< 1 Chronik 8 >

1 Benjamin aber zeugete Bela, seinen ersten Sohn, Asbal den andern, Ahrah den dritten,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Noha den vierten, Rapha den fünften.
Noha, na Rafa.
3 Und Bela hatte Kinder: Addar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisua, Naeman, Ahoah,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Sephuphan und Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Dies sind die Kinder Ehuds, die da Häupter waren der Väter unter den Bürgern zu Geba und zogen weg gen Manahath:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 nämlich Naeman, Ahia und Gera, derselbe führete sie weg; und er zeugete Usa und Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Und Saharaim zeugete im Lande Moab (da er jene von sich gelassen hatte) von Husim und Baera, seinen Weibern.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Und er zeugete von Hodes, seinem Weibe: Jobab, Zibja, Mesa, Malcham,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeuz, Sachja und Mirma. Das sind seine Kinder, Häupter der Väter.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Von Husim aber zeugete er Abitob und Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Die Kinder aber Elpaals waren: Eber, Miseam und Samed. Derselbe bauete Ono und Lod und ihre Töchter.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Und Bria und Sama waren Häupter der Väter unter den Bürgern zu Ajalon; sie verjagten die zu Gath.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Ahjo aber, Sasak, Jeremoth,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Sebadja, Arad, Ader,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Michael, Jespa und Joha; das sind Kinder Brias.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Sebadja, Mesullam, Hiski, Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Jesmerai, Jeslia, Jobab; das sind Kinder Elpaals.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Jakim, Sichri, Sabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elioenai, Zilthai, Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaja, Braja und Simrath; das sind die Kinder Simeis.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Jespan, Eber, Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Sichri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananja, Elam, Anthothja,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Jephdeja und Pnuel; das sind die Kinder Sasaks.
Ifdeia, na Penueli.
26 Samserai, Seharja, Athalja,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaeresja, Elia und Sichri; das sind Kinder Jerohams.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Das sind die Häupter der Väter ihrer Geschlechter, die wohneten zu Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 Aber zu Gibeon wohnete der Vater Gibeons; und sein Weib hieß Maecha.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Und sein erster Sohn war Abdon, Zur, Kis, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ahjo und Secher.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Mikloth aber zeugete Simea; und sie wohneten gegen ihren Brüdern zu Jerusalem mit ihnen.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner zeugete Kis. Kis zeugete Saul. Saul zeugete Jonathan, Malchisua, Abinadab und Esbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Der Sohn aber Jonathans war Meribaal. Meribaal zeugete Micha.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Die Kinder Michas waren: Pithon, Melech, Thaerea und Ahas.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Ahas aber zeugete Joadda. Joadda zeugete Alemeth, Asmaveth und Simri. Simri zeugete Moza.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Moza zeugete Binea; des Sohn war Rapha; des Sohn war Eleasa; des Sohn war Azel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Azel aber hatte sechs Söhne, die hießen: Esrikam, Bochru, Jesmael, Searja, Obadja, Hanan. Die waren alle Söhne Azels.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Die Kinder Eseks, seines Bruders, waren: Ulam, sein erster Sohn, Jeus der andere, Eliphelet der dritte.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Die Kinder aber Ulams waren gewaltige Leute und geschickt mit Bogen; und hatten viele Söhne und Sohnes Söhne, hundertundfünfzig. Die sind alle von den Kindern Benjamins.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Chronik 8 >