< Isaïe 10 >

1 Malheur à ceux qui font des ordonnances d'iniquité, et qui dictent l'oppression qu'on leur a dictée.
Ole wao watimizao sheria zisizo za haki na waandikao sheria zisizo na haki.
2 Pour enlever aux chétifs de leur droit, et pour ravir le droit des affligés de mon peuple, afin d'avoir les veuves pour leur butin, et de piller les orphelins.
Wanawanyima wahitaji haki yao, wanawaibia watu wangu walio masikini haki zao, wajane mateka wao, na kuwafanya waliofiwa na baba zao mawindo yao!
3 Et que ferez-vous au jour de la visitation, et de la ruine éclatante qui viendra de loin? vers qui recourrez-vous pour avoir du secours, et où laisserez-vous votre gloire?
Hutafanya nini siku ya hukumu pale siku ya uaribifu itakapokuja kutoka mbali, utakimbilia msaada kwa nani? na utauacha utajiri wako wapi?
4 Sans qu'aucun soit courbé sous les prisonniers, ils tomberont même sous ceux qui auront été tués. Malgré tout cela il ne fera point cesser sa colère, mais sa main sera encore étendue.
Hakuna kitakachobaki, utaota miongoni mwa wafungwa au kuanguka miongoni mwa wauwaji. Katika mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake ameunjoosha hata sasa.
5 Malheur à Assur, la verge de ma colère; quoique le bâton qui est en leur main [soit] mon indignation.
Ole kwa watu wa Asiria klabu ya asira yangu, fimbo ya asira yangu!
6 Je l'enverrai contre la nation hypocrite, et je le dépêcherai contre le peuple de ma fureur, afin qu'il fasse un grand butin, et un grand pillage, et qu'il le foule comme la boue des rues.
Nimemtuma juu ya taifa lenye kiburi na juu ya watu waliobeba uwingi wa hasira. Ninaamuru chukua nyara, chukua mawindo, na kuwakanyaga wao kama matope mitaani.
7 Mais il ne l'estimera pas ainsi, et son cœur ne le pensera pas ainsi; mais [il aura] en son cœur de détruire et d'exterminer beaucoup de nations.
Lakini hichi sicho alichomaanisha, wala sivyo afikiriavyo. Maana katika moyo wake ni kuharibu na kuondoa mataifa.
8 Car il dira; mes Princes ne sont-ils pas autant de Rois?
Maana amesema, '' wakuu wote sio wafalme?
9 Calno, n'est-elle pas comme Carchémis? Hamath, n'est-elle pas comme Arpad? et Samarie, n'est-elle pas comme Damas?
Je? kalno si kama Karkemish? Je Hamathi si kama Arpadi? Je Samaria si kama Demeski?
10 Ainsi que ma main a soumis les Royaumes [qui avaient] des idoles, et desquels les images taillées [valaient plus] que [celles] de Jérusalem et de Samarie;
Kama mikono yangu imeshinda falme za ibada ya sanamu, ikiwa sanamu zao za kuchonga ni bora kuliko sanamu za Yerusalemu
11 Ne ferai-je pas aussi à Jérusalem et à ses dieux, comme j'ai fait à Samarie et à ses idoles?
na Kama nilivyofanya kule Samaria na sanamu zake zisizo na maana, je sitaweza kufanya hivyo Yerusalemu na sanamu zake?''
12 Mais il arrivera que quand le Seigneur aura achevé toute son œuvre dans la montagne de Sion et à Jérusalem, j'examinerai le fruit de la grandeur du cœur du Roi d'Assyrie, et la gloire de la fierté de ses yeux.
Pindi ambapo Bwana alipoimaliza kazi kwenye mlima Sayuni na juu ya Yerusalemu, nitayaadhibu maneno ya moyo wenye kiburi ya mfalme wa Asiria na majivuno yake.
13 Parce qu'il aura dit; je l'ai fait par la force de ma main, et par ma sagesse, car je suis intelligent; j'ai ôté les bornes des peuples, et j'ai pillé ce qu'ils avaient de plus précieux, et comme puissant j'ai fait descendre ceux qui étaient assis.
Kwa maana amesema, ''Kwa nguvu zangu na kwa hekima yangu niliyoifanya. na Nimeelewa, na nimeondoa mipaka ya watu. nimewaibia akiba yao, ni kama nilioileta chini kwa wenyeji wake.
14 Et ma main a trouvé comme un nid les richesses des peuples; et ainsi qu'on rassemble les œufs délaissés, ainsi ai-je rassemblé toute la terre, et il n'y a eu personne qui ait remué l'aile, ou qui ait ouvert le bec, ou qui ait grommelé.
Na mkono wangu umezitoa mali za mataifa kama vile mtu ayakusanyavyo mayai, kama nilivyokusanya dunia yote. Hakuna atakayeperusha mabawa yake au kufungua midomo yake au kulia.''
15 La cognée se glorifiera-t-elle contre celui qui en coupe? ou la scie se magnifiera-t-elle contre celui qui la remue? comme si la verge se remuait contre ceux qui la lèvent en haut, et que le bâton s'élevât, [comme] s'il n'était pas du bois.
Je shoka lijisifu lenyewe juu ya mtu anayelitumia? Je litajisifia lenyewe zaidi ya yule anaelitumia kukatia? Au fimbo imuinuae yeye ambaye si mti.
16 C'est pourquoi le Seigneur, l'Eternel des armées enverra la maigreur sur ses hommes gras, et par le dessous de sa gloire il allumera un embrasement, tel que l'embrasement d'un feu.
Hivyo basi Yahwe wa majeshi atatuma wadhaifu miongoni mwa wasomi wa kijeshi; na chini ya utukufu na kuteketea kama kuteketea kwa moto.
17 Car la lumière d'Israël sera un feu, et son Saint sera une flamme, qui embrasera et consumera ses épines et ses ronces tout en un jour.
Mwanga wa Isreli utakuwa moto, na Mtakatifu wake atakuwa ni moto unaoteketeza na kula mbigiri siku moja.
18 Et il consumera la gloire de sa forêt, et de son Carmel, depuis l'âme jusqu'à la chair; et il en sera comme quand celui qui porte l'étendart est défait.
Yahwe atauteketeza utukufu wa msitu wake na shamba lake linalostawi, vyote nafsi na mwili; itakuwa kama vile mgonjwa apotezae maisha yake.
19 Et le reste des arbres de sa forêt seront aisés à compter, tellement qu'un enfant les mettrait bien en écrit.
Mabaka ya miti ya misitu itakuwa michache sana, ambayo mtoto anaweza kuyahesabu.
20 Et il arrivera en ce jour-là que le résidu d'Israël, et ceux qui seront réchappés de la maison de Jacob, ne s'appuieront plus sur celui qui les frappait, mais ils s'appuieront en vérité sur l'Eternel, le Saint d'Israël.
Siku hiyo, mabaki ya Israeli, familia ya Yakobo ambayo imekimbia, hawatategemea kushindwa, lakini watamtegemea Yahwe, Mtakatifu wa Israeli.
21 Le résidu sera converti, le résidu, [dis-je], de Jacob [sera converti] au [Dieu] Fort et puissant.
Mabaki ya Yakobo yatarudi kwa Mungu mwenye nguvu.
22 Car, ô Israël! quand ton peuple serait comme le sablon de la mer, un résidu en sera converti, [mais] la consomption déterminée fera déborder la justice.
Kwa kupitia watu wako, Israeli ni kama mchanga kama pwani ya bahari, Mabaki yao tu ndio yatakayorudi. Uaribifu wa amri, na mahitaji ya wingi wa haki.
23 Car le Seigneur l'Eternel des armées s'en va faire une consomption, même déterminée, au milieu de toute la terre.
Maana Bwana wa majeshi, anakaribia kuleta uharibifu utachukua nafasi kubwa kitika nchi.
24 C'est pourquoi ainsi a dit le Seigneur l'Eternel des armées; mon peuple qui habites dans Sion, ne crains point le Roi d'Assyrie; il te frappera de la verge, et il lèvera son bâton sur toi à la manière d'Egypte.
Hivyo basi Bwana Yahwe wa majeshi anasema, ''watu wangu mhishio Sayuni, msiwaogope watu wa Asiria. Atawangamiza nyie kwa fimbo na atawanyua wafanyakazi juu yenu, kama ilivyotokea kwa Wamisri.
25 Mais encore un peu de temps, un peu de temps, et [mon] indignation sera consommée, et ma colère sera à leur destruction.
Msimuogope, kwa mda mfupi hasira yangu itakwisha juu yenu, na hasira yangu italeta uharibifu.''
26 Et l'Eternel des armées lèvera sur lui un fouet, [qui sera] comme la plaie de Madian au rocher d'Horeb; et [comme] son bâton sur la mer, lequel il élèvera aussi comme contre les Egyptiens.
Hivyo Yahwe wa majeshi atapiga mjeledi juu yenu kama vile alivyoishinda Midiani karibu na mwamba Orebu. Na atanyanyua fimbo yake juu ya bahari kama alivyofanya kule Misri.
27 Et il arrivera en ce jour-là, que son fardeau sera ôté de dessus ton épaule, et son joug de dessus ton cou; et le joug sera rompu à cause de l'onction.
Siku hiyo mzigo wake utanyanyuliwa kwenye mabeba yako na nira katika shingo yako, nayo nira itaharibiwa kwa sababu ya unene.
28 Il est venu à Hajath, il est passé à Migron, et il a mis son bagage à Michmas.
Adui amekuja Aiathi na amepitia Migroni; katika Michmashi ameyahifadhi mahitaji yake.
29 Ils ont passé le gué; ils ont fait leur gîte à Guébah, Rama s'est effrayée, Guibha-Saül s'en est fuie.
Wamevuka juu ya njia na wamepunzika huko Geba. Rama inatetemeka na Gibea ya Sauli imekimbia.
30 Fille de Gallim, élève ta voix, pauvre Hanathoth, fais-toi ouïr vers Laïs.
Lia kwa sauti, ewe binti wa Galimu! sikiliza, Laishashi! Maskini Anathothi!
31 Madména s'est écartée, les habitants de Guébim s'en sont fuis en foule.
Madmena ni mkimbizi na mkazi wa Gebuni wamejikusanya wanakimbia kutafuta msada.
32 Encore un jour, il s'arrêtera à Nob; il lèvera sa main [contre] la montagne de la fille de Sion, [contre] le coteau de Jérusalem.
Siku hizi za leo atasimulia huko Nobi na atatingisha mlima wa binti Sayuni, mlima wa Yerusalemu.
33 Voici, le Seigneur, l'Eternel des armées ébranchera les rameaux avec force, et ceux qui sont les plus haut élevés, seront coupés; et les haut montés seront abaissés.
Tazama, Bwana Yahwe wa majeshi atapunguza matawi kwa nguvu za kutisha; miti mirefu itakatwa chini, wanaojivuna wataangushwa.
34 Et il taillera avec le fer les lieux les plus épais de la forêt, et le Liban tombera avec impétuosité.
Atang'oa vichaka vya msitu kwa shoka, Lebanoni na utukufu wake utaanguka.

< Isaïe 10 >