< איכה 5 >

זכר יהוה מה היה לנו הביט (הביטה) וראה את חרפתנו 1
Kumbuka, Yahweh, yaliyo tutokea na uone aibu yetu.
נחלתנו נהפכה לזרים בתינו לנכרים 2
Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni; nyumba zetu kwa wageni.
יתומים היינו אין (ואין) אב אמתינו כאלמנות 3
Tumekuwa yatima, bila baba, na mama zetu ni kama wajane.
מימינו בכסף שתינו עצינו במחיר יבאו 4
Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa, na tulipe fedha kupata mbao zetu.
על צוארנו נרדפנו יגענו לא (ולא) הונח לנו 5
Hao wanakuja kwetu wamekaribia nyuma yetu; tumechoka na hatuwezi pata mapumziko.
מצרים נתנו יד אשור לשבע לחם 6
Tumejitoa kwa Misri na kwa Assiria tupate chakula cha kutosha.
אבתינו חטאו אינם (ואינם) אנחנו (ואנחנו) עונתיהם סבלנו 7
Baba zetu walifanya dhambi, na hawapo tena, na tumebeba dhambi zao.
עבדים משלו בנו פרק אין מידם 8
Watumwa walitutawala, na hakuna wa kutuokoa na mikono yao.
בנפשנו נביא לחמנו מפני חרב המדבר 9
Tunapata mkate wetu pale tunapo hatarisha maisha, kwasababu ya upanga wa nyikani.
עורנו כתנור נכמרו מפני זלעפות רעב 10
Ngozi zetu zimekuwa na moto kama jiko kwasababu ya joto la njaa.
נשים בציון ענו בתלת בערי יהודה 11
Wanawake wanabakwa Sayuni, na mabikra katika mji wa Yuda.
שרים בידם נתלו פני זקנים לא נהדרו 12
Watoto wa mfalme wamenyongwa na mikono yao, na hakuna heshima inayoonyeshwa kwa wazee.
בחורים טחון נשאו ונערים בעץ כשלו 13
Wanaume vijana wanalizimishwa kusaga mbegu kwa jiwe la kusagia, na wavulana wanajikwa chini ya vifurushi vya kuni.
זקנים משער שבתו בחורים מנגינתם 14
Wazee wameacha lango la mji, na vijana wameacha miziki.
שבת משוש לבנו נהפך לאבל מחלנו 15
Furaha ya moyo imekoma na kucheza kwetu kumegeuka kilio.
נפלה עטרת ראשנו אוי נא לנו כי חטאנו 16
Taji limeanguka kichwani mwetu; ole wetu, kwa kuwa tumetenda dhambi!
על זה היה דוה לבנו--על אלה חשכו עינינו 17
Kwa kuwa moyo wetu umekuwa unaumwa, na machozi yetu ya fifia, kwa vitu hivi macho yetu yanafifia
על הר ציון ששמם שועלים הלכו בו 18
maana Mlima Sayuni umelala ukiwa, mbwa wa mitaani wacheza juu yake.
אתה יהוה לעולם תשב כסאך לדור ודור 19
Lakini wewe, Yahweh, unatawala milele, na utaketi katika kiti chako cha enzi vizazi na vizazi. Kwanini unatusahau milele?
למה לנצח תשכחנו תעזבנו לארך ימים 20
Kwanini unatutelekeza kwa siku nyingi?
השיבנו יהוה אליך ונשוב (ונשובה) חדש ימינו כקדם 21
Turejeshe kwako, Yahweh, na sisi tutarejea. Fanya upya siku zetu kama zilivyo kuwa hapo zamani -
כי אם מאס מאסתנו קצפת עלינו עד מאד 22
vinginevyo labda uwe umetukataa na una hasira kwetu kupita kiasi.

< איכה 5 >