< Psaumes 128 >

1 Cantique de Mahaloth. Bienheureux est quiconque craint l'Eternel, et marche dans ses voies.
Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
2 Car tu mangeras du travail de tes mains; tu seras bienheureux, et tu prospéreras.
Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
3 Ta femme sera dans ta maison, comme une vigne abondante en fruit; [et] tes enfants seront autour de ta table, comme des plantes d'oliviers.
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
4 Voici, certainement ainsi sera béni le personnage qui craint l'Eternel.
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
5 L'Eternel te bénira de Sion, et tu verras le bien de Jérusalem tous les jours de ta vie.
Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
6 Et tu verras des enfants à tes enfants. La paix sera sur Israël.
nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.

< Psaumes 128 >