< תהילים 114 >
בצאת ישראל ממצרים בית יעקב מעם לעז | 1 |
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
היתה יהודה לקדשו ישראל ממשלותיו | 2 |
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
הים ראה וינס הירדן יסב לאחור | 3 |
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
ההרים רקדו כאילים גבעות כבני-צאן | 4 |
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
מה-לך הים כי תנוס הירדן תסב לאחור | 5 |
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
ההרים תרקדו כאילים גבעות כבני-צאן | 6 |
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
מלפני אדון חולי ארץ מלפני אלוה יעקב | 7 |
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
ההפכי הצור אגם-מים חלמיש למעינו-מים | 8 |
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.