< Esra 2 >

1 Dies sind die Angehörigen des Bezirks, die aus der Exulantenschar heraufgezogen und die Babels König Nebukadrezar nach Babel geführt hatte. Sie kehrten heim nach Jerusalem und Juda, jeder in seine Stadt.
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 Sie, die mit Zerubbabel, Jesua, Nechemja, Seraja, Reelaja, Mordekai, Bilsan, Mispar, Bigwai, Rechum und Baana gekommen waren. Das ist die Zahl der Männer des Volkes Israel:
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
3 die Söhne des Paros 2.172,
Waporoshi: 2, 172
4 die Söhne des Saphatja 372,
Wana wa Shefatia: 372
5 die Söhne des Arach 775,
Wana wa Ara: 775.
6 die Söhne des Tachat Moab, nämlich die Söhne des Jesua Joab, 2.812,
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
7 die Söhne des Elam 1.245,
Wana wa Eliamu: 1, 254.
8 die Söhne des Zattu 945,
Wana wa Zatu: 945.
9 die Söhne des Zakkai 760,
Wana wa Zakai: 760.
10 die Söhne des Bani 642,
Wana wa Binui: 642.
11 die Söhne des Bebai 623,
Wana wa Bebai: 623.
12 die Söhne des Azgad 1.222,
Wana wa Azgadi: 1, 222.
13 die Söhne des Adonikam 666,
Wana wa Adonikamu: 666.
14 die Söhne des Bigwai 2.056,
Wana wa Bigwai: 2, 056.
15 die Söhne des Adin 459,
Wana wa Adini: 454.
16 die Söhne des Ater von Jechizkija 98,
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
17 die Söhne des Besai 323,
Wana wa Besai: 323.
18 die Söhne des Jora 112,
Wana wa Harifu: 112.
19 die Söhne des Chasum 223,
Wanaume wa Hashimu: 223.
20 die Söhne des Gibbar 95,
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
21 die Söhne von Bethlehem 23,
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
22 die Männer von Netopha 56,
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
23 die Männer von Anatot 128,
Wanaume wa Anathothi: 128.
24 die Söhne des Azmawet 42,
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 die Söhne Kirjat Arim, Kephira undBeerot 743,
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 die Söhne der Rama und von Geba 621,
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
27 die Männer von Mikmas 122,
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 die Männer von Betel und dem Ai 223,
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
29 die Söhne des Nebo 52,
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
30 die Söhne des Maglis 156,
Wanaume wa Magbishi: 156.
31 die Söhne des Neu-Elam 1.254,
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
32 die Söhne des Charim 320,
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 die Söhne des Lod, Chadid und Ano 725,
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
34 die Söhne von Jericho 345,
Wanaume wa Yeriko: 345.
35 die Söhne Senaas 3.630.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 Die Priester: die Söhne Jedajas vom Hause Jesua 973,
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
37 die Söhne des Immer 1052,
Wana wa Imeri: 1, 052.
38 die Söhne des Paschur 1247,
Wana wa Pashuri: 1, 247.
39 die Söhne des Charim 1017.
Wana wa Harimu: 1, 017.
40 Die Leviten: die Söhne des Jesua und des Kadmiel vom Hause Hodawja 74.
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 Die Sänger: die Söhne Asaphs, 128.
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 Die Torhüter: die Söhne Sallums, die Söhne Talmons, die Söhne Akkubs, die Söhne Chatitas, die Söhne Sobais, insgesamt 1.391.
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 Die Tempelsklaven: die Söhne des Sicha, die Söhne des Chasupha, die des Tabbaot,
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
44 die Söhne des Keros, die des Siaha, die des Padon,
Keros, Siaha, Padoni.
45 die Söhne des Lebana, die des Chaguba, die des Akkub,
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 die Söhne des Chagab, die des Samlai, die des Chanan,
Hagabu, Salmai, Hanani
47 die Söhne des Giddel, die des Gachar, die des Reaja,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 die Söhne des Resin, die des Nekoda, die des Gazzam,
Resini, Nekoda, Gazamu,
49 die Söhne des Uzza, die des Paseach, die des Besai,
Uza, Pasea, Besai,
50 die Söhne des Asna, die der Mëuniter, die der Nephusiter,
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 die Söhne des Bakbuk, die des Chakupha, die des Charchur,
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 die Söhne des Baslut, die des Mechida, die des Charsa,
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 die Söhne des Barkos, die des Sisera, die des Tamach,
Barkosi, Sisera, Tema:
54 die Söhne des Nesiach die des Chatipha.
Nesia, Tefa
55 Die Söhne der Sklaven Salomos: die Söhne des Sotai, die der Schreiberin, die des Peruda,
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 die Söhne des Jaala, die des Darkon, die des Giddel,
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 die Söhne des Sephatja, die des Chattil, die Söhne der Pokeret der Gazellen, die des Ami,
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 all die Tempelsklaven und Söhne der Sklaven Salomos 393.
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 Und dies sind die, die aus Tel Melach und Tel Charsa, Cherub, Addan und Immer hergezogen waren, aber nicht dartun konnten, ob ihr Haus und ihre Abstammung echt israelitisch seien:
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 Die Söhne des Delaja, die des Tobia und die des Nekoda 652.
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 Und von den Priestersöhnen die Söhne des Chabaja und die des Hakkos, die Söhne Barzillais, der sich eine der Töchter des Gileaditers Barzillai zum Weibe genommen hatte und dann nach ihrem Namen benannt ward.
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 Diese suchten die Schrift ihres Geschlechtsnachweises. Sie fand sich aber nicht vor, und so wurden sie vom Priestertum ausgeschlossen.
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 Der Tirsata sprach zu ihnen, sie dürften vom Hochheiligen nicht essen, bis ein Priester für Urim und Tummim erstünde.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 Die ganze Gemeinde belief sich auf 42.360,
Jumla ya kundi 42, 360,
65 ohne ihre Sklaven und Sklavinnen, an Zahl 7.337. Auch hatten sie 200 Sänger und Sängerinnen.
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 Die Zahl der Pferde betrug 736, die ihrer Maultiere 245,
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 ihrer Kamele 435, ihrer Esel 6.720.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 Von den Familienhäuptern hatten manche, als sie zum Hause des Herrn in Jerusalem kamen, Spenden für das Gotteshaus gegeben, um es auf seiner Stelle zu errichten.
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 Sie hatten für den Bauschatz je nach ihrer Habe an Gold 61.000 Drachmen gegeben, an Silber 5.000 Minen und 100 Priesterkleider.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 Die Priester, die Leviten und manche vom Volk, die Sänger, Torhüter und Tempelsklaven siedelten sich darin in ihren Städten an, ebenso das ganze übrige Israel in seinen Städten.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.

< Esra 2 >