< Daniel 3 >

1 La dix-huitième année de son règne, Nabuchodonosor fit faire une statue d'or, haute de soixante coudées, sur six d'épaisseur, et il l'érigea en la plaine de Déira, dans la province de Babylone.
Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu ambayo ilikuwa na urefu wa dhiraa sitini na upana dhiraa sita. Aliiweka katika uwanda wa Dura katika jimbo la Babeli.
2 Et il convoqua les grands, les généraux et les gouverneurs, les rois, les tyrans et les dignitaires, et tous les chefs des provinces pour venir à l'inauguration de la statue.
Kisha Nebukadneza alituma ujumbe wa kuwaita pamoja magavana wote wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji, pamoja na na washauiri, wahazini, waamuzi, mahakimu, na maafisa wengine wakuu wa majimbo ili waje kwa ajili ya uzinduzi wa sanamu aliyokuwa ameiweka.
3 Et les gouverneurs, les grands, les généraux, les rois, les principaux tyrans, les dignitaires et les chefs des provinces se rassemblèrent pour l'inauguration de la statue qu'avait érigée le roi Nabuchodonosor, et ils se placèrent debout devant la statue.
Ndipo magavana wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji, pamoja na washauri, wahasibu, waamuzi, mahakimu, na maafisa wa juu wa majimbo walikusanyika kwa pamoja katika uzinduzi wa sanamu ambayo Nebukadneza aliyokuwa ameiweka. Walisimama mbele yake.
4 Et le héraut proclama à haute voix: Ceci vous et prescrit, peuples, tribus, hommes de toutes langues:
Kisha mtangazaji alipiga kelele, “Enyi watu, mataifa, na lugha mmeamriwa
5 À l'instant où vous entendrez le son de la trompette et de la flûte, de la cithare, de la harpe et du psaltérion, et des instruments de toute sorte, tombez la face contre terre, et adorez la statue d'or que le roi Nabuchodonosor a érigée.
kwamba mtakaposikia sauti za pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari na aina zote za muziki, ni sharti kuanguka na kuisujudia ninyi wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameiweka.
6 Et celui qui n'adorera pas, en tombant à genoux, sera jeté aussitôt dans la fournaise ardente où le feu est allumé.
Na yeyote asiyeanguka na kuiabuda, kwa wakati huo huo atatupwa katika tanuru la moto.”
7 Or ceci advint: dès que les peuples entendirent le son de la trompette et de la flûte, de la cithare, de la harpe et du psaltérion, et des instruments de toute sorte, les peuples tombèrent la face contre terre, et ils adorèrent la statue d'or que le roi Nabuchodonosor avait érigée.
Basi watu walilposikia sauti za pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari na aina zote za muziki, watu wote, mataifa na lugha walianguka na kuisujudia wao wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo Nebukadneza mfalme alikuwa ameiweka.
8 Alors vinrent des hommes de la Chaldée et ils accusèrent les Juifs
Wakati huu baadhi ya Walkadayo walikuja na kuleta mashitaka kinyume na Wayahudi.
9 Devant le roi, disant: Ô roi, vis à jamais!
Walimwambia mfalme Nebukadneza, “mfalme aishi milele!
10 Ô toi, tu as fait une ordonnance, disant: Que tout homme qui entendra le son de la trompette et de la flûte, de la cithare, de la harpe et du psaltérion, et des instruments de toute sorte,
Ewe mfalme, umeweka amri kwamba kila mtu aisikiye sauti ya pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari, na aina zote za muziki, lazima kuanguka na kuisujudia sanamu ya dhahabu.
11 Et qui ne tombera pas la face contre terre pour adorer la statue d'or, soit jeté dans la fournaise ardente où le feu est allumé.
Mtu yeyote asiyeanguka na kuiabudu sharti atupwe katika tanuru linalowaka moto.
12 Or il y a des hommes, des Juifs, que tu as chargés de toutes les affaires de la province de Babylone, Sidrach, Misach et Abdénago, qui n'ont point obéi à ton ordre, ô roi; tes dieux, ils ne les honorent pas; et la statue d'or que tu as érigée, ils ne l'adorent point.
Sasa kuna baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu masuala ya jimbo la Babeli; majina yao ni Shadraka, Meshaki, na Abednego. Mfalme, hawa watu hawakutii wewe. Hawataiabudu, kuitumikia wala kuisujudia wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo umeiweka.”
13 Alors Nabuchodonosor, plein de colère et de fureur, commanda de lui amener Sidrach, Misach et Abdénago, et on les amena en présence du roi.
Ndipo Nebukadneza alijawa na hasira na ghadhabu, aliagiza kwamba Shadraka, Meshaki na Abednego waletwe kwake. Hivyo, waliwalete hawa watu mbele ya mfalme.
14 Et Nabuchodonosor prit la parole, et leur dit: Est-il vrai, Sidrach, Misach et Abdénago, que vous ne servez point mes dieux, et que vous n'adorez pas la statue d'or que j'ai élevée?
Nebukadneza aliwaambia, “Je mmejipanga katika akili zenu, enyi Shadraka, Meshaki na Abedinego, kwamba hamtaiabudu miungu yangu wala kuisujudia wenyewe sanamu ile ya dhahabu ambayo nimeiweka?
15 Maintenant donc, si vous y êtes disposés, aussitôt que vous entendrez le son de la trompette, de la flûte et de la cithare, de la harpe et du psaltérion, et le concert des instruments de toute sorte, tombez la face contre terre, et adorez la statue d'or que j'ai faite. Que si vous ne l'adorez pas, à l'instant même vous serez jetés dans la fournaise ardente, où le feu est allumé; et quel est le Dieu qui vous tirera de mes mains?
Basi sasa kama mko tayari - mtakaposikia sauti pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinumbi na zumari, aina zote za muziki - kuanguka chini na kuisujudia wenyewe sanamu ile ambayo nimeitengeneza, mambo yote yatakuwa mazuri. Lakini kama hamtaiabudu, mtatupwa mara katika tanuru la moto. Ni mungu gani atakayeweza kuwaokoa katika mikono yangu?”
16 Sidrach, Misach et Abdénago répondirent au roi Nabuchodonosor, disant: Il n'est pas nécessaire que nous te fassions une réponse à cette question.
Shadraka, Meshaki, na Abednego wakamjibu mfalme, “Nebukadneza, hatuhitaji kukujibu wewe katika jambo hili.
17 Car notre Dieu qui est au ciel, le Dieu que nous servons, peut nous tirer de la fournaise ardente et nous sauver, ô roi, d'entre tes mains.
Kama kuna jibu, ni kwamba Mungu wetu ambaye tunamtumikia anaweza kutuhifadhi sisi salama katika katika tanuru la moto, na atatuokoa sisi katika mkono wako, mfalme.
18 Et quand même il ne le ferait pas, sache, ô roi, que tes dieux nous ne les servons pas, et que la statue d'or que tu as élevée, nous ne l'adorons point.
Kama sivyo, na ijulikane kwako, wewe mfalme, kwamba hatutaiabudu miungu yako, na wala hatutaisujudia wenyewe sanamu ya dhahabu uliyoiweka.
19 Alors Nabuchodonosor, plein de colère, changea de visage envers Sidrach, Misach et Abdénago, et il ordonna de rendre sept fois plus ardent le feu de la fournaise, jusqu'à ce qu'enfin il ne fût plus qu'un brasier.
Ndipo Nebukadneza alijawa na ghadhabu; mwonekano wa uso wake ulibadilika kinyume na Shadraka, Meshaki na Abedinego. Aliagiza kuwa tanuru lichochewe ukali mara saba zaidi kuliko lilivyokuwa kawaida.
20 Et il ordonna à des hommes robustes de mettre des entraves à Sidrach, Misach et Abdénago, puis de les jeter dans la fournaise ardente.
Kisha aliwaamuru baadhi ya watu wenye nguvu katika jeshi lake kuwafunga Shadraka, Meshaki na Abednego na kuwatupa katika tanuru liwakalo moto.
21 Aussitôt ces jeunes gens furent enchaînés sans qu'on leur ôtât ni leurs hauts-de-chausses, ni leurs tiares, ni leurs chaussures, et ils furent jetés au milieu des flammes de la fournaise;
Walifungwa akali wakiwa wamevaa nguo zao, kanzu, kilemba, na mavazi mengine, na walitupa katika tanuru liwakalo moto.
22 Car la parole du roi était pressante, et la fournaise était plus ardente que jamais.
Kwasababu ya agizo la mfalme lilifuatwa na tanuru lilikuwa na joto sana, miali ya moto iliwaua watu waliowatupa Shadraka, Meshaki, na Abedinego.
23 Et Sidrach, Misach et Abdénago tombèrent tous trois enchaînés au milieu des flammes de la fournaise embrasée.
Hawa wanaume watatu, Shadraka, Meshaki, na Abednego, waliangukia katika tanuru liwakalo moto wakali wamefungwa.
24 Et Nabuchodonosor les entendit chanter des hymnes, et il fut frappé d'étonnement, et il se leva précipitamment, et il dit aux grands qui l'entouraient: N'avons-nous pas jeté au milieu du feu trois hommes enchaînés? et ils dirent au roi: Oui, seigneur.
Kisha Nebukadneza mfalme alishangazwa na alisimam haraka. Aliwauliza washauri wake, “Je hatukutupa watu watatu wakiwa wamefungwa katika moto?” Nao walimjibu mfalme, “Hakika mfalme.”
25 Et le roi dit: Et moi, je vois quatre hommes sans liens, se promenant au milieu des flammes, et la destruction n'est pas avec eux, et l'aspect du quatrième ressemble à un fils de Dieu.
Alisema, “Lakini ninaona watu wanne ambao hawajafungwa wakizunguka katika moto, na hawajaumizwa. Mng'ao wa mtu wa nne ni kama mwana wa miungu.”
26 Alors Nabuchodonosor s'approcha de la porte de la fournaise ardente, et il dit: Sidrach, Misach, Abdénago, serviteurs du Dieu tout-puissant, sortez et venez! Et Sidrach, Misach et Abdénago sortirent du milieu des flammes.
Ndipo Nebukadneza aliposogea karibu na mlango wa tanuru liwakalo moto na akaaita, “Shadraka, Meshaki na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu, tokeni nje! Njooni hapa! Ndipo Shadraka, Meshaki na Abednego walitoka nje ya moto.
27 Et les satrapes, et les généraux, et les gouverneurs et les lieutenants du roi se rassemblèrent, et ils virent ces hommes sur qui le feu n'avait eu nulle puissance en leur corps; pas un cheveu de leur tête n'était brûlé; leur vêtement n'était point altéré, et nulle odeur de feu n'était en eux.
Magavana wa majimbo, magavana wengine, na washauri wa mfalme waliokuwa wamekusanyika kwa pamoja waliwaona watu hawa. Moto haukuunguza miili yao; nywele katika vichwa vyao hazikuungua; mavazi yao yalikuwa hayajaharibiwa; na hawakuwa na harufu ya moto.
28 Et le roi Nabuchodonosor prit la parole, et il dit: Béni soit le Dieu de Sidrach, de Misach et d'Abdénago, qui a envoyé son ange, et délivré ses serviteurs, parce qu'ils avaient eu confiance eu lui; ils désobéirent à la parole du roi, et ils abandonnèrent leurs corps à la flamme, pour ne point adorer ni servir d'autre dieu que leur Dieu.
Nebukadneza alisema, “Na tumsifu Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego, ambaye amemtuma mjumbe wake na amewapa ujumbe watumishi wake. Walimtumaini yeye wakati walipoikana amri yangu, na waliitoa miili yao badala ya kuabudu au kusujudia mungu mwingine isipokuwa Mungu wao.
29 Et moi je proclame ce décret: Tout peuple, toute tribu, tout homme, de quelque langue qu'il soit, qui profèrera un blasphème contre le Dieu de Sidrach, de Misach et d'Abdénago, sera exterminé; ses maisons seront livrées au pillage; parce qu'il n'est point d'autre Dieu qui puisse sauver ainsi.
Hivyo basi ninaagiza kwamba watu wote, taifa au lugha ambayo itazungumza kitu chochote kinyume na Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego lazima wakatwe vipande, na ya kwamba nyumba zao lazima zifanywe kuwa vichuguu vya uchafu kwasababu hakuna mungu mwingine anayeweza kuokoa kama hivi.”
30 Ensuite le roi rétablit Sidrach, Misach et Abdénago à la tête de la province de Babylone; et il les éleva en honneur, et les jugea dignes de commander à tous les Juifs qui étaient dans son royaume.
Ndipo mfalme aliwapandisha cheo Shadraka, Meshaki na Abednego katika jimbo la Babeli.

< Daniel 3 >