< Psaumes 20 >

1 Au maître de chant. Psaume de David. Que Yahweh t'exauce au jour de la détresse, que le nom du Dieu de Jacob te protège!
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Que du sanctuaire il t'envoie du secours, que de Sion il te soutienne!
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Qu'il se souvienne de toutes tes oblations, et qu'il ait pour agréable tes holocaustes! — Séla.
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Qu'il te donne ce que ton cœur désire, et qu'il accomplisse tous tes desseins!
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Puissions-nous de nos cris joyeux saluer ta victoire, lever l'étendard au nom de notre Dieu! Que Yahweh accomplisse tous tes vœux!
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Déjà je sais que Yahweh a sauvé son Oint; il l'exaucera des cieux, sa sainte demeure, par le secours puissant de sa droite.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Ceux-ci comptent sur leurs chars, ceux-là sur leurs chevaux; nous, nous invoquons le nom de Yahweh, notre Dieu.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 Eux, ils plient et ils tombent; nous, nous nous relevons et tenons ferme.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Yahweh, sauve le roi! — Qu'il nous exauce au jour où nous l'invoquons.
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Psaumes 20 >