< Proverbes 18 >

1 L'homme qui veut rompre avec ses amis cherche des prétextes, et en tout temps il sera digne de blâme.
Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
2 Celui qui manque de sens n'a que faire de la sagesse; il est plutôt conduit par la folie.
Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
3 Lorsque l'impie est tombé en un abîme de fautes, il n'en tient compte; mais la honte et les ignominies lui arrivent.
Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
4 La parole dans le cœur de l'homme est une eau profonde; un fleuve en jaillit, et une fontaine de vie.
Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
5 Il n'est pas bien d'avoir égard à la parole de l'impie; se détourner de l'équité dans la jeunesse est une impiété.
Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
6 Les lèvres de l'insensé le mènent à mal, et sa bouche hardie appelle la mort.
Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
7 La bouche de l'insensé est sa ruine; ses lèvres sont un piège pour son âme.
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
8 La crainte abat les paresseux; les âmes des efféminés sont toujours affamées.
Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
9 Qui n'a point d'ardeur en ses travaux est frère de celui qui se détruit lui-même.
Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
10 Le Nom du Seigneur est d'une force toute-puissante; les justes qui courent à Lui sont glorifiés.
Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
11 Les biens du riche sont une forteresse; sa gloire projette au loin de l'ombre.
Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
12 Le cœur de l'homme s'exalte avant d'être brisé; ils s'humilie avant d'être glorifié.
Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
13 Répondre avant d'avoir entendu, c'est insensé et blâmable.
Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
14 Un serviteur prudent apaise la colère de l'homme; qui peut supporter un homme pusillanime?
Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
15 Le cœur de l'homme sensé possède la doctrine; les oreilles du sage cherchent l'intelligence.
Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
16 Les présents que fait un homme le grandissent et le font siéger parmi les puissants.
Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
17 Le juste s'accuse le premier; mais s'il est ensuite attaqué, c'est son adversaire qu'on blâme.
Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
18 L'homme silencieux apaise les contradictions; il juge entre les puissants.
Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
19 Un frère, soutenu par son frère, est comme une puissante et haute cité; il est fort comme un palais solidement bâti.
Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
20 L'homme remplit ses entrailles des fruits de sa bouche, et se rassasiera du fruit de ses lèvres.
Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
21 La mort et la vie sont au pouvoir de la langue; ceux qui la maîtrisent mangeront ses fruits.
Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
22 Celui qui a trouvé une femme bonne a trouvé des grâces; il a reçu de Dieu l'allégresse. Celui qui répudie une femme bonne répudie une bonne fortune; celui qui garde une adultère est impie et insensé.
Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.

< Proverbes 18 >