< Psaumes 141 >

1 Psaume de David. Eternel, je t’invoque, hâte-toi de me porter secours, prête l’oreille à ma voix, lorsque je t’invoque.
Ee Yahwe, ninakulilia wewe; uje upesi kwangu. Unisikilize nikuitapo.
2 Que ma prière soit considérée à tes yeux comme de l’encens, mes mains tendues comme l’offrande du soir.
Maombi yangu na yawe kama uvumba mbele zako; mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama dhabihu ya jioni.
3 Exerce, ô Eternel, ta surveillance sur ma bouche, garde avec soin la porte de mes lèvres.
Ee Yahwe, uweke mlinzi kinywani mwangu; mngojezi malangoni pa midomo yangu.
4 Ne laisse mon cœur tendre à rien de mauvais, se livrer à des actes criminels, de concert avec des gens pratiquant l’iniquité. Puissé-je ne jamais goûter à leurs plats fins!
Usiruhusu tamaa ya moyo wangu kutamani uovu wowote wala kushiriki katika matendo ya dhambi na watu waishio maovuni. Nisile vyakula vyao vya anasa.
5 Que le juste m’assène des coups, c’est une preuve d’amour; qu’il me châtie, c’est comme de l’huile sur la tête, à laquelle ma tête ne se soustrait point; mais certes de façon constante ma prière s’élèvera contre leurs méchancetés.
Mwenye haki na anipige; nao utakuwa ni wema kwangu. Anirudi; itakuwa kama mafuta kichwani pangu; kichwa changu na kisikatae kupokea. Lakini maombi yangu siku zote yatakuwa dhidi ya matendo yao mauvu.
6 Que leurs magistrats glissent sur les arêtes du rocher, on entendra alors combien douces sont mes paroles.
Viongozi wao watatupwa chini toka juu mlimani; watayasikia maneno yangu kuwa ni matamu.
7 De même que le laboureur creuse et entrouvre le sol, ainsi nos ossements gisent épars au bord de la tombe. (Sheol h7585)
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
8 Certes, vers toi, ô Dieu, mon Maître, se tournent mes yeux, en toi je mets mon attente: ne laisse pas s’écouler ma vie.
Hakika macho yangu yanakutazama wewe, Yahwe, Bwana; katika wewe napata kimbilio; usiiache nafsi yangu.
9 Protège-moi contre le piège qu’ils m’ont dressé, contre les embûches des artisans d’iniquité.
Unilinde dhidi ya mitego waliyoiweka kwa ajili yangu, na matanzi yao watendao maovu.
10 Que les impies tombent dans leurs propres filets, tandis que moi je passe outre, demeurant sain et sauf!
Waovu na waangukie kwenye nyavu zao wenywe pindi mimi nitorokapo.

< Psaumes 141 >