< Psaumes 114 >

1 Quand Israël sortit d'Egypte, [et] la maison de Jacob d'avec le peuple barbare,
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2 Juda devint une chose sacrée à Dieu, [et] Israël son empire.
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
3 La mer le vit, et s'enfuit, le Jourdain s'en retourna en arrière.
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
4 Les montagnes sautèrent comme des moutons, [et] les coteaux comme des agneaux.
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
5 Ô mer! qu'avais-tu pour t'enfuir? [et toi] Jourdain, pour retourner en arrière?
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6 [Et] vous montagnes, que vous ayez sauté comme des moutons; et vous coteaux, comme des agneaux?
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
7 Ô terre! tremble pour la présence du Seigneur, pour la présence du Dieu de Jacob;
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
8 Qui a changé le rocher en un étang d'eaux, [et] la pierre très dure en une source d'eaux.
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.

< Psaumes 114 >