< Psalm 29 >

1 Ein Lied, von David. - Ihr Gottessöhne! Bringet für den Herrn herbei, bringt Kostbarkeiten, Schätze für den Herrn!
Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
2 Bringt für den Herrn die Schätze, seines Namens würdig! Werft vor den Herrn euch hin mit Schmuck fürs Heiligtuni! -
Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
3 Des Herrn Stimme dröhnet über den Gewässern. Der Gott der Herrlichkeit ließ donnern; der Herr war über mächtigen Gewässern.
Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
4 Des Herrn Stimme schallt in Kraft; des Herrn Stimme schallt mit Majestät.
Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
5 Des Herrn Stimme splittert Zedern. Der Herr zerschmettert Zedern Libanons.
Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
6 Er ließ den Libanon gleich einem Kalbe hüpfen, den Sirjon wie ein Büffeljunges.
Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
7 Des Herrn Stimme spaltet Feuerflammen.
Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
8 Des Herrn Stimme macht die Wüste beben. Einst ließ der Herr die Wüste Kades zittern.
Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
9 Des Herrn Stimme macht, daß Rehe werfen, und daß entblößt die Wälder werden. Mit ihrer ganzen Kraft bestellt er Schätze in sein Heiligtum. -
Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
10 Und überm Sintflutregen hatte einst der Herr gethront. Der Herr war König schon in alten Zeiten.
Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
11 Der Herr verleihe Schätze seinem Volk! Mit Frieden segne doch der Herr sein Volk!
Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.

< Psalm 29 >