< Psalm 13 >

1 Auf den Siegesspender, ein Lied von David. Wie lange willst Du mich vergessen, Herr, wie lange noch Dein Antlitz mir verhüllen?
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele? Utanificha uso wako mpaka lini?
2 Wie lange soll ich meinen Geist mit Sinnen, mein Herz mit Sorgen täglich quälen? Wie lange noch mein Feind obsiegen über mich?
Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini, na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu? Adui zangu watanishinda mpaka lini?
3 Schau her, erhöre mich, Du Herr, mein Gott! Erleuchte meine Augen, daß ich des Todes nicht entschlafe,
Nitazame, unijibu, Ee Bwana Mungu wangu. Yatie nuru macho yangu, ama sivyo nitalala usingizi wa mauti.
4 daß nicht mein Feind sich rühme: "Den hab ich bezwungen", nicht meine Gegner jubeln, daß ich wanke!
Adui yangu atasema, “Nimemshinda,” nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.
5 Ich baue fest auf Deine Huld. Mein Herz frohlocke über Deine Hilfe!
Lakini ninategemea upendo wako usiokoma; moyo wangu unashangilia katika wokovu wako.
6 Ich will dem Herrn lobsingen, wenn er mir Gutes unverdient getan.
Nitamwimbia Bwana, kwa kuwa amekuwa mwema kwangu.

< Psalm 13 >