< Nehemia 7 >

1 Als nun die Mauer gebaut war, setzte ich die Thüren ein, und es wurden die Thorhüter mit der Aufsicht betraut.
Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
2 Und ich beorderte zu Befehlshabern über Jerusalem meinen Bruder Hanani und Hananja, den Obersten der Burg; denn er war ein so zuverlässiger und gottesfürchtiger Mann, wie wenige.
Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
3 Und ich wies sie an: Die Thore Jerusalems dürfen nicht eher geöffnet werden, als bis die Sonne heiß scheint. Und während die Wachtposten noch dastehen, soll man die Thürflügel schließen und verriegeln. Und dann soll man Wachen aus den Einwohnern Jerusalems aufstellen, einen jeden auf seinem Posten und zwar einen jeden gegenüber seinem Hause.
Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
4 Es war aber die Stadt von großer Ausdehnung, jedoch nur wenig Volks in ihr, und manche Häuser waren nicht wieder aufgebaut.
Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
5 Da gab mir mein Gott in den Sinn, die Edlen und die Vorsteher und das Volk zur Anfertigung eines Geschlechtsverzeichnisses zu versammeln. Da fand ich das Geschlechtsbuch derer, die zuerst heraufgezogen waren, und fand darin geschrieben:
Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
6 Dies sind die Angehörigen der Provinz Juda, die aus der Gefangenschaft der Weggeführten, die Nebukadnezar, der König von Babel, weggeführt hatte, heraufzogen und nach Jerusalem und Juda, ein jeder in seine Stadt, heimkehrten,
Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
7 die mit Serubabel, Jesua, Nehemia, Asarja, Raamja, Nahemani, Mardochai, Bilsan, Mispereth, Bigevai, Nehum und Baana kamen. Die Zahl der Männer des Volkes Israel betrug:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
8 Die Nachkommen Pareos': 2172.
wazao wa Paroshi 2,172
9 Die Nachkommen Sephatjas: 372.
wazao wa Shefatia 372
10 Die Nachkommen Arahs: 652.
wazao wa Ara 652
11 Die Nachkommen Pahath-Moabs, nämlich die Nachkommen Jesuas und Joabs: 2818.
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
12 Die Nachkommen Elams: 1254.
wazao wa Elamu 1,254
13 Die Nachkommen Sattus: 845.
wazao wa Zatu 845
14 Die Nachkommen Sakkais: 760.
wazao wa Zakai 760
15 Die Nachkommen Binnuis: 648.
wazao wa Binui 648
16 Die Nachkommen Bebais: 628.
wazao wa Bebai 628
17 Die Nachkommen Asgads: 2322.
wazao wa Azgadi 2,322
18 Die Nachkommen Adonikams: 667.
wazao wa Adonikamu 667
19 Die Nachkommen Bigevais: 2067.
wazao wa Bigwai 2,067
20 Die Nachkommen Adins: 655.
wazao wa Adini 655
21 Die Nachkommen Aters von Hiskia: 98.
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
22 Die Nachkommen Hasums: 328.
wazao wa Hashumu 328
23 Die Nachkommen Bezais: 324.
wazao wa Besai 324
24 Die Nachkommen Hariphs: 112.
wazao wa Harifu 112
25 Die Leute von Gibeon: 95.
wazao wa Gibeoni 95
26 Die Leute von Bethlehem und Netopha: 188.
watu wa Bethlehemu na Netofa 188
27 Die Leute von Anathoth: 128.
watu wa Anathothi 128
28 Die Männer von Beth-Asmaveth: 42.
watu wa Beth-Azmawethi 42
29 Die Männer von Kirjath-Jearim, Kaphira und Beeroth: 743.
watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
30 Die Männer von Rama und Geba: 621.
watu wa Rama na Geba 621
31 Die Männer von Michmas: 122.
watu wa Mikmashi 122
32 Die Männer von Bethel und Ai: 123.
watu wa Betheli na Ai 123
33 Die Männer von Nebo: 52.
watu wa Nebo 52
34 Die Nachkommen des anderen Elam: 1254.
wazao wa Elamu 1,254
35 Die Nachkommen Harims: 320.
wazao wa Harimu 320
36 Die Leute von Jericho: 345.
wazao wa Yeriko 345
37 Die Leute von Lod, Hadid und Ono: 721.
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
38 Die Leute von Senaa: 3930.
wazao wa Senaa 3,930
39 Die Priester: Die Nachkommen Jedajas vom Hause Jesua: 973.
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
40 Die Nachkommen Immers: 1052.
wazao wa Imeri 1,052
41 Die Nachkommen Pashurs: 1247.
wazao wa Pashuri 1,247
42 Die Nachkommen Harims: 1017.
wazao wa Harimu 1,017
43 Die Leviten: Die Nachkommen Jesuas und Kadmiels, von den Nachkommen Hodejas: 74.
Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
44 Die Sänger: Die Nachkommen Asaphs: 148.
Waimbaji: wazao wa Asafu 148
45 Die Thorhüter: Die Nachkommen Sallums, die Nachkommen Aters, die Nachkommen Talmons, die Nachkommen Akkubs, die Nachkommen Hatitas, die Nachkommen Sobais: 138.
Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
46 Die Tempeldiener: Die Nachkommen Zihas, die Nachkommen Hasuphas, die Nachkommen Tabbaoths,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
47 die Nachkommen Keros', die Nachkommen Sias, die Nachkommen Padons,
wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
48 die Nachkommen Lebanas, die Nachkommen Hagabas, die Nachkommen Salmais,
wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
49 die Nachkommen Hanans, die Nachkommen Giddels, die Nachkommen Gahars,
wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
50 die Nachkommen Reajas, die Nachkommen Rezins, die Nachkommen Nekodas,
wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
51 die Nachkommen Gassams, die Nachkommen Usas, die Nachkommen Paseahs,
wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
52 die Nachkommen Besais, die Nachkommen der Meuniter, die Nachkommen der Nephisiter,
wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
53 die Nachkommen Bakbuks, die Nachkommen Kauphas, die Nachkommen Harhurs,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
54 die Nachkommen Bazeliths, die Nachkommen Mehidas, die Nachkommen Harsas,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
55 die Nachkommen Barkos', die Nachkommen Siseras, die Nachkommen Themahs,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
56 die Nachkommen Neziahs, die Nachkommen Hatiphas.
wazao wa Nesia na Hatifa.
57 Die Nachkommen der Sklaven Salomos: Die Nachkommen Sotais, die Nachkommen Sophereths, die Nachkommen Peridas,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
58 die Nachkommen Jaalas, die Nachkommen Darkons, die Nachkommen Giddels,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
59 die Nachkommen Sephatjas, die Nachkommen Hattils, die Nachkommen des Pochereth-Hazzebaim, die Nachkommen Amons,
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
60 sämtliche Tempeldiener und Nachkommen der Sklaven Salomos: 392.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
61 Und diese sind es, die aus Tel-Melah, Tel-Harsa, Cherub, Addon und Immer heraufzogen, ohne daß sie ihre Familie und ihre Abstammung angeben konnten, ob sie aus Israel stammten:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
62 Die Nachkommen Delajas, die Nachkommen Tobias, die Nachkommen Nekodas: 642.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
63 Und von den Priestern: Die Nachkommen Habajas, die Nachkommen Hakkoz', die Nachkommen Barsillais, der eine von den Töchtern des Gileaditers Barsillai geheiratet hatte und nach ihrem Namen genannt wurde.
Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
64 Diese suchten ihre Geschlechtsverzeichnisse, aber sie waren nicht zu finden; daher wurden sie vom Priestertum ausgeschlossen.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
65 Und der Statthalter verbot ihnen, vom Hochheiligen zu essen, bis wieder ein Priester für die Handhabung der Urim und Tummim erstehen würde.
Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
66 Die ganze Gemeinde betrug zusammen 42360,
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
67 ungerechnet ihre Sklaven und Sklavinnen; deren gab es 7337 und dazu kamen 245 Sänger und Sängerinnen.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
68 Rosse hatten sie: 736, Maultiere: 245,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
69 Kamele: 435, Esel: 6720.
ngamia 435 na punda 6,720.
70 Und ein Teil der Familienhäupter spendete zum Tempeldienst. Der Statthalter spendete für den Schatz: an Gold tausend Drachmen, fünfzig Sprengschalen, 30 Priesterröcke.
Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
71 Und einige von den Familienhäuptern spendeten zum Schatze für den Tempeldienst: an Gold 20000 Drachmen und an Silber 2200 Minen.
Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
72 Und was das übrige Volk spendete, betrug an Gold 20000 Drachmen und an Silber 2000 Minen, und siebenundsechzig Priesterröcke.
Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
73 Und so wohnten die Priester und die Leviten und die Thorhüter und die Sänger und ein Teil des Volks und die Tempeldiener und sämtliche Israeliten in ihren Städten.
Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,

< Nehemia 7 >