< 1 Chronik 1 >

1 Adam, Set, Enos.
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Jered.
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Chanok, Metuselach, Lemek.
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noë, Sem, Cham, Japhet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Japhets Söhne sind Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mosek und Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Gomers Söhne sind Askenaz, Riphat und Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Javans Söhne sind Elisa, Tarsis, Kittim und Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Chams Söhne sind Kusch und Misraim, Put und Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Des Kusch Söhne sind Seba, Chavila, Sabta, Regma und Sabteka, Regmas Söhne sind Seba und Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Und Kusch zeugte Nimrod. Dieser fing an, auf Erden ein Held zu werden.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Und Misraim zeugte die Luditer, die Anamiter, die Lehabiter, die Naphtuchiter,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 die Patrusiter und die Kasluchiter sowie die Kaphtoriter, von denen die Philister auszogen.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Und Kanaan zeugte Sidon als seinen Erstgeborenen und Chet,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 sodann die Jebusiter, Amoriter, Girgasiter,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 Chiviter, Arkiter, Siniter,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 Arvaditer, Semariter und Chamatiter
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Sems Söhne sind Elam, Assur, Arphaksad, Lud, Aram, Us, Chul, Geter und Mesek.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Und Arphaksad zeugte den Selach und Selach den Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Zwei Söhne wurden Eber geboren. Des einen Name war Peleg. Denn in seinen Tagen ward die Erde zerteilt. Sein Bruder hieß Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Und Joktan zeugte Almodad, Seleph, Chazarmavet, Jerach,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ebal, Abimael, Seba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ophir, Chavila und Jobab. All diese sind Joktans Söhne.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arphaksad, Selach,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Rëu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nachor, Terach,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram, das ist Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Abrahams Söhne waren Isaak und Ismael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Dies sind ihre Geschlechtsfolgen: Ismaëls Erstgeborener ist Nebajot. Dann folgen Kedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Misma, Duma, Massa, Chadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Naphis und Kedma. Dies sind die Söhne Ismaëls.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Keturas, des Nebenweibes Abrahams, Söhne sind Zimran, Joksan, Medan, Midian, Isbak und Suach; diese hat sie geboren. Joksans Söhne sind Seba und Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Midians Söhne sind Epha, Epher und Chanok, Abida und Eldaa. Alle diese sind Söhne der Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Und Abraham zeugte den Isaak. Isaaks Söhne sind Esau und Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Esaus Söhne sind Eliphaz, Rëuel, Jeus, Jalam und Korach.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Des Eliphaz Söhne sind Teman, Omar, Sephi, Gatam, Kenaz, Timna und Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Rëuels Söhne sind Nachat, Zerach, Samma und Mizza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Und Seïrs Söhne sind Lotan, Sobal, Sibon, Ana, Dison, Eser und Disan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Lotans Söhne sind Chori und Homam. Timna ist Lotans Schwester.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Sobals Söhne sind Aljan, Manachat, Ebal, Sephi und Onam. Sibons Söhne sind Ajja und Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Anas Söhne sind: Dison. Und Disons Söhne sind Chamram, Esban, Itran und Keran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Esers Söhne sind Bilhan, Zaavan und Jakan. Disans Söhne sind Us und Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Dies sind die Könige, die im Lande Edom herrschten, bevor ein König der Israeliten war:
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Bela, Beors Sohn, und seine Stadt hieß Dinhaba. Als Bela starb, ward des Serach Sohn, Jobab, aus Bosra an seiner Statt König.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Als Jobab starb, ward Chusam aus dem Lande der Temaniter an seiner Statt König.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Als Chusam starb, ward an seiner Statt König Bedads Sohn, Hadad, der Midian auf Moabs Gefilde schlug. Seine Stadt hieß Avit.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Als Hadad starb, ward Samla aus Masreha an seiner Statt König.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Als Samla starb, ward Saul aus Rechobot am Strom an seiner Statt König.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Als Saul starb, ward Akbors Sohn, Baalchanan, an seiner Statt König.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Als Baalchanan starb, ward Hadad an seiner Statt König. Seine Stadt hieß Pai, und sein Weib, Matreds Tochter und Mezahabs Enkelin, hieß Mehetabel.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Als Hadad starb, gab es nur noch Häuptlinge in Edom: die Häuptlinge Timna, Alja, Jetet,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 Oholibama, Ela, Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenaz, Teman, Mibsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdiel und Iram. Dies sind Edoms Häuptlinge.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Chronik 1 >