< Psalm 135 >

1 Rühmet Jah! Rühmt den Namen Jahwes, rühmt, ihr Diener Jahwes,
Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
2 die ihr im Tempel Jahwes steht, in den Vorhöfen des Tempels unseres Gottes!
ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Rühmet Jah, den Jahwe ist gütig; lobsingt seinem Namen, denn er ist lieblich!
Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
4 Denn Jah hat sich Jakob erwählt, Israel zu seinem Eigentum.
Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
5 Denn ich weiß, daß Jahwe groß ist und unser Herr alle Götter überragt.
Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
6 Alles, was ihm beliebte, hat Jahwe gethan, im Himmel und auf Erden, im Meer und in allen Tiefen.
Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
7 Der Wolken heraufführt vom Ende der Erde her, Regen und Blitze schafft, den Wind aus seinen Schatzkammern hervorholt;
Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
8 der die Erstgeborenen Ägyptens schlug, sowohl Menschen, als Vieh,
Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
9 Zeichen und Wunder in dich, Ägypten, entsandte, wider den Pharao und alle seine Unterthanen;
Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 der viele Völker schlug und mächtige Könige tötete:
Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
11 Sihon, den König der Amoriter, und Og, den König von Basan, und alle Königreiche Kanaans.
Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
12 Und er gab ihr Land zum Besitztum, zum Besitztum seinem Volk Israel.
Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13 Jahwe, dein Name währt ewig, dein Gedächtnis, Jahwe, durch alle Geschlechter.
Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14 Denn Jahwe schafft seinem Volke Recht und erbarmt sich über seine Knechte.
Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15 Die Götzen der Heiden sind Silber und Gold, ein Werk von Menschenhänden.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16 Sie haben einen Mund und reden nicht, sie haben Augen und sehen nicht.
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
17 Sie haben Ohren und hören nicht, und kein Odem ist in ihrem Munde.
zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
18 Ihnen gleich werden die, die sie verfertigen, jeder, der auf sie vertraut.
Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
19 Ihr vom Hause Israel, preiset Jahwe! Ihr vom Hause Aarons, preiset Jahwe!
Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
20 Ihr vom Hause Levis, preiset Jahwe! Die ihr Jahwe fürchtet, preiset Jahwe!
Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
21 Gepriesen sei Jahwe vom Zion aus, er, der zu Jerusalem wohnt! Rühmet Jah!
Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.

< Psalm 135 >