< תהילים 128 >
שיר המעלות אשרי כל-ירא יהוה-- ההלך בדרכיו | 1 |
Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
יגיע כפיך כי תאכל אשריך וטוב לך | 2 |
Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
אשתך כגפן פריה-- בירכתי ביתך בניך כשתלי זיתים-- סביב לשלחנך | 3 |
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
הנה כי-כן יברך גבר-- ירא יהוה | 4 |
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
יברכך יהוה מציון וראה בטוב ירושלם--כל ימי חייך | 5 |
Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
וראה-בנים לבניך שלום על-ישראל | 6 |
nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.