< Psalm 50 >

1 Ein Psalm Asaphs. Gott, Gott Jahwe, redet und ruft der Erde vom Aufgang der Sonne bis zu ihrem Untergang.
Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
2 Aus Zion, der Krone der Schönheit, strahlt Gott auf.
Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
3 Unser Gott kommt und schweigt nicht. Verzehrendes Feuer geht vor ihm her, und rings um ihn stürmt es gewaltig.
Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
4 Er ruft dem Himmel droben zu und der Erde, damit er sein Volk richte:
Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
5 “Versammelt mir meine Frommen, die den Bund mit mir beim Opfer schlossen!”
Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
6 Da verkündigte der Himmel seine Gerechtigkeit; denn Gott ist Richter. (Sela)
Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
7 “Höre, mein Volk, laß mich reden; Israel, laß mich wider dich zeugen: Gott, dein Gott, bin ich!
Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
8 “Nicht wegen deiner Opfer will ich dich zur Rede setzen - sind doch deine Brandopfer beständig vor mir!
Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
9 “Ich mag nicht Farren aus deinem Hause nehmen, noch Böcke aus deinen Hürden.
Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
10 “Denn mein sind alle Tiere des Waldes, das Vieh auf den Bergen mit ihren Tausenden.
Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
11 “Ich kenne alle Vögel auf den Bergen, und was sich im Gefilde regt, ist mir bewußt.
Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
12 “Wenn mich hungerte, würde ich dir's nicht sagen; denn mein ist der Erdkreis und was ihn füllt.
Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
13 “Esse ich etwa das Fleisch von Stieren oder trinke ich das Blut von Böcken?
Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
14 “Opfere Gott Dank, so wirst du dem Höchsten deine Gelübde bezahlen!
Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
15 “Und rufe mich an am Tage der Not: ich will dich erretten und du sollst mich preisen!”
Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
16 Zum Gottlosen aber spricht Gott: “Was hast du meine Satzungen herzuzählen und nimmst meinen Bund in deinen Mund,
Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
17 “während du doch Zucht hassest und meine Worte hinter dich wirfst?
wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
18 “Wenn du einen Dieb sahst, so liefst du mit ihm und mit Ehebrechern hattest du Gemeinschaft.
Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
19 “Du lässest deinen Mund sich frei in Bosheit ergehen, und deine Zunge flicht Betrug.
Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
20 “Du sitzest da, redest wider deinen Bruder, bringst Beschimpfung auf den Sohn deiner Mutter.
Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
21 “Solches thatest du, und ich schwieg. Da meintest du, ich sei ganz wie du. “Aber ich will dich zur Rechenschaft ziehn und dir's vor Augen stellen!
Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
22 “Merkt doch dies, die ihr Gottes vergeßt, daß ich nicht hinwegraffe, ohne daß jemand zu retten vermag.
Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
23 “Wer Dank opfert, ehrt mich, und wer unsträflich wandelt, den will ich seine Lust sehen lassen an Gottes Heil!”
Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”

< Psalm 50 >