< תהילים 114 >

בצאת ישראל ממצרים בית יעקב מעם לעז 1
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
היתה יהודה לקדשו ישראל ממשלותיו 2
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
הים ראה וינס הירדן יסב לאחור 3
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
ההרים רקדו כאילים גבעות כבני-צאן 4
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
מה-לך הים כי תנוס הירדן תסב לאחור 5
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
ההרים תרקדו כאילים גבעות כבני-צאן 6
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
מלפני אדון חולי ארץ מלפני אלוה יעקב 7
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
ההפכי הצור אגם-מים חלמיש למעינו-מים 8
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< תהילים 114 >