< 2 Chroniques 18 >

1 La gloire et la richesse de Josaphat s'accrurent encore, et il s'allia par un mariage à la famille d'Achab.
Sasa Yehoshafati alikauwa na utajiri mwingi na heshima kubwa; alifanya undugu na Ahabu mmoja wa watu wa familia yake akamuo binti yake.
2 Au bout de quelques années, il alla voir Achab en Samarie, et Achab immola, pour lui et sa suite, quantité de bœufs et de brebis; il lui fit beaucoup d'amitiés pour l'emmener avec lui contre Ramoth-Galaad.
Baada ya miaka kadhaa, akashsuka chini kwa Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja kondoo na ngo'mbe wengi kwa ajili ya yake na watu waliokuwa pamoja naye. Ahabu pia akamshawishi kuivamia Ramothi-gileadi pamoja naye.
3 Et Achab, roi d'Israël, dit à Josaphat, roi de Juda: Viendras-tu avec moi à Ramoth-Galaad? L'autre répondit: Comme tu es, je suis; mon peuple est comme ton peuple, il fera la guerre comme lui.
Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia Yehoshafati, mfalme wa Yuda, “Utakwenda Ramothi-gileadi pamoja nami?” Yehoshafati akamjibu, “Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako; tutakuwa pamoja nawe katika vita.”
4 Et Josaphat dit au roi d'Israël: Consulte aujourd'hui le Seigneur.
Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli, Tafadhali litafute neno la Yahwe kwanza kwa ajili ya jibu lako”
5 Et le roi d'Israël rassembla tous les prophètes, au nombre de quatre cents, et il leur dit: Irai-je en guerre à Ramoth-Galaad, ou m'abstiendrai-je? Et ils répondirent: Marche, le Seigneur les livrera aux mains du roi.
Kisha mfale wa Israeli akawakusanya manabii pamoja, wanauame mia nne, na akasema akwao, Tutaenda vitani Ramothi-gileadi, au nisiende?” Wakasema, “Vamia, kwa maana Mungu ataitia mkononi mwa mfalme.”
6 Et Josaphat dit: N'y a-t-il plus ici un seul prophète du Seigneur par qui nous puissions consulter?
Lakini Yehoshafati akasema, “Hakuna nabii mwingine hapa wa Yahwe ambaye kwake tunapaswa kutafuta ushauri?”
7 Et le roi d'Israël répondit à Josaphat: Il y a encore un homme par qui l'on peut consulter le Seigneur; mais je le hais, parce que, à mon sujet, il ne prophétise jamais le bien, mais toujours le mal. C'est Michée, fils de Semis. Et Josaphat reprit: Que le roi ne tienne pas un tel langage.
Mfale wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Bado kuna mtu mmoja amabaye kwake lazima tuutafute ushauri wa Yahwe, Mikaya mwana wa Imla, lakini namchukia kwa sababu yeye huwa hatabiri mema kamwe kuhusu mimi, bali kila mara maovu,” Lakini Yehoshafati akasema, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”
8 Et le roi appela un eunuque, et il dit: Fais venir tout de suite Michée, fils de Semis.
Kisha mfalme wa Israeli akamwita akida na kusema, Haraka mlete Mikaya mwana wa Imla.”
9 Or, le roi d'Israël et Josaphat, roi de Juda, revêtus de robes, étaient assis chacun sur son trône, sur l'esplanade de la porte de Samarie, et tous les prophètes prophétisaient devant eux.
Sasa Ahabu mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wamekaa kila mmoja katika kiti cha enzi, wamevalia kanzu zao, katika sehemu ya uwazi katika maingilia ya lango la Samaria, na manabii wote walikuwa wakitabairi mbele zao.
10 L'un d'eux, Sédécias, fils de Chanaan, s'était fait des cornes de fer, et il dit: Voici ce que dit le Seigneur: Avec ces cornes tu frapperas la Syrie jusqu'à ce qu'elle soit abattue.
Zedekia mwana wa Kenaani akajitengenezea pembe za chuma na kusema, Yahwe anasema hivi: Kwa kutumia hizi pembe mtawasukuma Waaramu hadi waangamie.”
11 Et tous les prophètes prédisaient ainsi: Marche sur Ramoth-Galaad, et tu réussiras, et le Seigneur livrera à tes mains le roi de Syrie.
Manabii wote wakatabiri kitu kile kile, wakisema, “Vamia Raamothi-gleadi na shinda. kwa maana Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme.”
12 Et le messager qui était allé querir Michée dit à celui-ci: Tous les prophètes n'ont qu'une voix pour dire de bonnes choses concernant le roi; que tes paroles soient comme celles de l'un d'eux, et tu auras bien parlé.
Mjumbe aliyeenda kumuita Mikaya akasema kwake, akisema, “Sasa angalia, maneno ya manabii yanatangaza mambo mema kwa ajili ya mfalme kwa kinywa kimoja. Tafadhali maneno yako yawe kama maneno ya mmoja wao na sema mambo mema.”
13 Mais Michée répondit: Vive le Seigneur! ce que le Seigneur me dira, je le répèterai.
Mikaya akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, mimi nitasema kile mbacho Mungu anasema.”
14 Et il alla devant le roi, et le roi lui dit: Michée, dois je aller en guerre à Ramoth-Galaad, ou m'en abstenir? Et il répondit: Marche, et tu réussiras, et ils te seront livrés.
Alipokuja kwa mfalme, mfamle akamwambaia, “Mikaya, tutaenda Ramothi -gileadi kwa ajili ya vita, au la?” Mikaya akamjibu, “Vamia na utashinda! kwa maana utakuwa ushinda mkuu.”
15 Et le roi lui dit: Combien de fois t'adjurerai-je pour que tu ne me dises rien que la vérité au nom du Seigneur?
Kisha mfalme akasema kwake, “Ni mara ngapi ninapaswa kukutaka kuapa kutoniambia kitu chochote sispokuwa kweli katika jina la Yahwe?
16 Et Michée reprit: J'ai vu Israël dispersé sur les montagnes, comme un troupeau sans pasteur. Et le Seigneur a dit: Ces hommes n'ont point de chef, que chacun retourne en paix dans sa maison.
Kwa hiyo Mikaya akasema, “Niliwaoana Israeli wametawanyika ktika mlima, kama kondoo wasio na mchungaji, na Yahwe akasema, hawa hawana mchungaji. Ebu kila mtu arudi nyumbani kwake kwa amani.”
17 Et le roi d'Israël dit à Josaphat, roi de Juda: Ne t'ai-je point dit qu'à mon sujet il ne prophétisait jamais le bien, mais toujours le mal?
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba asingeweza kutabiri mema juu yangu, bali majanga tu?
18 Michée reprit: Il n'en est pas ainsi; écoutez la parole du Seigneur: J'ai vu le Seigneur assis sur son trône, et toute l'armée du ciel se tenait auprès de lui à sa droite et à sa gauche.
Kisha Mikaya akasema, “Kwa hiyo ninyi nyote mnapashwa kulisikia neno la Yahwe: Nilimuon Yahwe amekaa juu ya kiti chake cha enzi, na majeshi yote ya mbinguni yalikauwa yamekaa mkono wake wa kulia na mkono wake wa kushoto.
19 Et le Seigneur a dit: Qui trompera Achab, roi d'Israël, pour qu'il parte et succombe à Ramoth-Galaad? Et l'un répondit au Seigneur d'une sorte, l'autre différemment.
Yahwe akasema, Ni nani atakayemrubuni Ahabu, mfalme wa Israeli, ili kwamba aende na kuanguka huko Ramothi-gileadi?' Mmoja alisema hivi na mwingine hivi.
20 Et l'esprit sortit des rangs, et il se plaça devant le Seigneur, et il dit: C'est moi qui le tromperai. Et le Seigneur reprit: De quelle manière?
Kisha roho ikaja moja kwa maja na kusimama mbele ya Yahwe na kusema, 'Nitamrubuni.' Yahwe akamwambia, 'Kivipi?'
21 Et il dit: Je partirai, et je serai un esprit trompeur en la bouche de tous ses prophètes. Et le Seigneur dit: Tu le tromperas, et tu prévaudras; va, et fais ce que tu as dit.
Roho ikajibu, “nitatoka nje na nitakuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.' Yahwe akajibu, 'utamrubuni, na pia utafanikiwa. nenda sasa na fanya hivyo.'
22 Maintenant donc, voici que le Seigneur a placé un esprit trompeur en la bouche de tous tes prophètes, et le Seigneur t'a annoncé le mal.
Sasa ona, Yahwe ameweka roho ya uongo katika midomo ya manabii wako hawa, na Yahwe ametangaza majanga kwa ajili yako.”
23 Alors, Sédécias le Chananéen s'avança, frappa Michée à la joue, et dit: Par quel chemin l'Esprit du Seigneur est-il sorti de moi pour te parler à toi?
Kisha Zedekia mwana wa Kenaana, akaja, akampiga kofi mika juu ya shavu, na kusema, “Kwa njia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe?”
24 Et Michée reprit: Tu le verras le jour où tu passeras de chambre en chambre pour te cacher.
Mika akasema, Angalia, utalijua hilo katika siku hiyo, mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha.”
25 Et le roi d'Israël s'écria: Que l'on saisisse Michée; menez-le chez Emer, gouverneur de la ville, et chez le prince Joas, fils du roi,
Mfalme wa Israeli akasema kwa baadhi ya watumishi, “Enyi watu mkamateni Mikaya na mmpeleke hadi Amoni, mkuu wa mji na, na kwa Yoashi, mwanangu.
26 Et dites: Voici ce que dit le roi: Emprisonnez cet homme; qu'il se nourrisse du pain et de l'eau de l'affiction jusqu'à je revienne en paix.
Nanyi mtamwambia, 'Mfalme anasema: Mweke gerezanai huyu mtu na umlishe kwa mkate kiogo tu na maji kidogo tu, mpaka nitakaporudi salama.”
27 Et Michée reprit: Si tu reviens en paix, le Seigneur n'a point parlé par ma bouche. Et il ajouta: Peuple, écoutez-moi tous.
Kisha Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, Yahwe hajasema nami.”Kisha akaongeza, “Sikiliza haya, enyi watu wote.”
28 Après cela, le roi d'Israël partit avec Josaphat, roi de Juda, pour Ramoth-Galaad.
Kwa hiyo Ahabu, mfalme wa Israeli, na Yehoshafati, mfalme wa Yuda, wakaenda juu ya Ramothi-giledi.
29 Et le roi d'Israël dit au roi de Juda: Aide-moi à me déguiser, et j'engagerai la bataille, et toi tu auras mes vêtements. Le roi d'Israël se déguisa donc, et il engagea la bataille.
Mfalme wa Israeli akamwamabia Yehoshafati, “Nitajibadilisha mwenyewe na kwenda vitani, lakini wewe vaa mavazi yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalame wa Israeli akajibalisha, na wakaenda vitani.
30 Et le roi de Syrie donna cet ordre aux chefs des chars qui l'accompagnaient: N'attaquez ni petit ni grand, mais le seul roi d'Israël.
Sasa mfalme wa Aramu alikuwa amewaamuru maakida wa magari yake, akisema, Msiwavamie wanajeshsi wasio wa muhimu wala wanajeshsi muhimu. Badala yake, mvamieni mfalme wa Israeli pekee,”
31 Et ceci advint: quand les chefs des chars virent Josaphat, roi de Juda, ils se dirent: C'est le roi d'Israël. Et ils l'entourèrent pour l'attaquer; mais Josaphat cria au Seigneur, et le Seigneur voulut le sauver, et Dieu les détourna de lui.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipomuona Yehoshafati wakasema, “Yule ni mfalme wa Israeli.” Wakageka kumzunguka wamvamie, lakini Yehoshafati akalia, na Yahwe akamsaidia. Mungu akawageza nyuma kutoka kwake.
32 Et quand les chefs des chars virent que ce n'était pas le roi d'Israël, ils s'éloignèrent de lui.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipoona ya kuwa hakuwa mfalme wa Israeli, wakarudi nyuma wasimfukuze.
33 Alors, un homme adroit, ayant tendu son arc, frappa le roi d'Israël au flanc, au défaut de la cuirasse; et le roi dit à son cocher: Tourne bride, emmène-moi hors de la mêlée, car j'ai une blessure.
Lakini mtu mmoja akauvuta upinde wake kwa kubahatisha na kumpiga mfalme wa Israeli kati kati ya maungio ya mavazi yake. Kisha Ahabu akamwambia dereva wa gari lake, “Geuza nyuma na nitoe nje ya mapigano, kwa maana nimejeruhiwa vibaya sana.”
34 Et la bataille fut perdue pour lui ce jour-là, et il resta jusqu'au soir sur son char, en face de l'armée syrienne, et, au soleil couchant, il mourut.
Mapigano yakazidi kuwa makali siku hiyo, na mfalme wa israeli akashikiliwa katika gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Muda jua lilipokaria kwenda chini, akafa.

< 2 Chroniques 18 >