< 1 Chroniques 8 >

1 Benjamin engendra Béla, qui fut son premier-né, Achbêl, le second, Ahrah, le troisième,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Noha, le quatrième, et Rafa, le cinquième.
Noha, na Rafa.
3 Béla eut des fils, à savoir: Addar, Ghêra, Abihoud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abichoua, Naamân, Ahoah,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Ghêra, Chefoufân et Hourâm.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Et voici les fils d’Ehoud: c’étaient les chefs de famille des habitants de Ghéba, qu’on déporta à Manahath,
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Naaman, Ahiya et Ghêra c’est celui-ci qui les déporta. Il engendra Ouzza et Ahihoud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Chaharaïm engendra dans la campagne de Moab, après avoir répudié Houchim et Baara, ses femmes.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Il eut de sa femme Hodech: Yobab, Cibia, Mêcha, Malkâm,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Yeouç, Sakhia et Mirma. Tels furent ses fils, qui devinrent chefs de familles.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 De Houchim il avait eu Abitoub et Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Les fils d’Elpaal furent Eber, Micheâm et Chémer. Celui-ci fut le fondateur de Ono et de Lod, avec ses dépendances.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Berïa et Chéma, chefs des familles des habitants d’Ayyalôn, mirent en fuite les habitants de Gath.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Ahio, Chachak, Yerêmoth,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zebadia, Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Mikhaêl, Yichpa et Yoha étaient les fils de Berïa.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Zebadia, Mechoullam, Hizki, Héber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Yichmeraï, Yizlïa et Yobab étaient fils d’Elpaal.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Yakim, Zikhri, Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elïênaï, Cilletaï, Elïêl,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaïa, Beraya et Chimrât étaient fils de Chimeï.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Yochpân, Eber, Elïêl,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdôn, Zikhri, Hanân,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hanania, Elâm, Antotiya,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Yifdeya et Penouêl étaient fils de Chachak.
Ifdeia, na Penueli.
26 Chamcheraï, Cheharia, Atalia,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Yaaréchia, Eliya et Zikhri étaient fils de Yeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 C’Étaient les chefs de famille, chefs selon leur généalogie. Ils habitaient Jérusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 A Gabaon demeuraient le "père" de Gabaon, dont la femme s’appelait Maakha,
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 son fils aîné Abdôn, Çour, Kich, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Ghedor, Ahio et Zékher.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Miklôt engendra Chimea. Ceux-là aussi, à l’encontre de leurs frères, habitaient Jérusalem avec leurs frères.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner engendra Kich, celui-ci Saül, celui-ci Jonathan, Malki-Choua, Abinadab et Echbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Le fils de Jonathan s’appelait Merib-Baal, qui donna le jour à Mikha.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Les fils de Mikha furent: Pitôn, Mélec, Tarêa et Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Ahaz engendra Yehoadda, celui-ci Alémeth, Azmaveth et Zimri. Zimri engendra Moça,
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 celui-ci Binea, celui-ci Rafa, celui-ci Elassa, celui-ci Acêl.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Acêl eut six fils, dont voici les noms: Azrikâm, Bokhrou, Ismaël, Chearia, Obadia et Hanân. Tous ceux-là étaient fils d’Acêl.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Les fils de son frère Echek étaient: Oulam, l’aîné, Yeouch, le second, et Elifélet, le troisième.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Les fils d’Oulam étaient des hommes d’armes, maniant l’arc. Ils eurent nombre de fils et de petits-fils, en tout cent cinquante. Tous ceux-là étaient des Benjaminites.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Chroniques 8 >