< Esdras 9 >

1 Après cela, les chefs vinrent me trouver, et ils me dirent: Le peuple d'Israël, les prêtres, les lévites, ne sont plus séparés des peuples de la terre en leurs abominations; du Chananéen, de l'Hettéen, du Phérézéen, du Jébuséen, de l'Ammonite, du Moabite, du Mosérite, de l'Amorrhéen.
Kipindi mambo hayo yanatendeka, wakuu wakaja kwangu na kuniambia,”Watu wa Israel, Makuhani na walawi hawakuweza kujitenga wenyewe kutoka kwa watu wa nchi zingine na maovu yao: Wakanaani, Wahiti, Waperuzi, wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori.
2 Ils se sont mariés, eux et leurs fils, parmi ces peuples, et la semence sainte s'est détournée dans les nations de la terre, et la main des princes a été la première, en cette infraction à la loi.
Kwa kuwa wamewachukua baadhi ya binti na watoto wa kiume, wamejichanganya watu watakatifu na watu wa nchi nyingine na wakuu na viongozi wamekuwa wa kwanza katika imani hii potofu.
3 Or, quand j'ouïs ces paroles, je déchirai mes vêtements, je fus saisi de crainte; je m'arrachai les cheveux et la barbe, et je m'assis tout contristé.
Niliposikia haya, nikachana nguo zangu na kanzu na kunyoa nywele kichwani na ndevu na nikakaa chini kutafakari.
4 Et tous ceux qui suivaient la loi du Dieu d'Israël s'assemblèrent auprès de moi, à cause de cette infraction aux préceptes; et moi, toujours assis, je gardai un morne silence jusqu'au sacrifice du soir.
Na wale wote waliotetemeka kwa neno la Mungu wa Israel kuhusu imani potofu walikusanyika kwangu wakati nimakaa chini nikiwa na aibu hadi kufikia kipindi cha sadaka za jioni.
5 Et pendant le sacrifice du soir, je sortis de mon abattement; après avoir déchiré mes vêtements, saisi de crainte, je me mis à genoux, et j'étendis mes mains vers le Seigneur Dieu.
Lakini katika sadaka ya jioni nikasimama kwenye nafasi yangu nikiwa mnyenyekevu na nguo ilichanika na kanzu, na nikapiga magoti na kunyoosha mikono yangu kwa Yahwe Mungu wangu. Nikasema
6 Et je dis: Seigneur, je suis plein de honte et de confusion, ô mon Dieu, en levant mon front devant vous; car nos dérèglements se sont accumulés sur nos têtes, et nos péchés ont monté jusqu'au ciel.
“Mungu wangu, nina aibu na sistahili kuinua uso wangu kwako, makosa yetu yamekuwa hadi kuvuka kichwani na maovu yetu yameongezeka kufika mbinguni.
7 Depuis les jours de nos pères jusqu'à ce jour, nous avons vécu dans le péché, et à cause de nos transgressions, nous, nos rois, nos fils, nous avons été livrés aux rois des nations, par le glaive, la captivité, le pillage, et nous avons eu la honte au front comme nous l'avons encore.
Kuanzia siku ya watangulizi wetu mpaka sasa tumekuwa katika maovu makuu. Makosa yetu, viongozi, makuhani, walikuwa katika mikono ya mfalme wa dunia hii, katika upanga, matekani na kunyanyaswa na tuna aibu ya uso hata leo.
8 Maintenant, notre Dieu a été bienveillant pour nous jusqu'à nous sauver, nous rétablir en ce lieu où est son sanctuaire, nous éclaircir les yeux, et nous accorder un peu de vie dans notre esclavage.
sasa kwa kipindi kifupi, neema kutoka kwa Yahwe Mungu wetu imekuja kutuacha mabaki wachache na kutupa kuhimmili sehemu takatifu. Hii ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu wetu kututia nuru macho yetu na kutupa unafuuu sisi tulio watumwa.
9 Car nous sommes esclaves; toutefois, en notre servitude, le Seigneur notre Dieu ne nous a pas abandonnés, et il nous a fait trouver miséricorde devant les rois de Perse, pour qu'ils nous accordassent un peu de vie, qu'ils relevassent le temple de notre Dieu, qu'ils le rétablissent en sa désolation, et qu'ils nous rendissent plus de sûreté en Juda et à Jérusalem.
Kwa kuwa sisi tu watumwa, lakini Mungu bado hajatusahau lakini ameongeza agano la uaminifu kwetu, ameyatenda haya mbele ya macho ya mfalme wa Uajemi ili kwamba haweze kutupatia nguvu mpya. Ili kwamba tuweze kujenga nyumba ya Mungu na tuweze kuondoa majuto. Alitenda hayo ili kwamba aweze kutupatia msingi wa usalama katika Yuda na Yerusalem.
10 Que dirons-nous après cela, ô notre Dieu? Car nous avons abandonné vos commandements,
Lakini sasa Mungu wetu, tuseme nini baaada ya haya? Tumesahau amri zako.
11 Que vous nous aviez donnés par vos serviteurs les prophètes, disant: La terre où vous allez pour qu'elle soit votre héritage est une terre troublée de fond en comble par les abominations des peuples qui l'habitent, et qui l'ont remplie d'un bout à l'autre de leurs impuretés.
amri ambazo uliwapa manabii watumishi wako, pale uliposema, “Nchi hii mnayoingia kuimiliki ni nchi chafu. Imechanganyikana na watu wasio na utaratibu. ameenea kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa uchafu wao.
12 Ne donnez donc pas vos filles à leurs fils, et ne prenez point pour vos fils leurs filles; ne cherchez jamais leur pain ni leur bien-être, afin que vous vous affermissiez, que vous mangiez les biens de cette terre, et que vous les transmettiez en héritage à vos fils pour toujours.
Hivyo sasa, msiwape binti zenu kwa watoto wao, msichukue binti zao kwa ajili ya watoto wenu, msitafute amani kwao na fadhili, ili kwamba muweze kuwa imara na kula vizuri vya nchi, hivyo utasababisha watoto wenu kumiliki kwa wakati wote.”
13 Or, après tout ce qui nous est advenu à cause de nos mauvaises actions et de nos grands péchés, vous nous avez sauvés, parce qu'il n'est point de Dieu tel que vous, et que vous avez ôté nos iniquités.
Baada ya yote kutokea kwetu kwa sababu ya uovu wetu na makosa yetu makuu, tokea hapo, Mungu wetu, hukutazama makosa yetu na kutuadhibu tulivyostahili na ukatuacha kama mabaki.
14 Et nous avons recommencé à répudier vos commandements, à nous marier parmi ces peuples; ô Seigneur, ne soyez pas irrité contre nous jusqu'à nous anéantir, sans que nul parmi nous échappe et soit épargné.
Tunaweza kuvunja tena amri zako na kuingiliana katika ndoa, na hawa watu wasiofuata utaratibu? Je hautachukia na kututowesha sote hakuna wa kubaki, hakuna wa kutoroka?
15 Seigneur Dieu d'Israël, vous êtes juste, car nous voilà sains et saufs en ce jour; voilà que nous sommes devant vous dans nos péchés, et après de tels excès on ne peut subsister devant vous.
Yahwe, Mungu wa Israel, wewe ni mwenye haki, kwa kuwa tumebaki wachache mabaki hadi siku ya leo. Tazama, tuko mbele yako na makosa yetu, kwa kuwa hakuna hata mmoja anayeweza kusimama mbele kwa sababu ya hili.

< Esdras 9 >