< תהילים 52 >
למנצח משכיל לדוד ב בבוא דואג האדמי-- ויגד לשאול ויאמר לו-- בא דוד אל-בית אחימלך ג מה-תתהלל ברעה הגבור חסד אל כל-היום | 1 |
Kwa nini wewe unajivunia kufanya uovu, wewe mtu mwenye nguvu? Uaminifu wa agano la Mungu huja kila siku.
הוות תחשב לשונך כתער מלטש עשה רמיה | 2 |
Ulimi wako hupanga uharibifu kama wembe mkali, na kufanya udanganyifu.
אהבת רע מטוב שקר מדבר צדק סלה | 3 |
Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganifu kuliko kuongea haki. (Selah)
אהבת כל-דברי-בלע לשון מרמה | 4 |
Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu.
גם-אל יתצך לנצח יחתך ויסחך מאהל ושרשך מארץ חיים סלה | 5 |
Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. (Selah)
ויראו צדיקים וייראו ועליו ישחקו | 6 |
Wenye haki pia wataona na kuogopa; watamcheka na kusema,
הנה הגבר-- לא ישים אלהים מעוזו ויבטח ברב עשרו יעז בהותו | 7 |
“Tazama, huyu ni mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake la usalama, bali aliamini katika wingi wa mali zake, naye alikuwa na nguvu alipowaharibu wengine.”
ואני כזית רענן-- בבית אלהים בטחתי בחסד-אלהים עולם ועד | 8 |
Lakini kwangu mimi, niko kama mti bora wa mzeituni katika nyumba ya Mungu; Nami nitaamini uaminifu wa agano la Mungu milele na milele.
אודך לעולם כי עשית ואקוה שמך כי-טוב נגד חסידיך | 9 |
Nitakushukuru wewe daima kwa uliyo tenda. Nitalisubiri jina lako, kwa sababu ni zuri, uweponi mwa wantu wako wa kimungu.