< Deutéronome 2 >

1 Alors nous retournâmes en arrière, et nous allâmes, au désert par le chemin de la mer Rouge, comme l'Eternel m'avait dit, et nous tournoyâmes longtemps près de la montagne de Séhir.
Kisha tuligeuka na kuanza safari kuelekea jangwani kwa njia ya Bahari ya Mianzi, kama Yahwe alivyosema nami, tulienda kuzunguka mlima wa Seir kwa siku nyingi.
2 Et l'Eternel parla à moi, en disant:
Yahwe alizungumza nami, kusema,
3 Vous avez assez tournoyé près de cette montagne, tournez-vous vers le Septentrion.
Mmeuzungunga mlima huu kwa muda mrefu; geukeni kaskazini.
4 Et commande au peuple, en disant: Vous allez passer la frontière de vos frères, les enfants d'Esaü qui demeurent en Séhir, et ils auront peur de vous, mais soyez bien sur vos gardes.
Waamuru watu, kusema, “Mtapita kupitia mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir; watawaogopa ninyi. Kwa hiyo muwe makini
5 N'ayez point de démêlé avec eux; car je ne vous donnerai rien de leur pays, non pas même pour y pouvoir asseoir la plante du pied, parce que j'ai donné à Esaü la montagne de Séhir en héritage.
msipigane nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote yao, hapana, hakuna hata vya kutosheleza unyao wa mguu kukanyanga, kwa kuwa nimekwisha mpa Esau Mlima wa Seir kama miliki.
6 Vous achèterez d'eux les vivres à prix d'argent, et vous en mangerez; vous achèterez aussi d'eux l'eau à prix d'argent, et vous en boirez.
Mtanunua chakula kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kula, pia mtanunua maji kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kunywa. Kwa kuwa
7 Car l'Eternel ton Dieu t'a béni dans tout le travail de tes mains; il a connu le chemin que tu as tenu dans ce grand désert, [et] l'Eternel ton Dieu a été avec toi pendant ces quarante ans, [et] rien ne t'a manqué.
Yahwe Mungu wenu amewabariki katika kazi za mikono yenu, amejua kutembea kwenu kupitia jangwa hili kuu. Kwa hii miaka arobaini Yahwe Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamjapungukiwa chochote.
8 Or nous nous détournâmes de nos frères les enfants d'Esaü, qui demeuraient en Séhir, depuis le chemin de la campagne, depuis Elath, et depuis Hetsjonguéber; et [de là] nous nous détournâmes et nous passâmes par le chemin du désert de Moab.
Basi tulipita karibu na ndugu zetu, wa wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir, mbali na barabara la Arabah, kutoka Elathi, na kutoka Ezioni Geber. Na tuligeuka na kupita karibu na jangwa la Moabu.
9 Et l'Eternel me dit: Ne traitez point les Moabites en ennemis, et n'entrez point en guerre avec eux; car je ne te donnerai rien de leur pays en héritage; parce que j'ai donné Har en héritage aux enfants de Lot.
Yahweh aliniambia mimi,'Usiisumbue Moabu, na usipigane nao katika vita. Kwa kuwa sitakupa nchi yake kwa miliki yako, kwa sababu nimewapa Ar wazao wa Lot, kuwa miliki yao'.
10 Les Emins y habitaient auparavant; c'était un grand peuple, et en grand nombre, et de haute stature comme les Hanakins.
(Hapo awali waliishi Waemi, watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Waanaki;
11 Et en effet ils ont été réputés pour Réphaïms comme les Hanakins, et les Moabites les appelaient Emins.
hawa pia wanafikiriwa kuwa Rephaimu, kama Waanaki, lakini Wamoabi huwaita Waemi.
12 Les Horiens demeuraient aussi auparavant en Séhir, mais les enfants d'Esaü les en dépossédèrent, et les détruisirent de devant eux, et ils y habitèrent en leur place, ainsi qu'a fait Israël dans le pays de son héritage que l'Eternel lui a donné.
Wahori pia waliishi hapo awali Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafuata. Waliwaharibu kutoka mbele yao na kuishi katika eneo lao, kama Israeli ilivyofanya kwa nchi ya umiliki wake ambayo Yahwe aliwapa.)
13 [Mais] maintenant levez-vous, et passez le torrent de Zéred; et nous passâmes le torrent de Zéred.
“Sasa inuka na uende kwenye kijito cha Zeredi”. Kwa hiyo tulienda kwenye kijito cha Zeredi.
14 Or le temps que nous avons marché depuis Kadès-barné, jusqu'à ce que nous avons eu passé le torrent de Zéred, a été de trente et huit ans, jusqu'à ce que toute cette génération-là, [savoir] les gens de guerre, a été consumée du milieu du camp, comme l'Eternel le leur avait juré.
Sasa tangu siku ambapo tulikuja kutoka Kadesh Barnea mpaka tukavuka kijito cha Zeredi, ilikuwa miaka thelathini na nane. Ilikuwa kwa wakati huo kizazi chote cha watu waliofaa kupigana walikuwa wamekwisha ondoka kwa watu, kama Yahwe alivyokuwa ameapa kwao.
15 Aussi la main de l'Eternel a été contr'eux pour les détruire du milieu du camp, jusqu'à ce qu'il les ait consumés.
Zaidi ya yote, mkono wa Yahwe ulikuwa kinyume na kizazi hicho ili kuweza kuwaangamiza kutoka kwa watu mpaka walipoondoka.
16 Or il est arrivé qu'après que tous les hommes de guerre d'entre le peuple ont été consumés par la mort;
Basi ilitokea, wakati watu wote waliofaa kwa kupigana walikuwa wamekufa, na kutoweka miongoni mwa watu,
17 L'Eternel m'a parlé et m'a dit:
kwamba Yahwe alizungumza nami, kusema,
18 Tu vas passer aujourd'hui la frontière de Moab, [savoir] Har.
Leo mtavuka Ar, mpaka wa Moabu.
19 Tu approcheras vis à vis des enfants de Hammon; tu ne les traiteras point en ennemis, et tu n'auras point de démêlé avec eux; car je ne te donnerai rien du pays des enfants de Hammon en héritage, parce que je l'ai donné en héritage aux enfants de Lot.
Wakati mtakapofika karibu na mkabala wa watu wa Ammoni, msiwasumbue au kupigana nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote ya watu wa Ammoni kama miliki, kwa sababu nimekwisha wapa wazao wa Lutu kama miliki”.
20 Ce [pays] aussi a été réputé pays des Réphaïms; [car] les Réphaïms y habitaient auparavant, et les Hammonites les appelaient Zamzummins;
(Hiyo tena ilifikiriwa kuwa nchi ya Rephaimu. Warephaimu waliishi hapo awali-lakini Wammonites wanawaita Zamzummim,
21 Qui étaient un peuple grand et nombreux, et de haute stature comme les Hanakins, mais l'Eternel les fit détruire de devant eux, et ils les dépossédèrent, et [y] habitèrent en leur place.
watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Anakim. Lakini Yahwe aliwaharibu mbele ya Wammonites na waliwafuata na kuishi katika maeneo yao.
22 Comme il avait fait aux enfants d'Esaü qui demeuraient en Séhir, quand il fit détruire les Horiens de devant eux; et ainsi ils les dépossédèrent, et y habitèrent en leur place jusqu'à ce jour.
Yahwe huyu pia alifanya kwa watu wa Esau ambao wanaishi Seiri, wakati alipowangamiza Wahori kutoka mbele yao, na wazao wa Esau waliwafuata na waliishi katika maeneno yao mpaka leo.
23 Or quant aux Hauviens, qui demeuraient en Hatsérim, jusqu'à Gaza, ils furent détruits par les Caphtorins, qui étant sortis de Caphtor, vinrent demeurer en leur place.
Na Waavi, walioishi katika vijiji vya mbali ya Gaza, Wakaftori, ambao wanatokana na Kaftori, waliwangamiza na kuishi katika maeneo yao.)
24 [L'Eternel dit aussi]: Levez-vous, et partez, et passez le torrent d'Arnon; Regarde, j'ai livré entre tes mains Sihon, Roi de Hesbon Amorrhéen, avec son pays, commence d'en prendre possession, et fais-lui la guerre.
Sasa inuka, nenda njia yako na uvuke bonde la Arnoni, tazama, nimekupa mkononi mwako Sihoni ya Amorite, mfalme wa Heshboni, na nchi yake. Anza kuimiliki na pigana naye katika vita.
25 Je commencerai aujourd'hui à jeter la frayeur et la peur de toi sur les peuples qui sont sous tous les cieux, car ayant ouï parler de toi ils trembleront, et seront en angoisse à cause de ta présence.
Leo nitaanza kuweka woga na hofu yenu kwa watu ambao wako chini ya anga lote, watasikia habari kuhusu ninyi na watatemeka na kuwa na shida kwa sababu yenu'.
26 Alors j'envoyai du désert de Kédémoth des messagers à Sihon, Roi de Hesbon, avec des paroles de paix, disant:
Nilituma wajumbe toka jangwa la Kedemothi kuelekea Sihoni, mfalme wa Heshbon, pamoja na maneno ya amani, kusema,
27 Que je passe par ton pays et j'irai par le grand chemin, sans me détourner ni à droite ni à gauche.
Hebu nipite katika nchi yako; nitapita kwenye barabara kuu, sitageuka mkono wa kulia wala kushoto.
28 Tu me feras distribuer des vivres pour de l'argent, afin que je mange; tu me donneras de l'eau pour de l'argent, afin que je boive; seulement que j'y passe de mes pieds.
Mtaniuzia mimi chakula kwa pesa, ili kwamba niweze kula, nipe maji kwa pesa, ili kwamba niweze kunywa, peke niruhusu kupitia kwa miguu yangu,
29 Ainsi que m'ont fait les enfants d'Esaü qui demeurent en Séhir, les Moabites qui demeurent à Har, jusqu'à ce que je passe le Jourdain pour entrer au pays que l'Eternel notre Dieu, nous donne.
kama wazao wa Esau wanaoishi Seiri, na Moabu wanaoishi Ari, walifanya kwangu, mpaka nivuke Yordani ndani ya nchi ambayo Yahwe Mungu wetu anatupa sisi'.
30 Mais Sihon, Roi de Hesbon, ne voulut point nous laisser passer par son pays, car l'Eternel ton Dieu avait endurci son esprit, et roidi son cœur, afin de le livrer entre tes mains, comme [il paraît] aujourd'hui.
Lakini Sihon, mfalme wa Heshbon, asingeturuhusu kupitia kwake; kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ameifanya ngumu akili yake na kufanya moyo wake kuwa ukaidi, ili kwamba aweze kumshinda kwa nguvu zake, ambayo amekwisha kufanya leo.
31 Et l'Eternel me dit: Regarde, j'ai commencé de te livrer Sihon avec son pays; commence à posséder son pays, pour le tenir en héritage.
Yahwe alisema kwangu, “tazama, Nimeanza kumuokoa Sihoni na nchi yake mbele yako; kuanza kuimiliki, ili kusudi muweze kumiliki nchi yake.
32 Sihon donc sortit contre nous, lui et tout son peuple pour combattre en Jahats.
Kisha Sihon alikuja dhidi yetu, yeye na watu wote wake, kupigana huko Jahazi.
33 Mais l'Eternel notre Dieu nous le livra, et nous le battîmes, lui, ses enfants, et tout son peuple.
Yahwe Mungu wetu alimtoa kwetu na tulimshinda, tulimpiga mpaka kufa, watoto wake, na watu wake wote.
34 Et en ce temps-là nous prîmes toutes ses villes; et nous détruisîmes à la façon de l'interdit toutes les villes où étaient les hommes, les femmes, et les petits enfants, et nous n'y laissâmes personne de reste.
Tulichukua miji yake yote kwa wakati huo na kuharibu kabisa kila mji- wanaume na wanawake na watoto wadogo; hatukuacha aliyenusurika.
35 Seulement nous pillâmes les bêtes pour nous, et le butin des villes que nous avions prises.
Ng'ombe peke tulichukua kama mateka kwa ajili yetu, sambamba na mateka ya miji tuliochukua.
36 Depuis Haroher, qui est sur le bord du torrent d'Arnon, et la ville qui est dans le torrent, jusqu'en Galaad, il n'y eut pas une ville qui pût se garantir de nous; l'Eternel notre Dieu nous les livra toutes.
Kutoka Aroer, ambayo iko kwenye ukingo wa bonde la Arnon, na kutoka kwenye mji ambao uko bondeni, yote kwa njia ya kuelekea Galeadi, hapakuwa na mji uliokuwa mrefu kwetu. Yahwe Mungu wetu alitupa ushindi dhidi ya maadui zetu mbele yetu.
37 Seulement tu ne t'es point approché du pays des enfants de Hammon, ni d'aucun endroit qui touche le torrent de Jabbok, ni des villes de la montagne, ni d'aucun [lieu] que l'Eternel notre Dieu nous eût défendu [de conquérir].
Ilikuwa nchi ya wazao wa Ammoni peke yake ambayo hamkuingia, sambamba na sehemu zote za mto Jabboki, na miji ya nchi ya milima- popote pale Yahwe Mungu wetu ametukataza sisi kwenda.

< Deutéronome 2 >