< Psaumes 133 >

1 Cantique de serviteur, rends-moi Mahaloth, de David. Voici, oh! Que c'est une chose bonne, et que c'est une chose agréable, que les frères s'entretiennent, qu'ils s'entretiennent, dis-je, ensemble!
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!
2 C'est comme cette huile précieuse, répandue sur la tête, laquelle découle sur la barbe d'Aaron, et qui découle sur le bord de ses vêtements;
Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani, yakitiririka kwenye ndevu, yakitiririka kwenye ndevu za Aroni, mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.
3 Et comme la rosée de Hermon, et celle qui descend sur les montagnes de Sion: car c'est là que l'Eternel a ordonné la bénédiction et la vie, à toujours.
Ni kama vile umande wa Hermoni unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni. Kwa maana huko ndiko Bwana alikoamuru baraka yake, naam, hata uzima milele.

< Psaumes 133 >