< Psalm 64 >

1 Auf den Siegesspender, ein Lied, von David. Erhör, mein Rufen, Gott! Ich klage. Mein Leben wahre vor des Feindes Schrecken!
Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
2 Verbirg mich vor der Bösen Rotte, vor dem Gelärm der Missetäter,
Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
3 die ihre Zungen gleich dem Dolche schärfen, ein giftig Wort zum Pfeile machen,
Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
4 um aus Verstecken auf die Wehrlosen zu schießen, sie unvermutet zu erschießen, ohne Scheu!
ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
5 Sie machen für sich Schlimmes aus; sie rühmen sich des Schlingenlegens. "Wer wird sie sehen?" sagen sie.
Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
6 Sie sinnen auf Verbrechen. "Wir denken sie nach allen Seiten aus", so denken sie bei sich im tiefsten Herzensgrunde.
Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
7 Mit Pfeilen treff' sie Gott! Ganz unvermutet sollen ihnen Wunden werden!
Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
8 Sie sollen ihnen ihre Zunge lähmen! Ein jeder schaudere, der dies an ihnen sieht!
Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
9 Dann fürchten sich die andern Menschen alleund künden es als Gottes Tatund rechnen als sein Werk es an.
Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
10 Der Fromme freue sich alsdann des Herrnund baue fest auf ihn, und alle frommen Herzen triumphieren!
Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.

< Psalm 64 >