< Psalm 85 >

1 Dem Musikmeister. Von den Korachiten. Ein Psalm. Du hast dein Land begnadigt, Jahwe, hast das Geschick Jakobs gewendet.
Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
2 Du hast die Verschuldung deines Volks hinweggenommen, hast alle ihre Sünde vergeben. (Sela)
Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
3 Du hast allen deinen Grimm zurückgezogen, hast abgelassen von der Glut deines Zorns.
Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
4 Stelle uns wieder her, Gott, der du unsere Hilfe bist, und laß deinen Unmut gegen uns fahren.
Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
5 Willst du denn ewig über uns zürnen, deinen Zorn auf alle künftigen Geschlechter ausdehnen?
Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
6 Willst du uns nicht wieder aufleben lassen, daß sich dein Volk über dich freuen möge?
Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
7 Jahwe, laß uns deine Gnade schauen und schenke uns dein Heil!
Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
8 Ich will doch hören, was Gott Jahwe redet; er redet von Frieden zu seinem Volk und zu seinen Frommen und zu denen, die ihr Herz ihm zuwenden.
Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
9 Ja, seine Hilfe ist nahe denen, die ihn fürchten, daß Herrlichkeit in unserem Lande wohne.
Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
10 Gnade und Treue begegnen einander, Gerechtigkeit und Friede küssen sich.
Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
11 Treue sproßt aus der Erde hervor, und Gerechtigkeit schaut vom Himmel herab.
Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
12 Ja, Jahwe wird Gutes gewähren, und unser Land wird sein Gewächs geben.
Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
13 Gerechtigkeit geht vor ihm her und achtet auf die Richtung seiner Tritte.
Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.

< Psalm 85 >