< Osée 9 >

1 Ne te réjouis pas, Israël, ne te mets pas en fête, comme les gentils, parce que tu t'es prostitué en t'éloignant de ton Dieu, tu as aimé les dons plus que des aires pleines de blé.
Usifurahi, Israeli, kwa furaha kama watu wengine. Kwa maana haukuwa mwaminifu, umemuacha Mungu wako. Unapenda kulipa mshahara kwa kahaba kwenye sakafu zote za nafaka.
2 Mais l'aire et le pressoir les ont méconnus, et le vin les a trompés.
Lakini sakafu na divai hazitawalisha; divai mpya itampungukia.
3 Ils ne sont point restés en la terre du Seigneur; Éphraïm a demeuré en Égypte, et ils mangeront des viandes impures chez les Assyriens.
Hawawezi kuendelea kuishi katika nchi ya Bwana; badala yake, Efraimu atarudi Misri, na siku moja watakula chakula kichafu katika Ashuru.
4 Ils n'ont point fait au Seigneur des libations de vin, et ils ne lui ont point été agréables. Leurs victimes sont pour eux comme des pains d'affliction; tous ceux qui en mangent seront souillés, parce que leurs pains, s'ils soutiennent la vie, n'entreront point dans la maison du Seigneur.
Hawatamtolea Bwana sadaka za divai, wala hawatamfurahisha. Dhabihu zao zitakuwa kwao kama chakula cha matanga wote wanaolila watakuwa wamejisikia. Maana chakula chao kitakuwa chao pekee; hautakuingia nyumbani mwa Bwana.
5 Que ferez-vous les jours de réunions solennelles, et les jours de fête du Seigneur?
Utafanya nini siku ya sikukuu iliyowekwa rasmi, siku ya sikukuu ya Yahweh?
6 À cause de cela, voilà qu'ils sortent des misères de l'Égypte, et Memphis les recevra, et Machmas les ensevelira. Quant à leur argent, la dévastation en héritera, et les ronces pousseront dans leurs demeures.
Kwa maana, angalia, wamekimbia uharibifu, Misri itawakusanya, na Nofu itawazika. Maana hazina zao za pesa za fedha zitakuwa nao, na miiba itajaza hema zao.
7 Ils sont venus les jours de la vengeance, ils sont venus les jours de rétribution, et Israël sera maltraité, comme un prophète en délire, comme un homme possédé par un malin esprit. Tes folies se sont multipliées à cause de la multitude de tes iniquités.
Siku za adhabu zinakuja; siku za kulipiza kisasi zinakuja. Waisraeli wote wajue mambo haya. Nabii ni mpumbavu, na mtu aliyevuviwa ni mwendawazimu, kwa sababu ya uovu wako mkubwa na uadui mkubwa.
8 La sentinelle d'Éphraïm était avec Dieu; mais un faux prophète a été comme un lacs tortueux sur toutes ses voies, et ils ont transplanté leur folie dans la maison du Seigneur.
Nabii ndiye mlinzi wa Mungu wangu juu ya Efraimu. Lakini mtego wa ndege ni juu ya njia zake zote, na uadui umo katika nyumba ya Mungu wake.
9 Ils se sont perdus comme aux jours de la colline; mais Dieu Se souviendra de leurs iniquités, et Il tirera vengeance de leurs crimes.
Wamejiharibu wenyewe kama siku za Gibea. Mungu atawakumbusha uovu wao, naye atawaadhibu dhambi zao.
10 J'ai aimé Israël comme une grappe de raisin dans le désert, et j'ai vu leurs pères comme un fruit mûr dans un figuier. pour eux, ils se sont approchés de Béelphégor, et dans leur opprobre ils se sont détournés de Moi, et ils Me sont devenus abominables autant qu'ils M'avaient été chers.
Bwana asema, “Nilipoikuta Israeli, ilikuwa kama kutafuta zabibu jangwani. Kama matunda ya kwanza ya msimu kwenye mtini, nimewaona baba zenu. Lakini wakaenda Baal Peori, nao wakajitoa kwenye sanamu ya aibu. Walikuwa chukizo kama sanamu waliyoipenda.
11 Éphraïm s'est envolé comme l'oiseau, et, à peine nées, ses gloires se sont évanouies, ou pendant l'enfantement, ou aussitôt conçues;
Na kwa ajili ya Efraimu, utukufu wao utatoka kama ndege. Hakutakuwa na kuzaa, hakuna mimba, wala achukuaye mimba.
12 car, eût-il élevé ses enfants, il n'en sera pas moins sans postérité: malheur donc à lui, Ma chair n'est plus avec eux!
Ingawa wameleta watoto, nitawachukua ili asibaki hata mmoja. Ole wao nikiwaacha!
13 Éphraïm, Je l'ai vu, a fait une proie de ses enfants; Éphraïm a exposé ses fils à la mort.
Nimeiona Efraimu, kama vile Tiro, alipandwa katika mlima, lakini Efraimu atatoa watoto wake kwa mtu atakayewaua.
14 Donne-leur, ô mon Dieu; mais que peux-Tu leur donner? Donne-leur un sein stérile et des mamelles taries.
Wape, Bwana-utawapa nini? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na matiti ambayo haitoi maziwa.
15 Toutes leurs méchancetés se font en Galata; c'est là que Je les ai pris en haine pour leurs inventions abominables. Je les chasserai de Ma maison, et Je ne les aimerai plus, car tous leurs princes sont indociles.
'Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, ndivyo nilipowachukia. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza nje ya nyumba yangu. Sitawapenda tena; maofisa wao wote ni waasi.
16 Éphraïm s'est épuisé; il a desséché ses racines; il ne portera plus de fruits, et, dût-il en naître, Je ferai mourir les fruits désirés de leurs entrailles.
Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda. Hata ikiwa wana watoto, nitawaua watoto wao wapendwa.
17 Dieu les a repoussés parce qu'ils ne Lui ont point obéi, et ils seront errants parmi les nations.
Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii. Watakuwa watu wa kutangatanga kati ya mataifa.

< Osée 9 >