< Job 23 >

1 Darauf erwidert Job und spricht:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 "Auch heut ist meine Klage bitter; ich lege allen Nachdruck auf mein Seufzen.
“Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
3 Ach, daß ich ihn zu finden wüßte, vor seinen Stuhl gelangen könnte
Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
4 und dürfte meine Sache ihm vorlegen und mit Beweisen meinen Mund anfüllen
Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
5 und dürfte seine Antwort hören, vernehmen, was er mir zu sagen weiß!
Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
6 Ob er mit starken Gründen mit mir rechten wollte, ob er in Staunen mich versetzen könnte?
Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
7 Da stünde dann ein braver Mann vor ihm; ich wäre dann für immer meiner Richter ledig.
Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
8 Doch wenn ich ostwärts geh, so läßt er sich nicht finden, und westwärts, so gewahr ich ihn auch nicht.
Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
9 Und wäre er im Norden, ich sähe ihn doch nicht, und böge er nach Süden ab, ich schaute ihn doch nirgends.
Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
10 Mein Weg, auf dem ich stehe, ist ihm wohlbekannt, und prüft er mich, dann würde er wie Gold mich finden.
Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
11 Mein Fuß ging stets in seinen Gleisen; ich wankte nicht von seinem Weg.
Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
12 Von seiner Lippe Lehre wich ich nicht; und seines Mundes Worte hob ich ohnegleichen auf.
Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
13 Er ist nun wahrhaft einzigartig. Wer kann ihm wehren? Was er beschließt, das führt er aus.
Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
14 Er will mein Maß erfüllen, und solcherlei hat er noch viel bei sich.
Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
15 Drum bin ich über ihn erschrocken; mir graut vor ihm, wenn ich dran denke.
Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
16 Gebrochen hat das Herz mir Gott; mit Schrecken hat mich der Allmächtige erfüllt.
Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
17 Denn ob des Dunkels fühle ich mich schon vernichtet, dieweil in Düsterkeit gehüllt ich bin."
Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.

< Job 23 >