< 1 Chronik 8 >

1 Und Benjamin zeugte Bela, seinen Erstgeborenen, Aschbel, den zweiten, und Achrach, den dritten,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nocha, den vierten, und Rapha, den fünften.
Noha, na Rafa.
3 Und Bela hatte Söhne: Addar und Gera und Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 und Abischua und Naaman und Achoach,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 und Gera und Schephuphan und Huram. -
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Und dies sind die Söhne Echuds: [diese waren die Häupter der Väter der Bewohner von Geba; und man führte sie weg nach Manachath,
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 nämlich Naaman und Achija und Gera; dieser führte sie weg] er zeugte Ussa und Achichud. -
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Und Schacharaim zeugte Söhne im Gefilde Moab, nachdem er Huschim und Baara, seine Weiber, entlassen hatte;
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 und er zeugte von Hodesch, seinem Weibe: Jobab und Zibja und Mescha und Malkam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 und Jeuz und Schobja und Mirma. Das waren seine Söhne, Häupter der Väter.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Und von Huschim zeugte er Abitub und Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Und die Söhne Elpaals: Heber [O. Eber] und Mischeam und Schemer; dieser baute Ono, und Lod und seine Tochterstädte.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Und Beria und Schema [diese waren die Häupter der Väter der Bewohner von Ajalon; sie verjagten die Bewohner von Gath]
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 und Achjo, Schaschak und Jeremoth,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 und Sebadja und Arad und Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 und Michael und Jischpa und Jocha waren die Söhne Berias.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Und Sebadja und Meschullam und Hiski und Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 und Jischmerai und Jislia und Jobab waren die Söhne Elpaals. -
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Und Jakim und Sichri und Sabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 und Elienai und Zillethai und Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 und Adaja und Beraja und Schimrath waren die Söhne Simeis. -
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Und Jischpan und Heber [O. Eber] und Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 und Abdon und Sichri und Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 und Hananja und Elam und Anthothija,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 und Jiphdeja und Pnuel waren die Söhne Schaschaks. -
Ifdeia, na Penueli.
26 Und Schamscherai und Schecharja und Athalja,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 und Jaareschja und Elia und Sichri waren die Söhne Jerochams.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Diese waren Häupter der Väter nach ihren Geschlechtern, Häupter; diese wohnten zu Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 Und in Gibeon wohnte der Vater [Vergl. Kap. 9,35] Gibeons, und der Name seines Weibes war Maaka.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Und sein erstgeborener Sohn war Abdon, und Zur und Kis und Baal und Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 und Gedor und Achjo und Seker;
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 und Mikloth zeugte Schimea. Und auch diese wohnten ihren Brüdern gegenüber in Jerusalem, bei ihren Brüdern. -
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Und Ner zeugte Kis; und Kis zeugte Saul; und Saul zeugte Jonathan und Malkischua und Abinadab und Esch-Baal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Und der Sohn Jonathans war Merib-Baal; und Merib-Baal zeugte Micha.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Und die Söhne Michas waren Pithon und Melek und Tharea und Achas.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Und Achas zeugte Jehoadda; und Jehoadda zeugte Alemeth und Asmaweth und Simri; und Simri zeugte Moza,
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 und Moza zeugte Binea: dessen Sohn Rapha, dessen Sohn Elasa, dessen Sohn Azel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Und Azel hatte sechs Söhne; und dies sind ihre Namen: Asrikam, Bokru und Ismael und Schearja und Obadja und Hanan. Alle diese waren Söhne Azels.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Und die Söhne Escheks, seines Bruders: Ulam, sein Erstgeborener, Jeghusch, der zweite, und Eliphelet, der dritte.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Und die Söhne Ulams waren tapfere Kriegsmänner, die den Bogen spannten; und sie hatten viele Söhne und Enkel, 150. Alle diese sind von den Söhnen Benjamins.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Chronik 8 >