< Esdras 6 >

1 Alors, le roi Darius fit un édit pour que l'on cherchât dans les bibliothèques où est le trésor de Babylone.
Na mfalme dario akaamuru uchunguzi ufanyike katika nyumba ya kumbukumbu Babeli.
2 Et l'on trouva en cette ville, dans le palais, un chapitre où ce mémorial était écrit.
Na katika mji wa Akmetha huko media chuo kilionekana: Kumbukumbu yake ilisema:
3 En la première année de la domination du roi Cyrus, le roi Cyrus a fait cet édit, touchant le saint temple de Dieu à Jérusalem: Que le temple soit rebâti, ainsi que le lieu où l'on sacrifiait des victimes. Et il en a déterminé la hauteur et la largeur: soixante coudées des deux parts.
“Katika mwaka wa kwanza mfalme Koresh, Koreshi alitoa amri kuhusu nyumba ya Mungu Yerusalem:'Na nyumba ijengwe iwe sehemu ya kutoa dhabihu, misingi yake iwekwe, urefu wake uwe sitini,
4 Et il a ajouté: Qu'il y ait trois étages en pierres dures et un en bois, et que la dépense soit supportée par le trésor royal.
na upana wake uwe sitini, sehemu tatu za mawe makubwa na sehemu moja ya mbao mpya, na gharama hizo zitalipwa kutoka nyumba ya mfalme.
5 Que l'on rende les vases d'or et d'argent du temple de Dieu, apportés de Jérusalem par Nabuchodonosor, et mis à Babylone; qu'ils retournent au temple de Jérusalem, à la place où ils étaient, dans le temple de Dieu.
Sasa vilirudishwe tena vitu vya dhahabu na fedha vilivyokuwa kwenye nyumba ya Mungu ambavyo Nebukadineza alivichukua kuvipeleka Babeli kutoka kwenye Hekalu Yerusalem. Na avirudishe tena Yerusalem Hekaluni. Na utaviweka tena kwenye nyumba ya Mungu.
6 Maintenant, vous, gouverneurs au delà du fleuve, vous, Satharbuzanaï et Apharsachéens, mes serviteurs au delà du fleuve, donnez-leur ces choses, et tenez-vous loin d'eux.
Sasa Tetanai, mkuu wa jimbo ngambo ya mto, Shethar - Bozenai na wenzao walio katika mji ngambo ya mto, wakajitenga,
7 Laissez faire les travaux du temple de Dieu: que les chefs des Juifs, que leurs anciens bâtissent le temple au lieu où il était.
wakaacha kazi ya nyumba ya Mungu pekee. Viongozi na wazee wa kiyahudi watajenga nyumba ya Mungu mahali pake.
8 Un édit est aussi rendu par moi pour que vous ne vous mêliez en rien de ce que feront les anciens des Juifs, pendant qu'ils bâtiront le temple de ce Dieu, et que, dans le but de ne point arrêter les travaux, on donne avec zèle à ces hommes, sur les impôts du roi, levés au delà de l'Euphrate, ce qu'il faudra pour la dépense.
Ninatoa agizo kwamba lazima lifanyike kwa wazee wa kiyahudi wanaojenga nyumba ya Mungu: Mchango kutoka kwa mfalme ushuru ngambo ya mto, utatumika katika kuwalipa watu hawa ili kwamba kazi yao isiweze kusimama.
9 Et, ce qui viendrait à leur manquer, qu'on le leur donne jour par jour, à mesure qu'ils le demanderont, soit des bœufs, des béliers, des agneaux, pour les holocaustes du Dieu du ciel, soit du froment, du sel, du vin et de l'huile, selon le besoin des prêtres qui se trouvent à Jérusalem,
Chochote kitakachohitajika, ngombe wachanga, kondoo au kondoo wa sadaka ya kutekezwa kwa ajili ya Mungu wa mbinguni, ngano, chumvi, divai na mafuta kadri ya maagizo ya makuhani wa Yerusalem - wapatie vitu hivi kila siku bila kikomo.
10 Afin qu'ils fassent aisément leurs offrandes d'odeur de suavité au Dieu du ciel, et qu'ils prient pour la vie du roi et de ses fils.
fanya hivyo ili kwamba wataleta sadaka kwa Mungu wa mbinguni na wataomba kwa ajili yangu mfalme na watoto wangu.
11 Et j'ai fait un édit portant que quiconque s'écartera de mes ordres sera attaché à une poutre enlevée de sa maison, et mis à mort sur ce bois, et que sa maison sera confisquée.
Mimi nina agiza kwamba yeyote atakayevunja amri hii, Chuma kitolewe katika nyumba yake. Na awekwe juu yake. Na nyumba yake itabadilishwa kuwa takataka kwa sababu hii.
12 Puisse le Dieu, dont le nom résidera en ce temple, renverser tout roi ou peuple qui étendra la main pour endommager ou détruire le temple de Dieu à Jérusalem. Moi, Darius, j'ai fait cet édit; qu'on soit attentif à s'y conformer.
Mungu huyu aliyesababisha jina lake kuwepo atamwondoa mfalme au mtu atakayebadili agizo hili au kuondosha nyumba ya Mungu katika Yerusalem. Mimi Dario nimeagiza hili, lifanyike kwa makini.
13 Alors, Tanthanaï, gouverneur en deçà de l'Euphrate; Satharbuzanaï, et les autres serviteurs du roi à qui Darius avait écrit, lui obéirent avec zèle.
Na kwa sababu ya amri iliyotumwa na mfalme Dario, Tatenai kiongozi mji ngambo ya mto na Sheshthar -Bozenai na wenzao. wakafanya kila kitu kama Mfalme Dario alivyoagiza.
14 Et les anciens des Juifs et les lévites bâtirent, selon la prophétie d'Aggée le prophète, et de Zacharie, fils d'Addo; et ils bâtirent, et ils achevèrent le temple suivant la volonté de Dieu, et grâce aux édits de Cyrus, de Darius et d'Arthasastha, rois des Perses.
Hivyo wazee wa kiyahudi wakajenga kama Hagai na Zakaria walivyoelekeza kwa kutabiri. Wakajenga kama amri ilivyotolewa na Mungu wa Israel na Koreshi, Dario na Artashasta mfalme wa Uajemi.
15 Et ils achevèrent le temple le troisième jour du mois d'adar, et la sixième année du règne de Darius.
Nyumba ikakamilika siku ya tatu ya mwezi wa adari, katika mwaka wa sita wa kutawala mfalme Dario.
16 Et les fils d'Israël, et les prêtres, et les lévites, et le reste des fils de l'exil, firent, avec allégresse, la dédicace du temple de Dieu.
watu wa Israel, makuhani, walawi na watu waliobaki wa uhamisho wakasheherekea kuweka wakfu nyumba ya Mungu kwa furaha.
17 Pour la dédicace du temple de Dieu, ils offrirent cent bœufs, deux cents béliers, quatre cents agneaux; et l'offrande pour les péchés de tout Israël fut de douze boucs, nombre égal à celui des tribus d'Israël.
Wakatoa ngombe mia moja, kondoo mia moja na kondoo wengine mia nne kwa ajili ya kuweka wakfu nyumba ya Mungu. Mbuzi wa kiume kumi na wawili walitolewa kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya waisrael wote kila kabila katika Israel.
18 Ils rétablirent les prêtres selon leurs divisions, et les lévites selon leurs catégories, pour le service de Dieu à Jérusalem, comme il est écrit au livre de Moïse.
Pia wakawapa wajibu makuhani na walawi kufanya mgawanyo wa kazi ya Mungu katika Yerusalem. Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa.
19 Et les fils de l'exil firent la Pâque le quatorzième jour du second mois.
Hivyo wale waliokuwa utumwani wakasherehekea pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
20 Car les prêtres et les lévites s'étaient purifiés; ils avaient tous été reconnus purs. Et ils immolèrent la pâque pour tous les fils de l'exil, et pour leurs frères les prêtres et les lévites.
Makuhani na walawi wakajitakasa wenyewe na wakachinja pasaka ya sadaka kwa ajili ya waliokuwa mateka wakiwemo na wao wenyewe.
21 Et les fils d'Israël mangèrent la pâque, tant ceux qui étaient revenus de l'exil que ceux qui s'étaient préservés de l'impureté des peuples de la contrée, leurs voisins, et qui avaient cherché le Seigneur Dieu d'Israël.
watu wa Israel ambao walikula nyama ya Pasaka ni wale waliorudi kutoka uhamishoni na walikuwa wamejitenga wenyewe kutoka kwa watu wasio safi wa nchi ile na kumchagua Yahwe, Mungu wa Israel.
22 Et ils célébrèrent la fête des Azymes durant sept jours avec allégresse; car le Seigneur les réjouit, et il avait incliné le cœur du roi d'Assyrie en leur faveur pour fortifier leurs mains dans les travaux du temple du Dieu d'Israël.
Walifurahi na kushangilia siku kuu ya mikate isiyochacha kwa siku saba, kwa sababu Yahwe amewarejeshea furaha na ameugeuza moyo wa mfalme wa Ashuru, na kuwatia nguvu kwa kazi ya nyumba, nyumba ya Mungu wa Israel.

< Esdras 6 >