiti annak iti daga ti Moab, kalpasan nga insinana dagiti assawana a da Husim ken Baara.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Babaen kenni Hodes nga asawana, pinutot ni Saharaim da Jobab, Zibia, Mesa, Malcam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeuz, Sakia ken Mirma. Dagitoy dagiti annakna a mangidadaulo kadagiti pulida.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Isuna ti ama da Abitub ken Elpaal babaen kenni Husim.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Dagiti annak ni Elpaal ket da Eber, Misam, ken Semed. (a nangbangon iti Ono ken Lod agraman dagiti bario iti aglawlaw daytoy).
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Kasta met da Beria ken ni Sema. Isuda dagiti mangidadaulo kadagiti puli nga agnanaed iti Aijalon, a nangpapanaw kadagiti agnanaed iti Gat.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Dagitoy dagiti annak ni Beria: Ahio, Sasak, Jeremot,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zebadias, Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Micael, Ispa, ken Joa.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Dagitoy dagiti annak ni Elpaal: Zebadias, Mesullam, Hiski, Heber, Ismerai, Izlia, ken ni Jobab.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Dagitoy dagiti annak ni Simei: Jakim, Zikri, Zabdi, Elienai, Zilletai, Eliel, Adaias, Beraias ken ni Simrat.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Abdoni, Zikri, Hanani,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Dagitoy dagiti annak ni Sasak: Ispan, Eber, Eliel, Abdon, Zikri, Hanan, Hananias, Elam, Antotija, Ifdeyas ken ni Penuel.
Ifdeia, na Penueli.
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Dagitoy dagiti annak ni Jeroham: Samserai, Seharias, Atalias, Jaaresias, Elias, ken ni Zikri.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Dagitoy dagiti pangulo dagiti puli ken mangidadaulo nga agnanaed iti Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 Nagnaed idiay Gabaon ni Jeiel nga asawa ni Maaca nga ama ni Gabaon.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Ti inauna nga anakna ket ni Abdon, sumaruno da Sur, Kis, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ahio, ken Zeker.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Dagiti dadduma pay nga annak ni Jeiel ket da Miclot nga ama ni Simea. Nagnaedda met iti asideg dagiti kabagianda idiay Jerusalem.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ni Ner ti ama ni Kis. Ni Kis ti ama ni Saul. Ni Saul ti ama da Jonatan, Malkisua, ken Isbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Ti putot ni Jonathan ket ni Merib Baal nga ama ni Mica.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Dagiti annak ni Mica ket da Piton, Melek, Tarea, ken Ahas.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Ni Ahas ti ama ni Jehoadda. Ni Jehoadda ti ama da Alemet, Azmabet, ken Zimri. Ni Zimri ti ama ni Mosa.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Ni Moza ti ama ni Binea. Ni Binea ti ama ni Rafa. Ni Rafa ti ama ni Eleasa. Ni Eleasa ti ama ni Azel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Addaan ti innem nga putot ni Azel: Azrikam Bokeru, Ismael, Searias, Abdias ken Hanan. putot amin ni Azel dagitoy.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Dagiti putot ni Esek a kabsatna ket ni Ulam ti inauna, ni Jehus ti maikadua, ken ni Elifelet ti maikatlo.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Dagiti putot ni Ulam ket mannakigubat a lallaki ken pumapana. Addaanda iti adu nga annak ken appoko, nga agdagup iti 150. Maibilang amin dagitoy kadagiti kaputotan ni Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Cronicas 8 >