< Psalm 120 >

1 Wallfahrtslieder. Zu Jahwe in meiner Not rief ich, und er erhörte mich.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 Jahwe, errette meine Seele von lügnerischer Lippe, von trügerischer Zunge.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 Was giebt dir und was mehrt dir die trügerische Zunge?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Geschärfte Kriegerpfeile samt Ginsterkohlen!
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Wehe mir, daß ich bei Mesech zu Gaste bin, bei den Zelten Kedars wohne!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 Zu lange schon wohnt meine Seele bei solchen, die den Frieden hassen.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 Ich bin ganz Friede, aber wenn ich etwas rede, sind sie auf Kampf aus.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Psalm 120 >