< 2 Chroniques 31 >

1 Or sitôt qu'on eut achevé toutes ces choses, tous ceux d'Israël qui s'étaient trouvés là, allèrent par les villes de Juda, et brisèrent les statues, et coupèrent les bocages, et démolirent les hauts lieux, et les autels de tout Juda et Benjamin, et ils en firent de même en Ephraïm et en Manassé, jusqu'à détruire tout; puis tous les enfants d'Israël retournèrent chacun en sa possession dans leurs villes.
Sasa wakati haya yote yalipokwisha, watu wote wa Israeli waliokuwepo pale wakaenda huko kwenye mji wa Yuda na wakazivunja vipande vipande nguzo za mawe na wakazikata nchi za maashera, na wakazibomoa sehemu za juu na madhabahu katika Yuda yote na Benyamini, na katika Efraimu na Manase, hadi walipoziharibu zote. Kisha watu wote wa Israeli wakarudi, kila mtu kwenye mali zake na kwenye mji wake.
2 Ezéchias aussi rétablit les départements des Sacrificateurs et des Lévites, selon les départements qui en avaient été faits, chacun selon son ministère, tant les Sacrificateurs, que les Lévites, pour les holocaustes, et pour les sacrifices de prospérités, afin de faire le service, de célébrer, et de chanter les louanges [de Dieu] aux portes du camp de l'Eternel.
Hezekia akayapanga makundi ya makuhani na Walawi wakajipanaga kwa makundi yao, kila mtu akapangwa katika kazi yake, wote makuhani na Walawi. Aliwapanga wafanye sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kutoa shukrani, na kusifu katika malango ya hekalu la Yahwe.
3 Il fit aussi une ordonnance par laquelle le Roi serait chargé d'une contribution prise de ses finances pour les holocaustes, [savoir] pour les holocaustes du matin et du soir, et pour les holocaustes des Sabbats, et des nouvelles lunes, et des fêtes solennelles, selon qu'il est écrit dans la Loi de l'Eternel.
Pia akawapanga katika sehemu ya mfalme kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka katika mali zake, hiyo ni kwa ajili ya, sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya siku za Sabato, mwezi mpya, na sikukuu zisizobadilika, kama ilivyokuwa imeandikwa katika sheria ya Yahwe.
4 Et il dit au peuple, [savoir] aux habitants de Jérusalem, qu'ils donnassent la portion des Sacrificateurs et des Lévites, afin qu'ils prissent courage [pour observer] la Loi de l'Eternel.
Vilevile, akawaamuru watu walioishi Yerusalemu kutoa fungu kwa ajili ya makuhani na Walawi, ili kwamba wawe makini katika kuitii sheria ya Yahwe.
5 Et sitôt que la chose fut publiée, les enfants d'Israël apportèrent en abondance les prémices du froment, du vin, de l'huile, du miel, et de tout le provenu des champs, ils apportèrent, [dis-je], les dîmes de toutes ces choses en abondance.
Mapema mara baada ya amri kutolewa, watu wa Israeli kwa ukarimu wakatoa malimbuko ya nafaka, divai mpya, mafuta. asali, na kila kitu kutoka kwenye mavuno ya shamba. Wakaleta ndani fungu la kumi la kila kitu; ambavyo vilikuwa kiasi kikubwa sana.
6 Et les enfants d'Israël et de Juda, qui habitaient dans les villes de Juda, apportèrent aussi les dîmes du gros et du menu bétail, et les dîmes des choses saintes, qui étaient consacrées à l'Eternel leur Dieu; et les mirent par monceaux.
Watu wa Israeli na Yuda ambao waliishi katika mji wa Yuda pia wakaleta zaka za ng'ombe na kondoo, na zaka za vitu vitakatifu amabavyo vilikuwa vimewekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wao, na wakavifunga katika marundo.
7 Ils commencèrent au troisième mois de faire les premiers monceaux, et au septième mois ils les achevèrent.
Ilikuwa mwezi wa tatu wakati walipoanza kufunga michango yao katika marundo, na wakamaliza mwezi wa saba.
8 Alors Ezéchias et les principaux vinrent, virent les monceaux, et bénirent l'Eternel et son peuple d'Israël.
Hezekia na viongozi walipokuja na kuyaona marundo, wakambariki Yahwe na watu wake Israeli.
9 Puis Ezéchias s'informa des Sacrificateurs et des Lévites touchant ces monceaux.
Kisha Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu marundo.
10 Et Hazaria le principal Sacrificateur, qui était de la famille de Tsadoc, lui répondit, et [lui] dit: Depuis qu'on a commencé d'apporter des offrandes dans la maison de l'Eternel, nous avons mangé, et nous avons été rassasiés, et il en est resté en grande abondance; car l'Eternel a béni son peuple, et cette grande quantité est ce qu'il y a eu de reste.
Azaria, kuhani mkuu, wa nyumba ya Zadoki, akamjibu na akasema, “Tangu watu walipoanza kuleta matoleo katika nyumba ya Yahwe, tumekula na tulikuwa navyo vya kutosha, tulibakiza vingi, kwa maana Yahwe amewabariki watu wake. kilichokuwa kimebaki ni kiasi kikubwa hiki hapa.”
11 Alors Ezéchias commanda qu'on préparât des chambres dans la maison de l'Eternel; et ils les préparèrent.
Kisha Hezekia akaagiza vyumba vya kuhifadhia viandaliwe katika nyumba ya Yahwe, na wakaviandaa.
12 Puis ils portèrent dedans fidèlement les offrandes, et les dîmes, et les choses consacrées, et Conania Lévite en eut l'intendance, et Simhi son frère était commis sous lui.
Kisha kwa uaminifu wakayaleta ndani matoleo, zaka, na vitu ambavyo ni vya Yahwe. Konania, Mlawi, alikuwa meneja mkuu wa hivyo vitu, na Shimei, ndu yake, alikuwa wa pili kwake.
13 Et Jéhiël, Hazazia, Nahath, Hasaël, Jérimoth, Jozabad, Eliël, Jismacia, Mahath, et Bénaia étaient commis sous la conduite de Conania, et de Simhi son frère, par le commandement du Roi Ezéchias, et de Hazaria Gouverneur de la maison de Dieu.
Yehieli, Azaria, Nahathi, Asaheli, na Yerimothi, Yazabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi, na Benania walikuwa wasimamizi chini ya mkono wa Konania na Shimei ndu yake, kwa uteuzi wa Hezekia, mfalme, na Azaria mwanagalizi mkuu wa nyumba ya Mungu.
14 Et Coré fils de Jimna Lévite, qui était portier vers l'Orient, avait la charge des choses qui étaient volontairement offertes à Dieu pour fournir l'offrande élevée de l'Eternel, et les choses très-saintes.
Kore mwana wa Imna Mlawi, bawabu katika mlango wa mashariki, alikuwa juu ya sadaka za hiari za Mungu, msimamizi wa kugawa sadaka kwa Yahwe na sadaka takatifu kuliko zote.
15 Et il avait sous sa conduite Héden, Minjamin, Jésuah, Sémahia, Amaria, et Sécania, dans les villes des Sacrificateurs, ayant cette charge d'ordinaire, pour distribuer les portions à leurs frères, tant aux plus petits qu'aux plus grands.
Chini yake walikuwepo Edeni, Miniamini, Yoshua, Shemai, Amaaria, na Shekania, katika miji ya makuhani. Wakazijaza ofisi za uaminifu, ili kutoa sadaka hizi kwa ndugu zao fungu kwa fungu, kwa wote walio muhimu na wasiomuhimu.
16 Outre cela on fit un dénombrement selon les généalogies des mâles d'entre eux, depuis ceux de trois ans, et au dessus, [savoir] de tous ceux qui entraient dans la maison de l'Eternel, pour y faire ce qu'il y fallait faire chaque jour, selon leur ministère et leurs charges, suivant leurs départements.
Pia wakatoa kwa wale wanaume wenye umri wa miaka mitatu na kuendelea, amabao walikuwa wameandikwa kataika kaitatu cha babu zao walioiingia nyumba ya Yahwe, kwa mujibu wa ratiba ya kila siku, kuifanya kazi katika ofisi zao na zamu zao. (Mandishi ya kale yanasema hivi: “badala ya wanaume wa umri wa miaka mitatu na kuendelea”, wanaume wa mika thelathini na kuendelea.”).
17 Et outre le dénombrement que l'on fit des Sacrificateurs selon leur généalogie et selon la maison de leurs pères, et des Lévites, depuis ceux de vingt ans et au dessus, selon leurs départements;
Waliwaganya makuhani kwa mujibu wa kumbu kumbu za babu zao, na hivyo hivyo kwa Walawi wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kwa mujibu wa ofisi zao na zamu zao.
18 On fit aussi un dénombrement selon leurs généalogies de toutes leurs familles, de leurs femmes, de leurs fils, et de leurs filles, pour toute l'assemblée, et en toute sincérité ils se sanctifiaient avec soin.
Waliwajumuisha watoto wao wadogo wote, wake zao, wana wao, na binti zao, katika jamii yote, kwa maana walikuwa waaminifu katika kujitunza wenye watakatifu.
19 Et quant aux enfants d'Aaron Sacrificateurs, qui étaient à la campagne et dans les faubourgs de leurs villes, dans chaque ville, il y avait des gens nommés par leur nom, pour distribuer la portion à tous les mâles des Sacrificateurs, et à tous ceux des Lévites dont on avait fait le dénombrement selon leur généalogie.
Kwa maana makuhani, uzao wa Haruni, amabao walikuwa katika mashamba ya vijiji wakimilikiwa na miji yao, au katika kila mji, palikuwa na watu walioteuliwa kwa majina kutoa mafungu kwa ajili ya wanaume miongoni mwa makuhani, na kwa wote waliokuwa wameorodheshwa katika kumbukumbu za babu zao kuwa miongoni mwa Walawi.
20 Ezéchias en fit ainsi par tout Juda, et il fit ce qui est bon, et droit, et véritable, en la présence de l'Eternel son Dieu.
Hezekia alifanya haya katika Yuda yote. Akakamilisha kilichokuwa chema, haki, na uaminifu mbele za Yahwe Mungu wake.
21 Et il travailla de tout son cœur dans tout l'ouvrage qu'il entreprit pour le service de la maison de Dieu, et dans la Loi, et dans les commandements, recherchant son Dieu; et il prospéra.
Katika kila jambo ambalo alianzisha katika ibada ya nyumba ya Mungu, sheria, na zile amri, kumtafuta Mungu, alikifanya kwa moyo wake wote, na alifanikiwa.

< 2 Chroniques 31 >