< Luka 4 >

1 Jesus den gbie yeni m tagŋanmi, k u den ñani jurdeni bɔnga nni k l tagiŋanba tod'o k u gedi u fanfanpiegun nni.
Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani
2 Naani ke sitaani bign'o dan piina. U den ki dii l ba l dana. L yogu n pend i k m kom cu'o.
kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa.
3 Sitaani maadi Jesus: l ya tie ka tie u tienu biga, cab k l tanli n kpandi m jiem.
Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate.”
4 Jesus ŋmian'o l diani u tienu kaddaaog nni k nul k fo m jiem po baba ka
Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”
5 den duon'o pol. K waan'o u tienu diema yala n tie g tinga ne k maad'o.
Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi.
6 ba tena ya paalu baa tie u tienu diema piam kul yaal ntie l ŋandul kaan k dugn l kul den ye n nugun yo k bua ten mi bua yua.
Ibilisi akamwambia, “Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa.
7 wani a ya tuo ki gbaani n nintuali ni l kul baa tie a yaal i.
Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako.”
8 Guani ki maad'o: ya dondi a yonmdaano u Tienu. Wan badba i ka b pug'o.
Lakini Yesu alijibu na kumwambia, “Imeandikwa, “lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake.”
9 gedi yen'o hal Jerusalemi k duon'o u jaanddiegu tanpolu k maad'o: a ya tie u Tienu bijua yugi k ŋa a ba m fanfanma nni k dugn i l diani:
Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa.
10 k u bu cabi meleki nba ban yaa guu ŋa.
Kwa sababu imeandikwa, “Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda,
11 l guan. b bu ŋa yeni b nugi k tanli kan gbebi ba tanyeli.
na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe.”
12 K Jesus ŋmia i: l gɔ diani. A kan niini k bigni o yonmdaano u Tienu.
Yesu akijibu alimwambia, “Imenenwa, “usimjaribu Bwana Mungu wako.”
13 Ya yognu k sitaan den gbeni o bignma kuli k u sani k fagdi k ban bo bil ya yognu pudi.
Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine.
14 Jesus bo ye yeni fuoŋanba paalui k lebdi Galile ko yeli doni diema kuli nni.
Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote.
15 K tundi u tienu ñɔmaama a jaandiena nni k b niba dond'o.
Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu.
16 K gedi nasareti dogu nni ban bo ŋub 'o naani k kua l jaandieli saba daali. nani wan bo tug g tie maama. k fii k bo cogi tienu ñɔmaama tili.
Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko.
17 K bi waan'o u tienu tondo isai tili wan pɔbidi l tili ko la naan kani k b diani k:
Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa,
18 M yomdano fomnŋanb ye n po kelima u lugdn ki sɔgni kpaŋanba k bo muadi o ñɔmaama i cacagi danba k gɔ paagi yaaba pala biidi k yaaba tie juanma n nuali, k fie b cacagdama.
“Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa,
19 k gɔ muadi u tienu ŋanba binl
kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake.”
20 K u pɔbini l tili k teni o naacenba k gedi kali. U jaanddiieogu nni k a nubina kuli fid o po.
Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye.
21 Dinne mɔno u bu cili yinm yaa song'o yeni kani u tienu tondo ñɔmaama tie mɔni.
Alianza kuzungumza nao akisema, “Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu.”
22 yaab den song'o kul lden cuo'b u yaalidigu. K b tɔb maadi ki waa tie Josefi bijua kaa?
Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, “huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?”
23 k jesus maadi bi: n bani ki bo puan i m makpanjama dogda dogd a ba ama e bia bomaadi maad'ti ŋan tienii yaala kaperinahumin dogu nni. ŋan gɔ tieni n yeni a dogun i k ti diidi.
Yesu akawaambia, “hakika mtasema methali hii kwangu, “Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako.”
24 K jesus pugn ama e mɔni baa bani k pagi u tienu tuonsɔnlo u dogu nni.
Pia alisema, “hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake.”
25 E mɔni ke maadi yi a pakuana den yabi boncianli Isaraheli dogu nni Eli yogu. lan ya yogu i ke taagi bo ba binataa yen bɔgidima. k m koncianma ba u dogu kuli nni.
Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote.
26 ama den sɔno'a ba pakua yedi kani k cedi b den t sɔn'o yendi kani k u den ye Sarepta Sidon dogun nni. a i.
Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni.
27 A gbaada den ye ki yabi Isaraheli dogu nni u tienu tuonsɔnlo Eli yogu. Ama ki baa bo paagi baa yedi. B bo paagi Sirija i ku yeli tie Naamani
Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria.
28 I yaabi den songi Jesus k ye l jaandieli n k kuli pala den biidi
Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote.
29 b nubi kuli den fii k tudu Jesus k ñan'o hali l juali po l jaandieli n maa naan yeni k bi tud'o k lu'o tinga nni
Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini.
30 Jesus n den ñan b siiga nni k paani k caa Jesus den tieni i tundi yeni u tebigu Kafarnahumi.
Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake.
31 Den gedi Kaperinahomi galile dogu nni ki tieni i tundi ba u tiemu ñɔmaama po saba daali.
Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi.
32 Yaaba den songi pala den mangi boncianli kelima u den yeni yikodi.
Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka.
33 O ja den ye l jaandieli nni ki t tagbiid yeni mu cicibiadimu den cedi k o yign i yen paalu
Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu,
34 O a bua tien 'ti be ne, a cua k ŋan bianti yaa? U tienu nuŋanmo tondo.
“Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!”
35 Ama k Jesus tiani yeni pabieli k maadi suon i k ña o ja ne gbanu nni. k t cicibiid yeni fuun'o k lun'o tinga b niba siiga k waa janbi ama k ñani u po.
Yesu alimkemea pepo akisema, “Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!” Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote.
36 k l yogu k ti jawaandi kua b niba, k b maadi b lieba. Lan ñɔmaam tue be i k pia u paalu yen yikodi k yi beli i cicibiadi ban saa ña i!
Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, “Ni maneno ya aina gani haya?” Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka.”
37 ke Jesus yeli doni kaankul a dongbana nni.
Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo.
38 Jesus n den ñani l jaandieli kan u den gedi Simo deni k sua k Simo juado ye yeni u gbanantogu, k b buali k b mia Jesus k wan tieni l bonli k paa'o
Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake.
39 k Jesus tibn i o po k cedi ko yugbaagu ñani u po. k o fii l yogu k cil suani u tienu tuona.
Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia.
40 O yienu n den baa ya yogu yaaba den pia b yianba b den po, b den ba yenmi Jesus kani k u yi e nui yua kul po wan paagi.
Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote.
41 I cicibiadi den ña boncianli b ssiga nni, k yigini. A tie u tienu bijua i. Ama k Jesus yi tiani ban gɔ suono kelima b den bandi k u tie Kristo.
Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, “Wewe ni mwana wa Mungu!” Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo.
42 Lden fandi ya yogu k Jesus ñani o deni k gedi u fanfanpiegu nni. k b niba cil k kpaan; o ban t la'o k gedi o kani kaa ji bua ko seedi ŋaab'a.
Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao.
43 Ama k u maadi bi: l tie taladi min min muandi u tienu labanŋanli dogban tiana nni. Kelima lan yaa po i k u tienu sɔn n i.
Lakini akawaambia, “Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa.”
44 k ji tundi u tienu labamanli Jude jaandiel nni.
Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.

< Luka 4 >