< 1 Aikakirja 9 >

1 Ja koko Israel luettiin polviluvun jälkeen, ja katso, he ovat kirjoitetut Israelin kuningasten kirjaan; ja Juuda vietiin Babeliin pahain tekoinsa tähden.
Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.
2 Mutta ne ensimäiset asujamet, jotka tulivat perintöönsä ja kaupunkeihinsa, olivat Israel, papit, Leviläiset ja Netinimit.
Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.
3 Ja silloin asuivat Jerusalemissa Juudan lapsista, Benjaminin lapsista, ja Ephraimin ja Manassen lapsista:
Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.
4 Utal Ammihudin poika, Omrin pojan, Imrin pojan, Banin pojan, Peretsin Juudan pojan lapsista.
Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.
5 Mutta Silonilaisista Asaja ensimäinen poika, ja hänen poikansa.
Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.
6 Seran lapsista, Jeguel veljinensä; kuusisataa ja yhdeksänkymmentä.
Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
7 Benjaminin lapsista, Sallu Mesullamin poika, Hodavian pojan, Hassenuan pojan,
Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.
8 Ja Jibneja Jerohamin poika, ja Ela Ussin poika, Mikrin pojan, ja Mesullam Sephatian poika, Reguelin pojan, Jibnejan pojan;
Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.
9 Niin myös heidän veljensä sukukuntainsa jälkeen yhdeksänsataa ja kuusikuudettakymmentä: nämät kaikki ovat olleet isäin päämiehet heidän isäinsä huoneessa.
Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
10 Papeista: Jedaja, Jojarib ja Jakin,
Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.
11 Ja Asaria Hilkian poika, Mesullamin pojan, Zadokin pojan, Merajotin pojan, Ahitobin pojan, Jumalan huoneen päämies,
Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.
12 Ja Adaja Jerohamin poika, Pashurin pojan, Malkian pojan, ja myös Maesai Adielin poika, Jahseran pojan, Mesullamin pojan. Mesillemitin pojan, Immerin pojan;
Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.
13 Niin myös heidän veljeinsä päämiehet isäinsä huoneessa, tuhannen seitsemänsataa ja kuusikymmentä väkevää miestä, toimittamaan viran menoja Jumalan huoneessa.
Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
14 Mutta Leviläisistä, jotka olivat Merarin lapsia, Semaja Hassubin poika, Asrikamin pojan, Hasabian pojan;
Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.
15 Ja Bakbakkar, Heres, ja Galal, ja Mattania Miikan poika, Sikrin pojan, Asaphin pojan;
Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.
16 Ja Obadia Semajan poika, Galalin pojan, Jedutunin pojan, ja Berekia Asan poika, Elkanan pojan, joka asui Netophatilaisten kylissä.
Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.
17 Ja ovenvartiat olivat Sallum, Akkub, Talmon, Ahiman ja heidän veljensä: Sallum oli ylimmäinen.
Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.
18 Sillä he olivat tähän saakka vartioineet itäisellä puolella kuninkaan porttia: ne olivat ovenvartiat Levin poikain seassa.
Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
19 Ja Sallum Koren poika Ebjasaphin pojan, Koran pojan ja hänen veljensä hänen isänsä huoneesta, ne Korhilaiset, heidän virkansa menoissa, vartioitsemaan seurakunnan majan ovipieleen; ja heidän isänsä pitää vartioitseman Herran leirissä sisällekäymistä.
Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.
20 Mutta Pinehas Eleasarin poika oli ennen ollut heidän päämiehensä; sillä Herra oli hänen kanssansa.
Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.
21 Ja Sakaria Meselemian poika oli vartia seurakunnan majan ovella.
Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”
22 Kaikki nämät olivat valitut ovea vartioitsemaan, kaksisataa ja kaksitoistakymmentä, jotka olivat luetut polviluvun jälkeen heidän kylissänsä. Ja David ja Samuel, näkiä, asettivat heitä virkaan heidän uskollisuudessansa,
Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.
23 Niin että he ja heidän lapsensa ottivat Herran huoneesta vaarin, seurakunnan majan huoneesta, että he sitä vartioitsivat.
Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.
24 Ja ovenvartiat olivat asetetut neljää ilmaa kohden: itään, länteen, pohjaan ja etelään päin.
Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.
25 Mutta heidän veljensä olivat maakylissänsä, niin kuitenkin, että heidän piti tuleman sisälle seitsemäntenä päivänä, ja ajasta niin aikaan heidän tykönänsä oleman.
Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.
26 Sillä Leviläiset olivat uskotut olemaan neljäksi ylimmäiseksi ovenvartiaksi; ja he olivat myös kätkyin ja Herran huoneen tavarain päällä.
Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.
27 Ja he olivat yötä Jumalan huoneen ympärillä; sillä heidän piti sitä vartioitseman, ja avajaman joka aamu.
Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.
28 Ja muutamat olivat heistä viran asetten päällä; sillä heidän piti ne kantaman ulos ja sisälle luvun jälkeen.
Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.
29 Ja muutamat heistä olivat asetetut astiain ja pyhäin kaluin päälle, sämpyläjauhoin, viinan, öljyn, pyhän savun ja myös yrttein päälle.
Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.
30 Mutta muutamat pappein lapsista tekivät hyvin valmistettuja voiteita.
Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.
31 Ja Mattitjalle Leviläisistä, Sallumin Korhilaisten ensimäiselle pojalle oli uskottu mitä pannuissa valmistettiin.
Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.
32 Ja Kahatilaisista heidän veljistänsä olivat asetetut katsomusleipäin yli, että he niitä valmistaisivat joka sabbattina.
Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.
33 Nämät ovat veisaajat, Leviläisten isäin päämiehet vapaat heidän kammioissansa; sillä he olivat siellä askareissansa päivää ja yötä.
Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.
34 Nämät olivat ylimmäiset Leviläisten isät, päämiehet sukukunnissansa; he asuivat Jerusalemissa.
Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.
35 Jegil Gibeonin isä asui Gibeonissa; hänen emäntänsä nimi oli Maeka,
Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.
36 Ja hänen ensimäinen poikansa Abdon, Zur, Kis, Baal, Ner ja Nadab,
Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
37 Gedor, Ahio, Sakaria ja Miklot.
Gedori, Ahio, Zekaria, na Mikloti.
38 Mutta Miklot siitti Simeamin; jotka myös asuivat veljeinsä kohdalla, veljinensä Jerusalemissa.
Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.
39 Ja Ner siitti Kisin; Kis siitti Saulin; Saul siitti Jonatanin, Malkisuan, Abinadabin, Esbaalin.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
40 Ja Meribbaal oli Jonatanin poika; ja Meribbaal siitti Miikan.
Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.
41 Miikan pojat olivat Piton, Melek ja Tahrea.
Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.
42 Ahas siitti Jaeran; Jaera siitti Alemetin, Asmavetin ja Simrin; Simri siitti Motsan.
Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
43 Motsa siitti Binejan; ja Rephaja oli hänen poikansa, Eleasa hänen poikansa, Atsel hänen poikansa.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.
44 Ja Atselilla oli kuusi poikaa, ja nämät olivat heidän nimensä: Asrikam, Bokru, Ismael, Searia, Obadia ja Hanan: ne olivat Atselin pojat.
Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli

< 1 Aikakirja 9 >