< 1 Chroniques 1 >

1 Adam, Seth, Enos,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Caïnan, Malalehel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoch, Mathusalem, Larnech, Noé.
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Fils de Noé: Sem, Cham, Japheth.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Fils de Japheth: Corner, Magog, Madaï, Javan, Elisa, Thobel, Mosoch et Thiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Fils de Gomer: Ascenez, Rhiphath et Thorgama.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Fils de Javan: Elisa, Tharsis, les Citians et les Rhodiens.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Fils de Cham: Chus, Mesraïm, Phuth et Chanaan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Fils de Chus: Saba, Evila, Sabatha, Regma et Sabalhaca. Fils de Regma: Saba et Dadan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Et Chus engendra Nemrod; celui-ci commença à être puissant et chasseur sur la terre.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Salé,
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Salé,
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Salé,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Salé,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Salé,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Salé,
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Salé,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Héber, Phaleg, Réhu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Sarug, Nachor, Tharé.
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abraham.
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Fils d'Abraham: Isaac et Ismaël.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 Voici leurs familles: premier-né d'Ismaël: Nabaïoth, Cédar, Abdéel, Massan,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Masma, Duala, Massi, Choddan, Thèman,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jethur, Naphis, Cedma; voilà les fils d'Ismaël.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Fils de Cettura, concubine d'Abraham: elle lui enfanta: Zameran, Jezan, Madian, Madal, Jesboc et Sué. Fils de Jezan: Dedan et Saba.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Fils de Madian: Gephar, Aphir, Enoch, Abida et Elduga; voilà tous les fils de Cettura.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Abraham engendra Isaac. Fils d'Isaac: Jacob et Esaü.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Fils d'Esaü: Eliphaz, Raguel, Jehul, Jeglon et Coré.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Fils d'Eliphaz: Thêman, Omar, Sophar, Gatham, Canez, Thamna et Amalec.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Fils de Raguel: Nachoth, Zaré, Somé et Mozé.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Fils de Seïr: Lotan, Sobal, Sébégon, Ana, Dison, Asar et Rison.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Fils de Lotan: Horri et Héman; sœur de Lotan, Thamna.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Fils de Sobal: Alon, Machanath, Tébel, Sophi et Onan. Fils de Sébégon: Eth et Sonan.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 Fils de Sonan: Dison. Fils de Dison: Emeron, Asebon, Jethram et Harran.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Fils d'Asar: Balaam, Zucam, Acan. Fils de Bison, Os et Aran.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 Et voici leurs rois: Balac, fils de Béor; le nom de sa ville est Dennaba.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 Balac mourut, et Jobab, fils de Zara de Bosora, régna à sa place.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Jobab mourut, et Asom, de la terre des Thêmanites, régna à sa place.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Asom mourut, et Adad, fils de Barad, régna à sa place; ce fut lui qui vainquit Madian dans le champ de Moab; le nom de sa ville est Gethaim.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Adad mourut, et Sebla (Samada) de Maseca régna à sa place.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Sebla mourut, et Saul de Rooboth, sur l'Euphrate, régna à sa place.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Saul mourut, et Balaennor (Ballanan), fils d'Achobor, régna à sa place.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Balaennor mourut, et Arad, fils de Barad, régna à sa place; le nom de sa ville est Phogor.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Chefs d'Edom: le chef Thaman (Thamna), le chef Golada (Gola), le chef Jéther,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 Le chef Elibamas (Olibema), le chef Ela, le chef Phinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Le chef Cenez, le chef Théman, le chef Bassor (Mazar),
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Le chef Magediel, le chef Zaphoin: voilà les chefs d'Edom.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Chroniques 1 >