< דברי הימים א 25 >

ויבדל דויד ושרי הצבא לעבדה לבני אסף והימן וידותון הנביאים (הנבאים) בכנרות בנבלים ובמצלתים ויהי מספרם אנשי מלאכה לעבדתם 1
Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
לבני אסף זכור ויוסף ונתניה ואשראלה--בני אסף על יד אסף הנבא על ידי המלך 2
Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
לידותון--בני ידותון גדליהו וצרי וישעיהו חשביהו ומתתיהו ששה על ידי אביהם ידותון בכנור הנבא על הדות והלל ליהוה 3
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
להימן--בני הימן בקיהו מתניהו עזיאל שבואל וירימות חנניה חנני אליאתה גדלתי ורממתי עזר ישבקשה מלותי הותיר מחזיאת 4
Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
כל אלה בנים להימן חזה המלך בדברי האלהים--להרים קרן ויתן האלהים להימן בנים ארבעה עשר--ובנות שלוש 5
Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
כל אלה על ידי אביהם בשיר בית יהוה במצלתים נבלים וכנרות לעבדת בית האלהים--על ידי המלך אסף וידותון והימן 6
Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
ויהי מספרם עם אחיהם מלמדי שיר ליהוה כל המבין--מאתים שמונים ושמונה 7
Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
ויפילו גורלות משמרת לעמת כקטן כגדול--מבין עם תלמיד 8
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
ויצא הגורל הראשון לאסף--ליוסף גדליהו השני--הוא ואחיו ובניו שנים עשר 9
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
השלשי זכור בניו ואחיו שנים עשר 10
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
הרביעי ליצרי--בניו ואחיו שנים עשר 11
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
החמישי נתניהו בניו ואחיו שנים עשר 12
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
הששי בקיהו בניו ואחיו שנים עשר 13
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
השבעי ישראלה בניו ואחיו שנים עשר 14
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
השמיני ישעיהו בניו ואחיו שנים עשר 15
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
התשיעי מתניהו בניו ואחיו שנים עשר 16
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
העשירי שמעי בניו ואחיו שנים עשר 17
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
עשתי עשר עזראל בניו ואחיו שנים עשר 18
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
השנים עשר לחשביה בניו ואחיו שנים עשר 19
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
לשלשה עשר שובאל בניו ואחיו שנים עשר 20
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
לארבעה עשר מתתיהו בניו ואחיו שנים עשר 21
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
לחמשה עשר לירמות בניו ואחיו שנים עשר 22
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
לששה עשר לחנניהו בניו ואחיו שנים עשר 23
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
לשבעה עשר לישבקשה בניו ואחיו שנים עשר 24
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
לשמונה עשר לחנני בניו ואחיו שנים עשר 25
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
לתשעה עשר למלותי בניו ואחיו שנים עשר 26
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
לעשרים לאליתה--בניו ואחיו שנים עשר 27
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
לאחד ועשרים להותיר בניו ואחיו שנים עשר 28
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
לשנים ועשרים לגדלתי בניו ואחיו שנים עשר 29
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
לשלשה ועשרים למחזיאות בניו ואחיו שנים עשר 30
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
לארבעה ועשרים לרוממתי עזר בניו ואחיו שנים עשר 31
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

< דברי הימים א 25 >