< Psalm 113 >

1 Alleluja! Des Herren Knechte, preist, lobpreist des Herren Namen!
Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
2 Des Herren Name sei gepriesen von nun an bis in Ewigkeit!
Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
3 Vom Sonnenaufgang bis zum Niedergang sei hochgelobt des Herrn Name!
Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
4 Der Herr sei über alle Heiden hoch erhaben! Bis in den Himmel reiche seine Ehrung!
Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
5 Wer gleicht dem Herrn, unserm Gott, der in der Höhe thront,
Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
6 der tief herniederblickt, im Himmel dort, hier auf die Erde?
atazamaye chini angani na duniani?
7 Aus Staub zieht er den Niedrigen empor und hebt den Dürftigen aus dem Kot
Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
8 und setzt ihn neben Fürsten, zu seines Volkes Fürsten.
ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 Er läßt die Frau, die nie gebar, im Hause bleiben, als Kindermutter hochwillkommen.
Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!

< Psalm 113 >