< שמות 40 >

וידבר יהוה אל משה לאמר 1
Kisha Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
ביום החדש הראשון באחד לחדש תקים את משכן אהל מועד 2
“Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka lazima wewe uandae hema la kukutania.
ושמת שם את ארון העדות וסכת על הארן את הפרכת 3
Utaweka sanduku la ushuhuda ndani yake, na utaziba sanduku kwa pazia.
והבאת את השלחן וערכת את ערכו והבאת את המנרה והעלית את נרתיה 4
Utaleta ndani meza na kuandaa kwa mpangilio vitu vyake. Kisha utaleta kinara cha taa na kuandaa taa.
ונתתה את מזבח הזהב לקטרת לפני ארון העדת ושמת את מסך הפתח למשכן 5
Nawe utaweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba mbele ya sanduku la ushuhuda, na utaweka pazia katika mwingilio wa hema la kukutania.
ונתתה את מזבח העלה לפני פתח משכן אהל מועד 6
Utaweka madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa mbele ya mwingilio wa hema ya kukutania.
ונתת את הכיר בין אהל מועד ובין המזבח ונתת שם מים 7
Utaweka ile saani kubwa katikati ya hema la kukutania na madhabahu na utaweka maji ndani yake.
ושמת את החצר סביב ונתת את מסך שער החצר 8
Uandae nyuani inayoizunguka, na utundike pazia katika mwingilio wa nyuani.
ולקחת את שמן המשחה ומשחת את המשכן ואת כל אשר בו וקדשת אתו ואת כל כליו והיה קדש 9
Lazima uchukuwe mafuta ya upako na upake hema la kukutania na kila kitu kilichopo ndani yake. Lazima uitenge na samani zake kwangu; kisha itakuwa takatifu.
ומשחת את מזבח העלה ואת כל כליו וקדשת את המזבח והיה המזבח קדש קדשים 10
Lazima upake mafuta madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake. Lazima utenge madhabhu kwa ajili yangu na itakuwa takatifu kwangu.
ומשחת את הכיר ואת כנו וקדשת אתו 11
Upake mafuta beseni la shaba na sakafu yake na uitenge kwa ajili yangu.
והקרבת את אהרן ואת בניו אל פתח אהל מועד ורחצת אתם במים 12
Umlete Aruni na wanae kwa mwingilio wa hema la kukutania na uwaoshe wote kwa maji.
והלבשת את אהרן את בגדי הקדש ומשחת אתו וקדשת אתו וכהן לי 13
Utamfunika Aruni kwa mavazi yaliyo tengwa kwa ajili yangu, mpake mafuta na umtenge ili anitumikie kama kuhani.
ואת בניו תקריב והלבשת אתם כתנת 14
Utawaleta wana wake na kuwafunika kwa nguo nzito.
ומשחת אתם כאשר משחת את אביהם וכהנו לי והיתה להית להם משחתם לכהנת עולם--לדרתם 15
Utawapaka mafuta kama ulivyo mpaka baba yao ili wanitumikie kama makuhani. Upako wao utawafanya makuhani wa kudumu vizazi vyote vya watu wao.”
ויעש משה ככל אשר צוה יהוה אתו--כן עשה 16
Hivi ndivyo Musa alivyo sema; alifuata yote Yahweh aliyo muamuru. Alifanya vitu vyote hivi.
ויהי בחדש הראשון בשנה השנית--באחד לחדש הוקם המשכן 17
Hivyo hema la kukutania liliandaliwa siku ya kwanza ya mwezi wa mwaka wa pili.
ויקם משה את המשכן ויתן את אדניו וישם את קרשיו ויתן את בריחיו ויקם את עמודיו 18
Musa alianda hema la kukutania, akaeka sakafu zake sehemu yake, akaanda fremu zake, akashikisha chuma zake, na akaanda minara na nguzo zake.
ויפרש את האהל על המשכן וישם את מכסה האהל עליו מלמעלה--כאשר צוה יהוה את משה 19
Alitandaza mfuniko juu ya hema la kukutania na kuweka hema juu yake, kama Yahweh alivyo muamuru.
ויקח ויתן את העדת אל הארן וישם את הבדים על הארן ויתן את הכפרת על הארן מלמעלה 20
Alichukuwa amri za agano na kuweka kwenye sanduku. Pia aliweka nguzo kwenye sanduku na kuweka mfuniko wa kiti cha rehema.
ויבא את הארן אל המשכן וישם את פרכת המסך ויסך על ארון העדות--כאשר צוה יהוה את משה 21
Aliichukuwa sanduku na kuweka ndani ya hema la kukutania. Aliandaa pazia ili lizibe sanduku la ushuhuda, kama Yahweh alivyo muamuru.
ויתן את השלחן באהל מועד על ירך המשכן צפנה מחוץ לפרכת 22
Alieka meza kwenye hema la kukutania, kwa upande wa kaskazini mwa hema la kukutania, nje ya pazia.
ויערך עליו ערך לחם לפני יהוה--כאשר צוה יהוה את משה 23
Alieka mkate kwa mpangilio katika meza ya Yahweh, kama Yahweh alivyo amuru.
וישם את המנרה באהל מועד נכח השלחן על ירך המשכן נגבה 24
Alieka kinara cha taa kwenye hema la kukutania, upande wa pili wa meza, kusini mwa hema la kukutani.
ויעל הנרת לפני יהוה--כאשר צוה יהוה את משה 25
Aliwasha taa mbele za Yahweh, kama Yahweh alivyo muamuru.
וישם את מזבח הזהב באהל מועד לפני הפרכת 26
Aliweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba ndani ya hema la kukutania mbele ya pazia.
ויקטר עליו קטרת סמים--כאשר צוה יהוה את משה 27
Alichoma uvumba wa manukato hapo, kama Yahweh alivyo muamuru.
וישם את מסך הפתח למשכן 28
Alitundika pazia katika hema ya kukutania.
ואת מזבח העלה שם פתח משכן אהל מועד ויעל עליו את העלה ואת המנחה--כאשר צוה יהוה את משה 29
Aliweka madhabahu ya sadaka ya kuteketeza katika hema ya kukutania. Aliitolea sadaka ya kuteketeza na sadaka ya unga, kama Yahweh alivyo muamuru.
וישם את הכיר בין אהל מועד ובין המזבח ויתן שמה מים לרחצה 30
Aliweka beseni katikati ya hema ya kukutunia na madhabahu, na maji ya kuoshea.
ורחצו ממנו משה ואהרן ובניו את ידיהם ואת רגליהם 31
Musa, Aruni, na wanae waliosha mikono yao na miguu kwenye beseni
בבאם אל אהל מועד ובקרבתם אל המזבח--ירחצו כאשר צוה יהוה את משה 32
muda wowote walipoenda kwenye hema ya kukutania na muda wowote walipoenda kwenye madhabahu. Walijisafisha, kama Yahweh alivyo muamuru Musa.
ויקם את החצר סביב למשכן ולמזבח ויתן את מסך שער החצר ויכל משה את המלאכה 33
Musa alianda nyuani nyuma ya hema ya kukutania na madhabahu. Alianda pazia katika mwingilio wa nyuani. Katika hili, Musa alimaliza kazi.
ויכס הענן את אהל מועד וכבוד יהוה מלא את המשכן 34
Kisha wingu likafunika hema ya kukutania, na utukufu wa Yahweh ukafunika hema ya kukutania.
ולא יכל משה לבוא אל אהל מועד--כי שכן עליו הענן וכבוד יהוה מלא את המשכן 35
Musa hakuweza kuingia hema ya kukutania kwasababu wingu lilikuwa juu yake, na kwasababu utukufu wa Yahweh ulijaza hema ya kukutania.
ובהעלות הענן מעל המשכן יסעו בני ישראל בכל מסעיהם 36
Muda wowote wingu lilipo chukuliwa juu kutoka hema ya kukutania, watu wa Israeli waliendelea na safari yao.
ואם לא יעלה הענן--ולא יסעו עד יום העלתו 37
Lakini kama wingu haliku nyanyuka juu kutoka hema ya kukutania, kisha basi watu hawaku safiri. Walibaki hadi siku lilipo nyanyuliwa juu.
כי ענן יהוה על המשכן יומם ואש תהיה לילה בו--לעיני כל בית ישראל בכל מסעיהם 38
Kwa kuwa wingu la Yahweh lilikuwa juu ya hema ya kukutania mchana, na moto wake ulikuwa juu yake usiku, wazi kwa watu wote wa Israeli kipindi chote cha safari yao.

< שמות 40 >