< 1 Chroniques 8 >

1 Et Benjamin engendra Balé son premier-né, Asbel le second, Aara le troisième,
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Noa le quatrième, Rapha le cinquième.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Et les fils de Balé furent: Adir, Gera, Abiud,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 Abessué, Noama, Achias,
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Sephupham et Uram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 Voici les fils d'Aod qui furent chefs des familles établies à Gabaa, et transportées ensuite à Machanathi
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 Nooma, Achias et Gera, le même que Jeglaam, qui engendra Aza et Jachicho.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Et Saarin engendra dans les champs de Moab, après qu'il eut répudié Osin et Baada, ses femmes;
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 Et il eut de sa femme Ada: Jolad, Sebia, Misa, Melchas,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Jébus, Zabia et Marina; tous chefs de familles.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 Et il avait eu d'Osin: Abitol et Alphaal.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Fils d'Alphaal: Obed, Misaal, Somer (celui-ci bâtit Ona, et Aod et ses bourgs),
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 Et Beria et Sama (ceux-ci furent chefs des familles qui demeurèrent en Ailam, et qui chassèrent les habitants de Geth),
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 Et ses frères furent Sosec, Arimoth,
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 Zabadie, Ored, Eder,
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 Michel, Jespha et Joda, fils de Beria,
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Et Zabadie, Mosollam, Azaci, Abar,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Isamari, Jexlias et Jobab, fils d'Elphaal,
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 Et Jacim, Zachri, Zabdi,
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 Elionaï, Salathi, Elihéli,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Adaïe, Baraïe et Samarath, fils de Samaïth,
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 Et Jesphan, Obed, Elihel,
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 Abdon, Zechri, Anan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Ananie, Ambri, Aïlam, Anathoth,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Jathir, Jephudias et Phanuel, fils de Sosec,
Ifdeya na Penueli.
26 Et Samsari, Saarias, Gotholie,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Jarasie, Erie et Zéchri, fils de Iroam.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Voilà les chefs de famille selon leur naissance, et ils habitèrent Jérusalem.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 Et en Gabaon demeura le père de Gabaon, sa femme se nommait Moacha,
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 Et son fils premier-né Abdon; puis, venaient Sur, Cis, Baal, Nadab, Ner,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Gedur et son frère, Zachur et Maceloth.
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 Et Maceloth engendra Samaa; et ceux-ci, vis-à-vis leurs frères, habitèrent Jérusalem avec leurs frères.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Et Ner engendra Cis, et Cis engendra Saül, et Saül engendra Jonathas, Melchisué, Aminadab et Asabal.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Et Jonathas engendra Meribaal, et Meribaal engendra Micha.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 Fils de Micha: Phithon, Melach, Tharach et Achaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Et Achaz engendra Jada, et Jada engendra Salémath, Asmoth et Zambri, et Zambri engendra Mesa,
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Et Mesa engendra Baana. Raphaïa fut son fils, Elasa son fils, Esel son fils.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Et Esel eut six fils; voici leurs noms: Ezricam son premier-né; puis, Ismaïl, Saraïa, Abdias, Anan et Asa, tous fils d'Esel.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Fils d'Asel, son frère: Aïlam le premier-né, Jas le second, et Eliphalet le troisième.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 Et les fils d'Aïlam étaient des hommes forts et vaillants, et ils tendaient l'arc, et leurs fils et les fils de leurs fils se multiplièrent jusqu'à cent cinquante. Tous étaient issus de Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

< 1 Chroniques 8 >